Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
- Thread starter
- #21
Nani mkuu wa dola la Tanzania? Mamlaka yake yana ukomo?Duuh kweli umevurugwa mkuu,
Rais wa Zanzibar ndio mwenyeji wa tukio kwa siku ya leo hivyo ana heshima hiyo ya kutangulia.
Hata hivyo sio ajabu kwani tumekua tukifanya hivyo miaka yote.