bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Matusi kwa watz hayo.
Ni kichaka kwa wapigaji
Ni kichaka kwa wapigaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani samia alipochukua ilikuwa 2025Duu 2025 au?
Naona mkuu kinyume chake ndio sahihi,Wakatoliki hujenga halafu huja waislamu kubomoa na kuuza rasilimali kwa waarabu. Hili limetokea kwa Mwinyi, Kikwete na sasa kwa Samia.
Ukweli utaendelea kubaki tu, 'KATOLIKI NDIO BABA LAO' na Kwa hapa kwetu, many non catholic christians huwa wanakiri kwamba pamoja na tofauti za kimadhehebu ila kwa upande wa maslahi, katoliki wanapambania maslahi ya wakriso wote bia ubaguzi!Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.
Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.
Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.
Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.
Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.
Jumapili Njema
Paskali.
Brother hii mbona fumbo la imani? Mpango unaendaje? Wakati kuna kale ka 2015? Sema labda kama kawaida ya jumba jeupe kautabiri kako kako sawa ila kule mjemgo wa dodoma huwa unaambulia patupu na aliwahi bahatika mmoja tu yule 1973 sasa sijui kama hao wa chimwagwa wataibuka dhidi ya Mungu na jumba jeupeWanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.
Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.
Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.
Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.
Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.
Jumapili Njema
Paskali.
Ni kama vile wakati mwingine anakuwa na "taarifa" fulani hivi!Kwanini mkuu
Kati ya viongozi waliopewa na walioshuhudia waraka wa TEC ukisomwa kanisani ni Filipo na yule dada kiongozi wa mjengoni. Kama siku hiyo hakwenda kanisani kwa shughuli maalum basi ni Mkatoliki.Mpango ni Muanglican
If that's the case; inakuwaje zinakuwa unpopular?Sio kweli, tawala chini mkristo/mkatholiki zimekuwa na kawaida ya ubabe, unyang'anyi na ukandamizaji wa vyombo vya Habari ili wananchi wasijue nini kinaendelea.
Ili hali tawala chini ya waislamu zimekuwa na kawaida ya uimarishaji wa demokrasia, uchumi wa watu na uhuru wa watu na vyombo vya habari.
Ukiangalia vizuri, tawala chini ya waislamu huleta nafuu kwa wananchi kiuchumi na kidemokrasia. Mara zote huja kusawazisha/kutuliza maumivu/machungu ambayo yanakuwa yamesababishwa na tawala chini wakristo.
Ukweli ni kwamba ukatholiki una ukoloni na ubabe mwingi ili hali uislam una ustaarabu mwingi.
Kwa sasa Mhimili wenye nguvu ya maamuzi umebadilika, na huo mhimili hautaruhusu makosa kutokea tena!
Trial and error.Humu ndan manabii tumebaki wa 5, yule jamaa aliesema ajali ya ndege,kuna mr pipa , kuna yule jamaa wa corona itapita na mhe, afu kuna yule wa mv, we bwana mkubwa nashindwa kukuweka kwenye list, kwasababu mwaka jana sijui juz umesema rais mwinyi atakalia kiti, leo hujakaa sawa umepindua mezaa, manabii wenzako tunashindwa kukuelewa japo kuna wakati mengine unaenda sawa
Kama alikamilisha plans, aka-secure funds; ilikuwaje hakutekeleza? Usiruhusu udini u-cloud judgment yako.Miradi mingi ya Magufuli initial plans na financing zake zilishakamilia kipindi cha Kikwete.
Sema andiko lake ni kama lina kitu cha utofauti! Read between the linesNi kama vile wakati mwingine anakuwa na "taarifa" fulani hivi!
Kilichomponyesha huyu jamaa ni Imani yake kwa Mungu na kutochanganya Mungu na Shetani.View attachment 2776066Nikikumbuka hii siku huwa nahisi na kudhani kuna kusudi lipo kwa huyu ndugu, tuombe uzima na kusubiria wakati.
Muda wake ulikuwa umeisha mkuu. Sina udini, nimeweka facts.Kama alikamilisha plans, aka-secure funds; ilikuwaje hakutekeleza? Usiruhusu udini u-cloud judgment yako.
Ila huyo Philip Mpango hapo ndiyo mwisho wake. Tusithubutu Mrundi tena kuingia Ikulu.Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.
Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.
Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.
Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.
Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.
Jumapili Njema
Paskali.
Una uhakika samia ana damu ya tanganyika 100%? Kwanini amekalia kiti? Tumjaji kwa urundi wake au u oman wake?Tec huwa haijali hata kama mrundi...mradi mkatoliki