USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Mwezi mmekuwa wanawake na hedhiKama Mwezi haujaonekana Tanzania then? Hakuna wa kumlaumu; utaratibu uko very clear.
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwezi mmekuwa wanawake na hedhiKama Mwezi haujaonekana Tanzania then? Hakuna wa kumlaumu; utaratibu uko very clear.
Huyu wa wapi huyu? Dunia imebadilika sana; wanawake wanatamani kuvaa kiume and vice versa.
Ha ha ha! Lugha zote zina synonyms usiwe mjinga.Mwezi mmekuwa wanawake na hedhi
USSR
Hata kenyaHamna na Oman pia kesho wanafunga. Nchi nyingi tu bado kesho wanafunga ila Uganda kesho Eid.
Hata uku kuna walioanza na saudia. Saudia hata hivo wanaenda na kaendaKikubwa si kuhesabu siku tu,saudia Kama wao walianza kufunga siku moja kabla ya uku ,inamaana wao mwenzi uliwahi kutoka na siku 30 tayari ,na uku kesho siku 29,simple tu au inakuaje
Kesho ijumaa kama Saud Arabia nchi ya mtume SAW hawatakula IDD basi JF wanipige ban ya masaa 24.
Hizi dini ni za magumashi amkeni.
Cc: Kiranga
Kikubwa si kuhesabu siku tu,saudia Kama wao walianza kufunga siku moja kabla ya uku ,inamaana wao mwenzi uliwahi kutoka na siku 30 tayari ,na uku kesho siku 29,simple tu au inakuaje
full stopHamia kwenye hayo mataifa ukaswali idi ..
Acha kuandikwa Utopolo. Wanawake wamekuja hapa kivipi. Jaribu kuheshimu Mama zako na Dada zako.Mwezi mmekuwa wanawake na hedhi
USSR
Watu wanakosa akili kabisa yanapokuja masuala ya kidini.Acha kuandikwa Utopolo. Wanawake wamekuja hapa kivipi. Jaribu kuheshimu Mama zako na Dada zako.
Sasa kama uku hawajaona ,kwa nini kulazimisha wale sawa na waliokwisha uona?si ni kusubiri tuUmesoma Maelezo wanakula eid kulingana na muonekano wa mwezi
Hakuna njia ya mkato, watu wa mnyaaz itawapasa nao wamalizie vyungu vyao 30. Huko kwingine kote wao ni Suni, na msimamo wao taarifa za mwezi kuandama hupatikana sehemu yoyote ile duniani, kuuona kwa macho ya kibinadamu siyo kizingiti.
Hapa Bongo, BAKWATA ni zao la Shia. Ni lazima auone ama kupata taarifa za muandamo wa mwezi hapa nchini. Hapa ni sawa na kutaka kuwaeka pamoja Wakatoliki na Wasabato.
Kesho ijumaa kama Saud Arabia nchi ya mtume SAW hawatakula IDD basi JF wanipige ban ya masaa 24.
Hizi dini ni za magumashi amkeni.
Cc: Kiranga
Uganda ni majirani zetu na wametangaza Eid ni kesho; lakini pia Uarabuni Napo Eid ni kesho.
Kwanini Tanzania wamepanga iwe jumamosi?