Kama sauti hii ni sauti ya kweli, nimeelezwa Mpango ndio mpango mzima. Swali ni akiwa Mkristo, kwanini ni lazima awe Mkatoliki?

Kama sauti hii ni sauti ya kweli, nimeelezwa Mpango ndio mpango mzima. Swali ni akiwa Mkristo, kwanini ni lazima awe Mkatoliki?

Wakatoliki hujenga halafu huja waislamu kubomoa na kuuza rasilimali kwa waarabu. Hili limetokea kwa Mwinyi, Kikwete na sasa kwa Samia.
Naona mkuu kinyume chake ndio sahihi,

Je umesahau kipindi cha Nyerere, dhahama ya umasikini na vifo wakati wa vijiji? Je umesahau uporaji wa mali kipindi cha Sokoine?

Je, umesahau kipindi cha Mkapa, maadhila ya redundancy kwa wafanyakazi wakati wa ubinafsishaji mashirika ya umma? Je umesahau kilo cha wachimbaji wadogo wa migodi na vifo vya wa pemba wakati wa uchaguzi?

Je, umesahau juzi juzi tu kipindi cha Magufuli, uporaji wa korosho? unyang'anyi kwenye taasisi za fedha? Uporaji wa nyavu na mali za wavuvi? uporaji wa mifugo ya wafugaji? Uporaji wa hela na mali za watu binafsi? na ulaji wa rambirambi za wahanga wa tetemeko la Kagera?

Kuhusu kubomoa nyumba za watu, Nyerere alibomoa nyumba za watu kwa ajili ya vijiji bila fidia. Mkapa na Magufuli walibomoa nyumba za watu Morogoro road bila fidia.

Aliyebinafsisha mashirika ya umma mengi ni Mkapa. Kwa mtu makini na anayeelewa mambo bila kuegemea upande anafahamu kuwa aliyeijenga nchi hii hata kutufikisha uchumi wa kati ni Kikwete .

Miradi mingi ya Magufuli initial plans na financing zake zilishakamilia kipindi cha Kikwete.
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Ukweli utaendelea kubaki tu, 'KATOLIKI NDIO BABA LAO' na Kwa hapa kwetu, many non catholic christians huwa wanakiri kwamba pamoja na tofauti za kimadhehebu ila kwa upande wa maslahi, katoliki wanapambania maslahi ya wakriso wote bia ubaguzi!
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Brother hii mbona fumbo la imani? Mpango unaendaje? Wakati kuna kale ka 2015? Sema labda kama kawaida ya jumba jeupe kautabiri kako kako sawa ila kule mjemgo wa dodoma huwa unaambulia patupu na aliwahi bahatika mmoja tu yule 1973 sasa sijui kama hao wa chimwagwa wataibuka dhidi ya Mungu na jumba jeupe
 
Sio kweli, tawala chini mkristo/mkatholiki zimekuwa na kawaida ya ubabe, unyang'anyi na ukandamizaji wa vyombo vya Habari ili wananchi wasijue nini kinaendelea.

Ili hali tawala chini ya waislamu zimekuwa na kawaida ya uimarishaji wa demokrasia, uchumi wa watu na uhuru wa watu na vyombo vya habari.

Ukiangalia vizuri, tawala chini ya waislamu huleta nafuu kwa wananchi kiuchumi na kidemokrasia. Mara zote huja kusawazisha/kutuliza maumivu/machungu ambayo yanakuwa yamesababishwa na tawala chini wakristo.

Ukweli ni kwamba ukatholiki una ukoloni na ubabe mwingi ili hali uislam una ustaarabu mwingi.

Kwa sasa Mhimili wenye nguvu ya maamuzi umebadilika, na huo mhimili hautaruhusu makosa kutokea tena!
If that's the case; inakuwaje zinakuwa unpopular?
 
Humu ndan manabii tumebaki wa 5, yule jamaa aliesema ajali ya ndege,kuna mr pipa , kuna yule jamaa wa corona itapita na mhe, afu kuna yule wa mv, we bwana mkubwa nashindwa kukuweka kwenye list, kwasababu mwaka jana sijui juz umesema rais mwinyi atakalia kiti, leo hujakaa sawa umepindua mezaa, manabii wenzako tunashindwa kukuelewa japo kuna wakati mengine unaenda sawa
Trial and error.

Umesahau pia ameshamtabiria Januari. Ameshamtabiria Samia kuendelea.

Ameshatabiria hadi mwanamke mwingine tofauti na Samia (hakumtaja).

Kwahiyo ye yote atakayekuwa, atakuja kuufufua uzi wake halafu atajigamba alipatia. 😁
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Ila huyo Philip Mpango hapo ndiyo mwisho wake. Tusithubutu Mrundi tena kuingia Ikulu.
 
Back
Top Bottom