Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Jibu kama ulivyoandika!Kikwete aliacha deni kiasi gani na JPM ndani ga miaka mitano deni amelikuza kwa kiwango gani?Deni la taifa ni 27% ya pato la taifa.
Deni ni himilivu sana kwa sababu ukomo wa kukopa ni 70% ya pato la taifa!