GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Mpango ni Mwanglikana, kama sikosei.Mpango siyo Mkatoliki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpango ni Mwanglikana, kama sikosei.Mpango siyo Mkatoliki.
Wakatoliki ndo walimpa Nyerere nchi atawale kwa niaba yao sio Nyerere alipewa nguvu na wao...Nguvu ya nyerere aliyowapa wakatoliki Tanzania hii ni ndogo? kwa lipi unafikiri wanataka wafanye nyerere mtakatifu?
Msome Sivalon utaelewa kama huelewi.
Wewe unaeandika siyo mkatoliki?
Ni BAKWATAWaislam wao hawana madhehebu?!
Tujulishwe waliobaki walikuwa sunni au Shia?
Uko sahihi mkuu.Kwani huyu wa sasa umakamu aliuweza? Kwanza unayajua majukumu ya Makamu?
Ukimya wa makamu hutokana na majukumu yake lkn akiwa na Power utauona upande wake wa pili.
Ndugu zake wote ndo waanglikana peke ake ndo mkatoliki...Mpango ni Mwanglikana, kama sikosei.
Kumbe!Ndugu zake wote ndo waanglikana peke ake ndo mkatoliki...
Ni kama enzi za Lawrence Gama... ndugu zake wote walikua waislam peke yake ndo alikua mkatoliki! Hivi vitu hupangwa!
Ni hisia zako tu.Fuatilia kwa makini utaona kuwa uongozi ukitoka upande wa wakristo hususani katholiki humuumiza sana wananchi.
Kiuchumi na kijamii wananchi huwa hoi bin taaban tofauti na uongozi ukiwa umetoka upande wa waislamu.
Na kwa mtazamo wangu naona ndio hulka ya Kanisa katholiki. Mfano mdogo tu huzikwi kama unadaiwa sadaka!
Kwa hivyo kanisa katholiki hupambana sana Rais awe muumini wao kimkakati waweze kufanya mambo yao freely!
Alibadiri lini?Mpango ni Muanglican
Mafya kuna kijana mwaka huu amekuwa padre wa kanisa katoliki lkn baba na mama ni waislam,Ndugu zake wote ndo waanglikana peke ake ndo mkatoliki...
Ni kama enzi za Lawrence Gama... ndugu zake wote walikua waislam peke yake ndo alikua mkatoliki! Hivi vitu hupangwa!
Sidhani. Bwana February Hana kitu. Hata jimboni kwake hakubariki kabisaKuna uwezekano mkubwa ndugu pasikali umekengeuka kanuni yako ya kukaa viti vifupi siku za jumapili. Kwa maandishi haya siyo tu kwamba umelewa John walker bali hata shisha ya Mazese (a.k.a jani) umetumia.
Aliyepo yupo na akiondoka anafuata mdogo wake March.
Laa! Sijui nimeandika nn hapa?? Ngoja nikemee hili pepo lililonipanda....pepo tokaaa!!
Ya huko sio suala la sasa hivi wakati bado tuna matatizo lukuki ya kisiasa na kiuchumi sasa hivi. Na zaidi ya hapo aliyepo sasa anahaki ya kugombea tena, ukizungumzia hayo mabadiliko Kwa sasa bila kuelekea sababu za msingi itakuwa ni kutucheza shera .Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa harusi ya Kana!.
Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, amekuja mtu akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima".
Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!
Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.
Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.
Jumapili Njema
Paskali.
Pumba tupu. Wakatoliki wengi waabudu mashetani na ma sanamu. Huko waliookoka kweli kweli hamuwezi kuwaweka maana watafichua mauozo yenu chungu nzima. Ila Taifa likiwa na kiongozi mcha Mungu wa dhati, watu hufurahi.Wakatoliki ndio wakristo waliosambaa angalau kwa usawa kila sehemu nchini, makanisa mengine yapo kikanda, kikabila, kifamilia, n.k.
Kkkt - Nyanda za juu kusini
Sabato - Kanda ya ziwa na kaskazini
Moravian - Mbeya
Anglikana - Ruvuma
Makanisa ya Eagt, Tag, n.k ni ya viongozi wanaorithishana kwa kusimikana.
makanisa mengine ya watu binafsi kina Mwamposa, Lusekelo, Mwakasege, mengi sana ni wanyakyusa lakini yapo kifamilia zaidi.
Binafsi sio mkatoliki ila kwenye uraisi tuwaachie tu.
Sio kweli, tawala chini mkristo/mkatholiki zimekuwa na kawaida ya ubabe, unyang'anyi na ukandamizaji wa vyombo vya Habari ili wananchi wasijue nini kinaendelea.Hao marais wa Kikatoliki ndo waliofinyanga mifumo yote ya nchi hii. Anza kwa J.K.N, Mkapa mpaka John utanielewa.
Amen. Ikitimia tunapiga, Gloria Patri et fill et spirutus Sanctiin nomine patris et fili et spiritus sancti
Ndugai for President
Mama ndio kwanza amekwenda Asia kujisimika na kutafuta marafiki wa kisiasa na kifedha. Si umesikia ametunukiwa PhD ya pili huyo India?Itakuwa lini?
Maana tushachoka sana!
Dola haikamatiki
Bei ya mafuta haikamatiki
Mfumko wa bei ya vitu kila siku unazidi kupaa
Wakatoliki hujenga halafu huja waislamu kubomoa na kuuza rasilimali kwa waarabu. Hili limetokea kwa Mwinyi, Kikwete na sasa kwa Samia.Sio kweli, tawala chini mkristo/mkatholiki zimekuwa na kawaida ya ubabe, unyang'anyi na ukandamizaji wa vyombo vya Habari ili wananchi wasijue nini kinaendelea.
Ili hali tawala chini ya waislamu zimekuwa na kawaida ya uimarishaji wa demokrasia, uchumi wa watu na uhuru wa watu na vyombo vya habari.
Ukiangalia vizuri, tawala chini ya waislamu huleta nafuu kwa wananchi kiuchumi na kidemokrasia. Mara zote huja kusawazisha/kutuliza maumivu/machungu ambayo yanakuwa yamesababishwa na tawala chini wakristo.
Ukweli ni kwamba ukatholiki una ukoloni na ubabe mwingi ili hali uislam una ustaarabu mwingi.
Kwa sasa Mhimili wenye nguvu ya maamuzi umebadilika, na huo mhimili hautaruhusu makosa kutokea tena!
Huyu ndiye kaka mkubwa Paskali, mzee wa kutoa hint, voices from within au kutonywa na circles za jamaa kutoka kulee.Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.
Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.
Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.
Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.
Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.
Jumapili Njema
Paskali.