Mkoko kisu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 757
- 803
Chechinya.Nyingine ? Yaani itumia sharia katiba (Qur an)
Ushauri wa Kipuuzi kutoka kwa Mpuuzi.Kwanza acha uongo unamjua raisi wa nchi hyo ?
Punguza kutunga ili mradi udanganye watu! Haitakusaidia kitu kuwa smart then jadili mambo ya msingi ya kuleta maendeleo .
Daily waislamu mara sijui chuo kilichoungua yaani unafuatilia mambo wewe hayakuhusu kabisa..
Haileti maana fanya Yale wa kwenu maana unayajua haya wa waislamu utapata aibu ty maana hauna unachojua.
Ni ushauri tu!
Hoja nzuri.Wewe mbona biblia na Qur'an zimekukataza kuzini lakini mbona unazini[emoji41]
Uongo !! Yaani mtu unapanga kudanyanga ili mradi tu.Chechinya.
Ni wapi imeandikwa hiyo kwenye Quran nje ya kuongoza swala na yatokanayo? 🤔Je, hao Viongozi Waislamu Wanawake hawaheshimu Maandiko na wanakubali kuwa Viongozi?
Sawa mi mpuzi.Ushauri wa Kipuuzi kutoka kwa Mpuuzi.
Umenena vyema kabisa.Haya maandiko yapo tu sio yote yanatekelezwa , hatuwez kutumia kila mifumo ya maisha ya miaka ya 1600 iliyopita ,katika dunia hiii ya sayansi na teknolojia ,maisha ya sasa ni bora zaid kuliko hayo ya nyuma ,matumizi ya akili ni makubwa kuliko mabavu ya mwili , maandiko mengi watu wanayafuata kama unafki tu. Jiulize bwabwa moja apo zanzabar limefanya ujinga lipo tu , ila pita na nguruwe wa Mungu asie na hatia unaweza kuuliwa kabsa .
Ningependa kujua Bi. FaizaFoxy ana maoni gani kuhusu hili suala.Katiba ya nchi sio Quran, na nchi sio msikiti
Haviendani wala havihusiani
Uzuri yupo humu ndani bila shaka atakujibu.Je, hao Viongozi Waislamu Wanawake hawaheshimu Maandiko na wanakubali kuwa Viongozi?
Hao ndio wafuasi wa Mzee wa mkono wa Baunsa huwawezi .Jana Kuna mmoja alileta uongo wake ..... Ukazimwa na ukhty wetu mpendwa ,kumbe na popomba nae alikuwa akiandaa kithiridi chake Uchwara ...Kwanza acha uongo unamjua raisi wa nchi hyo ?
Punguza kutunga ili mradi udanganye watu! Haitakusaidia kitu kuwa smart then jadili mambo ya msingi ya kuleta maendeleo .
Daily waislamu mara sijui chuo kilichoungua yaani unafuatilia mambo wewe hayakuhusu kabisa..
Haileti maana fanya Yale wa kwenu maana unayajua haya wa waislamu utapata aibu ty maana hauna unachojua.
Ni ushauri tu!
Hii inakaribia Ramadhani nyuzi kama hzi zitakuwa nyingi ndo hapo utajua jamaa kwa chokochoko ni noma.Hao ndio wafuasi wa Mzee wa mkono wa Baunsa huwawezi .Jana Kuna mmoja alileta uongo wake ..... Ukazimwa na ukhty wetu mpendwa ,kumbe na popomba nae alikuwa akiandaa kithiridi chake Uchwara ...
Uislamu upo imara Sana na hakuna mgalatia was kuuchezea.
adrizHii inakaribia Ramadhani nyuzi kama hzi zitakuwa nyingi ndo hapo utajua jamaa kwa chokochoko ni noma.
Hawa ni kuwapuuza yaani mtu kaona kule German kanisa limelalisha basi nar anatafuta ishu za waislamu ili tuende sawa...wakati sisi wala hatupost hao mambo yao waliohalalisha.
Imemkataza nani hiyo nyama weka hilo andikohata biblia imekataza nyama ya nguruwe
Umepata wapi hizo takwimu zinazoonyesha idadi ya waislam na wakristo tanzaniapakistani ni kama tanzania ina waislamu wengi kuliko dini zingine ila pakistani ni nchi ya demokrasi
Huwezi kunishinda kwa hili, Benazir Bhutto alipojiingiza kwenye harakati za siasa na kujaribu kutaka kutawala tu, kilimkuta nini?
Aliuawa kwa kupigwa risasi ya shingo na mlipuko wa bomu juu eneo la Rawalpindi kwenye kampeni na Bilal akiagizwa na kundi la Taliban na Al Qaeda.
Wakisema hawataki na ukajitia kimbele mbele hawana cha kupoteza muda, ni AK 47 tu.
Wanataka kumchinja bin Salman?, maana yeye ndiye aliyeweka hizo sheria mpya.Kwenye uzi mmoja watu wamepaniki sana wanataka kuchinja mtu kisa Sharia mpya huko Saudia, sasa ngoja waje upambane nao.
unadhani kwa nini walimuua?Pakistan, ni pure muslim state na Bi BHUTTO