hamada umelewa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 428
- 791
🤣🤣🤣View attachment 2776066Nikikumbuka hii siku huwa nahisi na kudhani kuna kusudi lipo kwa huyu ndugu, tuombe uzima na kusubiria wakati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣View attachment 2776066Nikikumbuka hii siku huwa nahisi na kudhani kuna kusudi lipo kwa huyu ndugu, tuombe uzima na kusubiria wakati.
Ni simple mkuu, wanajiamini na uongozi wao maana kwa sehemu kubwa ujio na upatikanaji wao kwenye uchaguzi huwa hauna wa lakini.If that's the case; inakuwaje zinakuwa unpopular?
pasco cheki tips zako vizuri, hao jamaa wa jumbaa lile wanatoa jina la mpango ili ashughulikiwe iwe njia rahisi kwq mtu waoWanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.
Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.
Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.
Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.
Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.
Jumapili Njema
Paskali.
Kwahiyo miaka yote kumi haikumtosha?Muda wake ulikuwa umeisha mkuu. Sina udini, nimeweka facts.
Kama wananchi wana uhuru, mbona hizo awamu ndiyo zinaongoza kuwa unpopular?Ni simple mkuu, wanajiamini na uongozi wao maana kwa sehemu kubwa ujio na upatikanaji wao kwenye uchaguzi huwa hauna wa lakini.
Kwa msingi huo hawabani watu kuongea! Wananchi kipindi hicho hupata uhuru wa kutema nyongo baada ya kibano cha wagalatia! Kama ilivyo sasa!
Hizi story za majizi ya kura bana huwa zinaniacha hoi.Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.
Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.
Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.
Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.
Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.
Jumapili Njema
Paskali.
Mkuu paschalWanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.
Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.
Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.
Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.
Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.
Jumapili Njema
Paskali.
CWakatoliki ndio wakristo waliosambaa angalau kwa usawa kila sehemu nchini, makanisa mengine yapo kikanda, kikabila, kifamilia, n.k.
Kkkt - Nyanda za juu kusini
Sabato - Kanda ya ziwa na kaskazini
Moravian - Mbeya
Anglikana - Ruvuma
Makanisa ya Eagt, Tag, n.k ni ya viongozi wanaorithishana kwa kusimikana.
makanisa mengine ya watu binafsi kina Mwamposa, Lusekelo, Mwakasege, mengi sana ni wanyakyusa lakini yapo kifamilia zaidi.
Binafsi sio mkatoliki ila kwenye uraisi tuwaachie tu.
Nenda kasome tena chekechea,hujui lolote wewe,Fuatilia kwa makini utaona kuwa uongozi ukitoka upande wa wakristo hususani katholiki humuumiza sana wananchi.
Kiuchumi na kijamii wananchi huwa hoi bin taaban tofauti na uongozi ukiwa umetoka upande wa waislamu.
Na kwa mtazamo wangu naona ndio hulka ya Kanisa katholiki. Mfano mdogo tu huzikwi kama unadaiwa sadaka!
Kwa hivyo kanisa katholiki hupambana sana Rais awe muumini wao kimkakati waweze kufanya mambo yao freely!
Nenda kasome tena chekechea,hujui lolote wewe,Fuatilia kwa makini utaona kuwa uongozi ukitoka upande wa wakristo hususani katholiki humuumiza sana wananchi.
Kiuchumi na kijamii wananchi huwa hoi bin taaban tofauti na uongozi ukiwa umetoka upande wa waislamu.
Na kwa mtazamo wangu naona ndio hulka ya Kanisa katholiki. Mfano mdogo tu huzikwi kama unadaiwa sadaka!
Kwa hivyo kanisa katholiki hupambana sana Rais awe muumini wao kimkakati waweze kufanya mambo yao freely!
Mie ni mkatolic,na dkt mpango ni mtu mwadilifu sana,lkn hafai kuwa kushika mikoba ya urais,ni mtu mwoga na dhaifu mno.Nami imenijia sauti ikisema hawezi kwakuwa ni mwoga
Daah kama Philipo atakuwa namba moja upinzani au jeshi wajiandae kuchukua nchi!😂🤣😂🤣Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.
Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.
Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.
Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.
Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.
Jumapili Njema
Paskali.
Sawa mkuu, tuelimishe sisi tusiojua lolote.Nenda kasome tena chekechea,hujui lolote wewe,
Labda awekwe ili aendeshwe kwa remote ya aliyemuwekaMie ni mkatolic,na dkt mpango ni mtu mwadilifu sana,lkn hafai kuwa kushika mikoba ya urais,ni mtu mwoga na dhaifu mno.
Huo ni ubaguzi tuliorithishwa ili uwe Rais wa TZ lazima uwe mkatoliki usitoke kwenye kabila kubwaWanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.
Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.
Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.
Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.
Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.
Jumapili Njema
Paskali.
Asante kwa taarifa kakaWanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.
Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.
Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.
Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.
Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.
Jumapili Njema
Paskali.
Alipataga corona nusu afe 🤣🤣Mpango huyuhuyu mwenye miaka 66 sasa?View attachment 2776672