Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Ndo uhamasishe wenzako katiba ya ccm ikija mpige kura ya hapana na mlinde kura zenu na nyie maoni yenu yalichakachukuliwa na ccm?
 

Kwani kiongozi wenu ni nani na anapatikana wapi? maana sisi hapa kurugenzi ya mawasiliano hatumfahamu..anaitwa nani? ..
 
Kwani kiongozi wenu ni nani na anapatikana wapi? maana sisi hapa kurugenzi ya mawasiliano hatumfahamu..anaitwa nani? ..

mkuu Super Handsome imani yetu ya kichawi imengawanyika kama ilivyo kwa imani za kikristu na kiislam.

na kila sehemu kuna uongozi wake, lakn mimi najua zaidi viongozi wa kanda ya ziwa.
 
Last edited by a moderator:
Hugh bila shaka no Shy land kaja kivingine tena ..!
Kama namuonaa vile.
 
Last edited by a moderator:
Bush land weka picha yako tukutambue sisi wananchi ndio serikali tukishakutambua zitafuata sheria tuu ambazo zinatungwa na viongozi
 
Jitahidi viongozi wenu tuwatambue coz hoja yako ina kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…