Kama Rais Samia ndiye mkuu wa dola la Tanzania kwanini Rais wa Zanzibar amekuwa wa kwanza kutoka uwanjani baada ya sherehe za Mapinduzi kuisha?

Duuh kweli umevurugwa mkuu,

Rais wa Zanzibar ndio mwenyeji wa tukio kwa siku ya leo hivyo ana heshima hiyo ya kutangulia.

Hata hivyo sio ajabu kwani tumekua tukifanya hivyo miaka yote.
Nani mkuu wa dola la Tanzania? Mamlaka yake yana ukomo?
 
... kwani sherehe za mapinduzi ya Zanzibar ni za dola la Tanzania? Halafu sina kumbukumbu ya hizi shughuli za mapinduzi kuhudhuriwa na rais mwingine yeyote tofauti na marais hao wawili! KATIBA, KATIBA, KATIBA!
 
Nani mkuu wa dola la Tanzania? Mamlaka yake yana ukomo?
... hata wewe ukiwa na shughuli kwenye "boma lako" ukimwalika rais kama ana nafasi, among other parameters, atakuhudhuria; marais wetu ni waungwana sana. Hii haimaanishi kufika kwake ndio atakuwa mkuu wa "boma lako"; kuna issues ndani ya "boma lako" ziko chini ya mamlaka yako kama mkuu wa boma hata rais hawezi kuziingilia acha kuuza utu wako!
 
Haibadilishi chochote mantiki ni vile ZNZ ndo muhusika katika tukio, Maoni yangu.
 
Who is the head of state?
Rais wa Tanzania akiwa Visiwani anakuwa ni mgeni wa Rais wa Zanzabar ... Hii ndiyo katiba yetu bomu inavyosema.

Ndiyo maana Magufuli alikuwa hahudhurii hizo sherehe.....!!
 
Zanzibar ni Nchi Mkuu,
 
Nyie watoto mlopata F ya civics hamna adabu kabisaaa
 
Uendapo nyumbani kwa "jamaa" yako usiwe wa kwanza kuchukua nyama.
 
Pumbavu huna akili. Yaani utawala wa rais unauhusisha na kukwapua nyama. Pumbavu kabisa.
Matusi ya nini sasa?Mbona una hasira hivyo utadhani sidiria zako zimeibwa?Au hupendi kupewa majibu ya swali lako?😝😝😝
 
Zanzibar ni Nchi Mkuu,
Chini sanaaa very low
Yaani mtu mzimaa yupo JF anafundishwa kuwa Zanzibar ni Nchi. Ina maana hata Muungano hajui ni kitu gani! Inawezekana anafikiri Muungano ni wa mikoa Dar ,Singida,Arusha, Mwanza.
Ndio maana unakuta watu wanachukua idadi ya watu kuwa hoja dhidi ya Zanzibar .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…