Kama Saudi Arabia na Vatican wameweza kufanya ibada majumbani sisi tuliopokea dini toka kwao tunashindwa nini?

Takataka! Ujinga mtupu! Kibwetere wewe.
 
hivyo watu wanavyojaa pale Kariakoo si zaidi ya waliopo Kanisani?. Kwa nini Mungu alimwambia Suelemani amjengee hekalu? wakati yeye yuko kila mahali?
 
hivyo watu wanavyojaa pale Kariakoo si zaidi ya waliopo Kanisani?. Kwa nini Mungu alimwambia Suelemani makengee hekalu? wakati yeye yuko kila mahali?
Tatizo watu ni kama wamepania vile hiyo misikiti na makanisa tena wengi hawa wasiokuwa na dini.
 
Kwani mmelazimishwa kwenda misikitini na makanisani? Ukiona kusalia nyumbani ni sawa ni bora ukafanya hivyo kuliko kubeza wanaoenda makanisani.. mbona huko marekani, Italy, Spain na kwingineko wamefunga hayo makanisa na misikiti tokea kitambo sana na bado wanadondoka kama kuku!
 

Lakini ukiomba msamaha si unasamehewa?

Si wote mnakubali kua Mungu ni mwenye huruma na husamehe endapo utafanya toba?

Na hawa watoto wadogo wanaokufa kwa corona imekuaje waambukizwe hadi kufikia hatua wanakufa je wao wamefanya mahasi gani mbele za Mungu?

Hadi chui wanapata corona, sasa nao hawa tunawaweka katika kundi gani? Chui nao wanafanya maasi?

It's Scars
 

Nimekuonesha hapo kua ukiwa na imani hakuna jambo ambalo linaloshindikana

Mfano yesu alipokua anatembea juu ya maji halafu petro akamuuliza vipi nami naweza kutembea yesu akasema waweza kutembea ilimradi tu unaimani

Petro akatembea hatua kadhaa ila alipoweka hesitation kua mahali aendapo pana kina kirefu hivyo kuna uwezekano anaweza kuzama ndio imani ikamshuka na akazama

Kwaiyo hapo imani ndio "key" kupitia imani umepewa mamlaka ya kuamuru hadi milima iame

Mfano mwingine daniel alipowekwa katika tundu la simba wenye njaa kali, wale mabwana walitaka wamgeuze msosi kwa simba ila kwasababu alikua na imani simba hawakumfanya chochote

Mfano mwingine ni wale meshak shadrack na ebednego walivyowekwa katika tanuru la moto, kwakua walikia wakimtumainia Mungu wa ukweli na walikua na imani iliyothabiti moto haukiweza kuwadhuru hata kidogo

Sasa kwanini ufikiri kuwe kuna ugumu kwa hawa wanaojiita wapakwa mafuta ya bwana kujitosa hospitalini kwa kuwafanyia hudumu ya maombi kwa kuwashika vichwa haonwagonjwa wa corona na wakati wanaimani??

Hujui kwamba kipimo cha imani ni majaribu? Hujui kwamba hili gonjwa nalo ninsehemu ya majaribu ili kupima imani ya watu?

Unajua kama kosa ulishafanya pale mwanzo ulipokula kiapo kua umemkubali yesu kua bwana na mwokozi wa maisha yako, kwa maana ya kwamba ulikwisha tangaza vita na shetani?

Unaelewa kwamba formula ya kukataza watu kwenda majumba ya ibada ni sawa na formula ya mourinho kupaki basi wakati wa kandanda??



It's Scars
 
Waafrica tunaweka siasa hata kwenye mambo ya majanga.......wacha tupukutuke ili tutie adabu......

eti makanisa yasifungwe sababu yanaombea Corona.....yale yale ya Kibwetele.
 

Hoja yangu hiyo nimeitoa katika Mukhtaza huu wa Dharura hii ya Janga la CORONA na sijasema kuwa Watu kamwe wasiwe wanaenda huko Makanisani au Misikitini. Na usisahau hata Mimi pia ni Muumini tena mzuri tu na pengine yawezekana hata kuliko Wewe ila siungi mkono kwa sasa Watu Kukusanyika huko katika Nyumba za Ibada. Siku nyingine uwe unayaelewa Kwanza Maelezo ya Mtu vyema kabla hujaanza Kukurupuka Kumjibu Kihisia Hasi kama ulivyofanya sasa sawa?
 



Ninachokijua tu ni kwamba ukiwa na Imani ya kweli kwa Mwenyezi Mungu / Allah hata ukisalia Sebuleni au Chumbani Kwako au Bustanini Kwako au hata Stoo basi Dua yako inakubaliwa na unabarikiwa vizuri tu. Huko kwenda Makanisani na Misikitini mara nyingine huwa ni Mbwembwe tu zilizochanganyika na Unafiki mwingi ndani yake.

Kauli yako hiyo hapo, wewe mnafiki huna elimu yoyote ya dini, mwenye elimu ya dini hawezi kuandika uliyoyaandika.
 

Kuna tofauti na Mimi kutokuwa na Elimu hiyo ya Kidini na Wewe kuwa nayo lakini bado haijakusaidia na umebakia kuwa Juha Kiimani.
 
Waafrica tunaweka siasa hata kwenye mambo ya majanga.......wacha tupukutuke ili tutie adabu......

eti makanisa yasifungwe sababu yanaombea Corona.....yale yale ya Kibwetele.
Ukishapukutika utatiaje adabu bwashee?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…