Kama Rais Samia anashaurika na msikivu awafute kazi ya uwaziri January Makamba na Nape, ni mawaziri mzigo kwa taifa

Mwendazake akili nyingi sana yule bwana. Muache apumzike kwa amani. Aliyaona yote hayo kwamba hawa wote ni wapiga madili tu akawapiga pembeni. Wakaunda kikundi cha kumsema kwa jina la kigogo. Mtanikumbuka. #KATIBA MPYA#
Ila ni kama kweli kwa sababu now days kigogo mbona hasikiki,
 
Siasa ni strategy,kuna waajiriwa wa Kalemani wachache mtandaoni ambao wameanzisha upepo ambao unasomba na watu wengine wanahangaika na Makamba ilihali hawajui nini kinaendelea Nyuma ya pazia.
Acheni kila mtu apige anavyoweza, mkiwapiga SG tukae kimya, mkiwapiga old skuli waliorudi tukae kimya how ?.

Kaharibu apishe!
 
Mkuu unaongea kutokea upande upi wa nchi
 
Hakuna wizara ya Nishati na Madini
 
Nyie wafuasi wa fisadi dikteta,hamna la kumshauri Rais mbwwwwwwa nyie,wanafiki wakubwa,

Endeleeni kumtukana tu Rais,Hana Muda kupokea ushauri wenu kkkkenge nyie
 
Mom
Hiyo inaitwa timu ushindi.
 
Wana chuki Sana Hawa wapumbavu wasiojielewa
 
Cha ramli chonganishi.. January anachapa kazi na umeme haukatiki... Suala la miradi ni miradi ya one Man show sahii ni kusikilizana... Na lazima Budget ipitishwe sio kipindi cha kujipatia sifa binafsi... Kuchota chota hela hovyo..

Bunge likae lipange mambo yake .. zaidi zaidi ni chuki na roho mbaya zinakusumbua
 
Nafasi walizo nazo wamezawadiwa kutokana na majina ya wazazi wao,si kwa ajili ya kuitumikia nchi kwa usahihi hata kama wakivurunda hakuna shida.
 
Avunje nguzo za Utawala wake? Inawezekanaje ajihujumu mnyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…