Kama 'Quran' inakataa Mwanamke kuwa Kiongozi kwanini Waislamu wa nchi zingine wanaongozwa na Mwanamke?

Kama 'Quran' inakataa Mwanamke kuwa Kiongozi kwanini Waislamu wa nchi zingine wanaongozwa na Mwanamke?

Kwanza acha uongo unamjua raisi wa nchi hyo ?

Punguza kutunga ili mradi udanganye watu! Haitakusaidia kitu kuwa smart then jadili mambo ya msingi ya kuleta maendeleo .

Daily waislamu mara sijui chuo kilichoungua yaani unafuatilia mambo wewe hayakuhusu kabisa..

Haileti maana fanya Yale wa kwenu maana unayajua haya wa waislamu utapata aibu ty maana hauna unachojua.

Ni ushauri tu!
Ushauri wa Kipuuzi kutoka kwa Mpuuzi.
 
Chechinya.
Uongo !! Yaani mtu unapanga kudanyanga ili mradi tu.


Chuki zilizopo kweny vifua vyenu ni nyingi sana ila hatuko tayar kufuata Mila zenu .

Inakuwaje unadanganywa ili mradi ule mtafaruku yaani Haina maana kabisa
 
Ushauri wa Kipuuzi kutoka kwa Mpuuzi.
Sawa mi mpuzi.

Ila kwa vile unaeleweshwa hutaki basi maana sioni hoja zako ni propaganda yaani unasambaza uongo na umbea hizi sio tabia za kiume jiangalie mara mbili mbili.

Sisi hatujawahi kuwafikiria ila nyie daily kutafuta line of weakness ila hamtoweza🤣🤣.
 
Haya maandiko yapo tu sio yote yanatekelezwa , hatuwez kutumia kila mifumo ya maisha ya miaka ya 1600 iliyopita ,katika dunia hiii ya sayansi na teknolojia ,maisha ya sasa ni bora zaid kuliko hayo ya nyuma ,matumizi ya akili ni makubwa kuliko mabavu ya mwili , maandiko mengi watu wanayafuata kama unafki tu. Jiulize bwabwa moja apo zanzabar limefanya ujinga lipo tu , ila pita na nguruwe wa Mungu asie na hatia unaweza kuuliwa kabsa .
Umenena vyema kabisa.
 
Kwanza acha uongo unamjua raisi wa nchi hyo ?

Punguza kutunga ili mradi udanganye watu! Haitakusaidia kitu kuwa smart then jadili mambo ya msingi ya kuleta maendeleo .

Daily waislamu mara sijui chuo kilichoungua yaani unafuatilia mambo wewe hayakuhusu kabisa..

Haileti maana fanya Yale wa kwenu maana unayajua haya wa waislamu utapata aibu ty maana hauna unachojua.

Ni ushauri tu!
Hao ndio wafuasi wa Mzee wa mkono wa Baunsa huwawezi .Jana Kuna mmoja alileta uongo wake ..... Ukazimwa na ukhty wetu mpendwa ,kumbe na popomba nae alikuwa akiandaa kithiridi chake Uchwara ...

Uislamu upo imara Sana na hakuna mgalatia was kuuchezea.
 
Hao ndio wafuasi wa Mzee wa mkono wa Baunsa huwawezi .Jana Kuna mmoja alileta uongo wake ..... Ukazimwa na ukhty wetu mpendwa ,kumbe na popomba nae alikuwa akiandaa kithiridi chake Uchwara ...

Uislamu upo imara Sana na hakuna mgalatia was kuuchezea.
Hii inakaribia Ramadhani nyuzi kama hzi zitakuwa nyingi ndo hapo utajua jamaa kwa chokochoko ni noma.

Hawa ni kuwapuuza yaani mtu kaona kule German kanisa limelalisha basi nar anatafuta ishu za waislamu ili tuende sawa...wakati sisi wala hatupost hao mambo yao waliohalalisha.
 
Hii inakaribia Ramadhani nyuzi kama hzi zitakuwa nyingi ndo hapo utajua jamaa kwa chokochoko ni noma.

Hawa ni kuwapuuza yaani mtu kaona kule German kanisa limelalisha basi nar anatafuta ishu za waislamu ili tuende sawa...wakati sisi wala hatupost hao mambo yao waliohalalisha.
adriz

JamiiForums-2066617636.jpg
 
pakistani ni kama tanzania ina waislamu wengi kuliko dini zingine ila pakistani ni nchi ya demokrasi
Umepata wapi hizo takwimu zinazoonyesha idadi ya waislam na wakristo tanzania
 
Huwezi kunishinda kwa hili, Benazir Bhutto alipojiingiza kwenye harakati za siasa na kujaribu kutaka kutawala tu, kilimkuta nini?

Aliuawa kwa kupigwa risasi ya shingo na mlipuko wa bomu juu eneo la Rawalpindi kwenye kampeni na Bilal akiagizwa na kundi la Taliban na Al Qaeda.

Wakisema hawataki na ukajitia kimbele mbele hawana cha kupoteza muda, ni AK 47 tu.

Bibi Bhutto alishawahi kuwa waziri mkuu kabla ya kifo chake.
 
Kwenye uzi mmoja watu wamepaniki sana wanataka kuchinja mtu kisa Sharia mpya huko Saudia, sasa ngoja waje upambane nao.
Wanataka kumchinja bin Salman?, maana yeye ndiye aliyeweka hizo sheria mpya.
Mupunguze uongo jamani.
 
Back
Top Bottom