Kama sauti hii ni sauti ya kweli, nimeelezwa Mpango ndio mpango mzima. Swali ni akiwa Mkristo, kwanini ni lazima awe Mkatoliki?

Kama sauti hii ni sauti ya kweli, nimeelezwa Mpango ndio mpango mzima. Swali ni akiwa Mkristo, kwanini ni lazima awe Mkatoliki?

If that's the case; inakuwaje zinakuwa unpopular?
Ni simple mkuu, wanajiamini na uongozi wao maana kwa sehemu kubwa ujio na upatikanaji wao kwenye uchaguzi huwa hauna wa lakini.

Kwa msingi huo hawabani watu kuongea! Wananchi kipindi hicho hupata uhuru wa kutema nyongo baada ya kibano cha wagalatia! Kama ilivyo sasa!
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
pasco cheki tips zako vizuri, hao jamaa wa jumbaa lile wanatoa jina la mpango ili ashughulikiwe iwe njia rahisi kwq mtu wao

au

wanabip waone kuna nini?? ni mtego huo
 
Ni simple mkuu, wanajiamini na uongozi wao maana kwa sehemu kubwa ujio na upatikanaji wao kwenye uchaguzi huwa hauna wa lakini.

Kwa msingi huo hawabani watu kuongea! Wananchi kipindi hicho hupata uhuru wa kutema nyongo baada ya kibano cha wagalatia! Kama ilivyo sasa!
Kama wananchi wana uhuru, mbona hizo awamu ndiyo zinaongoza kuwa unpopular?
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Hizi story za majizi ya kura bana huwa zinaniacha hoi.
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Mkuu paschal
Sisi watanzania tunataka kiongozi mwenye na Utu, Upendo, Kujali na Kuthamini jamii
Hizo dini na madhehebu sio hitaji letu kabisa.
Maana MUNGU hakai kwenye dini ila anaishi kwa wale Wamchao.
 
Wakatoliki ndio wakristo waliosambaa angalau kwa usawa kila sehemu nchini, makanisa mengine yapo kikanda, kikabila, kifamilia, n.k.

Kkkt - Nyanda za juu kusini
Sabato - Kanda ya ziwa na kaskazini
Moravian - Mbeya
Anglikana - Ruvuma

Makanisa ya Eagt, Tag, n.k ni ya viongozi wanaorithishana kwa kusimikana.

makanisa mengine ya watu binafsi kina Mwamposa, Lusekelo, Mwakasege, mengi sana ni wanyakyusa lakini yapo kifamilia zaidi.

Binafsi sio mkatoliki ila kwenye uraisi tuwaachie tu.
C
 

Attachments

  • Screenshot_20231003-230402.png
    Screenshot_20231003-230402.png
    52.5 KB · Views: 9
Fuatilia kwa makini utaona kuwa uongozi ukitoka upande wa wakristo hususani katholiki humuumiza sana wananchi.

Kiuchumi na kijamii wananchi huwa hoi bin taaban tofauti na uongozi ukiwa umetoka upande wa waislamu.

Na kwa mtazamo wangu naona ndio hulka ya Kanisa katholiki. Mfano mdogo tu huzikwi kama unadaiwa sadaka!

Kwa hivyo kanisa katholiki hupambana sana Rais awe muumini wao kimkakati waweze kufanya mambo yao freely!
Nenda kasome tena chekechea,hujui lolote wewe,
 
Fuatilia kwa makini utaona kuwa uongozi ukitoka upande wa wakristo hususani katholiki humuumiza sana wananchi.

Kiuchumi na kijamii wananchi huwa hoi bin taaban tofauti na uongozi ukiwa umetoka upande wa waislamu.

Na kwa mtazamo wangu naona ndio hulka ya Kanisa katholiki. Mfano mdogo tu huzikwi kama unadaiwa sadaka!

Kwa hivyo kanisa katholiki hupambana sana Rais awe muumini wao kimkakati waweze kufanya mambo yao freely!
Nenda kasome tena chekechea,hujui lolote wewe,
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Daah kama Philipo atakuwa namba moja upinzani au jeshi wajiandae kuchukua nchi!😂🤣😂🤣
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Huo ni ubaguzi tuliorithishwa ili uwe Rais wa TZ lazima uwe mkatoliki usitoke kwenye kabila kubwa
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Asante kwa taarifa kaka
 
Back
Top Bottom