Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Wale wale walikuwa wakimshutumu JK mdini leo Ndio wanabana pua kukemea udini!! ,
Teuzi za Jk hazikuwa na udini hata kidogo, Lakini huyu udini uko wazi kabisa Lakini wale wale nyumbu wa udini eti leo wanakemea watu kusema udini,
Baraza la mawaziri, naibu waziri, katibu wakuu, naibu katibu wakuu, wakurugenzi wa mashirika ya umma, viongozi wa majeshi ya ulinzi, nina hakika 90% ni kristo, halafu eti tunyamaze hapa hatutanyamaza ikifikia kupigania haki yetu wala hatuogopi, kama nchi yetu sote lazima ionyeshe sura ya umoja, Pale Tanesco Ndio Dayosisi nzima iko pale,
Kunywa sumu pumbavu wewe na bado ata pale TRA tunaanzisha jimbo
 
Kwa hiyo haina dini halafu wakuu wa mikoa wanakuwa waislamu sita na wakristo zaidi ya ishirini. Sasa hao wakristo wamepataje uteuzi kama serikali haina dini na nafasi hazikutangazwa popote!!!

Huu udini wa Magufuli utaligawa taifa na kuvuruga umoja wa kitaifa. Toka ameanza kufanya teuzi jicho lake limeona asilimia 85 wakristo na asilimia 15 waislam. Sasa hawa wakristo wakianza kutumia vibaya madaraka na kuweka wakristo wenzao kama ilivyo Tanesco tutafika? Mimi ni mkristo ila sipendi hiyo hali

Haya mambo ya udini ni magumu sana.

Mimi siku zote nasema lazima wawepo watu wa dini zote kwenye nafasi mbalimbali lakini kamwe haiwezi kuwa 50/50. Tukianza kusema wakuu wa mikoa tuwe na waislamu 13 na wakristo 13, mwishowe tutasema muislamu aongoze kwenye waislamu wengi na mkristo hivyo hivyo. Nini itakuwa hatma ya watu wa dini tofuati sehemu hizo?

Kwanza hao waislamu au wakristo wengi tunawapaje katika mikoa husika wakati sensa haiulizi dini ya mtu?

Kwangu la msingi dini zote ziwakilishwe lakini si 50/50 maana sifa za kazi husika ndiyo iwe kigezo. Kuna sehemu waislamu waislamu watakuwa wengi na kuna sehemu wakristo watakuwa wengi. Je kuna kiongozi anaonekana kupendelea watu wa dini yake kwenye kazi zake? Huyo ndiyo wa kumtumbua jipu.
 
Wanawake wameleta ujinsia imekubaliwa,hivyo sishangai na ukiletwa udini. Maana watu wamekubalia kuwe na kuchaguliwa kwa jinsia ya mtu hata si ajabu pia akichaguliwa mtu kwa dini yake.
 
Sio kila muislam ni mfuasi wa taasisi ya Bakwata elewa hilo,rudi katika mada.Miaka kumi yote ya teuzi za JK zilizua mijadala ya udini sasa leo iweje kwa Magufuli tukae kimya? Mwenyewe aliahidi kwamba atakuwa rais wa wote bila kujali dini,vyama au rangi ya mtu.
Wataisoma namba hawakuelewa nini maana yake? Hapo bado hadi watoe machozi
 
Hii serikali imejaa udini waislamu wanatengwa makusudi ksbisa..udini umetawala wagalatia wanajiona ndio wenye haki ya kupewa vyeo safari hii hatukubali..kama mbwai mbwai tu
 
Tukitoka kwenye udini tutahamia kwenye rangi,pua,ndevu,jinsia na .
Ndo hivyoo ndugu yanguu tutaanza ukabilaa, dhehebu, urefu, unene mpka itafkiaa kwa wale wapenzi wa jinsia moja nao watatka balance of power[emoji34]
 
Sio kila muislam ni mfuasi wa taasisi ya Bakwata elewa hilo,rudi katika mada.Miaka kumi yote ya teuzi za JK zilizua mijadala ya udini sasa leo iweje kwa Magufuli tukae kimya? Mwenyewe aliahidi kwamba atakuwa rais wa wote bila kujali dini,vyama au rangi ya mtu.

Rais wangu Lowasa kwahiyo Magu hata akipendelea wakristo hainiumi maana sikumchagua. Hata jk alivyopendelea waislam haikuniuma pia maana sikumchagua Ila nyinyi inawauma kwasababu mlimpa kura zenu Magu ...poleni sana ndo kashawatumia hivyo kama toilet paper
 
Kwa hiyo haina dini halafu wakuu wa mikoa wanakuwa waislamu sita na wakristo zaidi ya ishirini. Sasa hao wakristo wamepataje uteuzi kama serikali haina dini na nafasi hazikutangazwa popote!!!

Huu udini wa Magufuli utaligawa taifa na kuvuruga umoja wa kitaifa. Toka ameanza kufanya teuzi jicho lake limeona asilimia 85 wakristo na asilimia 15 waislam. Sasa hawa wakristo wakianza kutumia vibaya madaraka na kuweka wakristo wenzao kama ilivyo Tanesco tutafika? Mimi ni mkristo ila sipendi hiyo hali
Pia inaangaliwa elimu ya mtu! Usitegemee mtu mwenye elimu ya madrassa apewe ukuu wa mkoa
 
Fanya kazi kwa bidii,kuwa na elimu ya kutosha, kuwa muadilifu na uone kama hautapata nafasi. Unaleta habari za udini wakati kazi haujui .Kingine jiendelezeni kielemu,elimu iwe kipau mbele muone kama hamtateuliwa. Sasa jamii nyingi za imani yako zimekosa msukumo wa kutengeneza workforce,sasa hao viongozi watapatikanaje?
 
Bakwata walimsapoti
Na bado watapndolewa wavaa pedo wote
 
Nitaanza kumkamata mama yako,
Mijitu yenyewe hamjasoma mnabebwabebwa tu wakati wenzenu wanaangika kujenga shule hzo nyie mlikua mnaingia na midudu yenu sahz mnataka kujifanya wajuaje kisa mlibebwabebwa mtaisoma namba na safari hii kabla hatujaanza kazi asubuhi tunapiga sala fupi tunaingia mzigoni ndio ofisi nzima wagalatia sala kwanza kazi inafuata nyie kaendeleeni kupunga pepo. Shwaini ww
 
Serikali haina dini wala kabila wala jinsia.Mtu yeyote anayetaka uongozi utolewe kidini,kikabila au kijinsia anachemka.Serikali ya Tanzania sui serikali ya shirikisho ya vyama vya kidini ,kikabila au kijinsia kuwa kila chama kipate mwakilishi wao humo!!!!

Tanzania waislamu wengi wako kimkoa wako mikoa mitano tu dar es salaam ,Pwani,tanga,lindi na Mtwara.Huko kwingine mikoa mingine kimkoa wengi wanakuwa ni wakristo na wapagani.

Lakini kuwaita wengi ni waislamu kwenye mikoa niliyoitaja ni kuwaonea pia sababu waislamu wa mikoa hiyo hula nguruwe pori na kunywa pombe kuanzia mnazi,gongo pombe za kisasa nk wengi ni mashahidi kwenye hili watu tunaishi nao mitaani tunawajua.

Ukisema mtu achague mwislamu mtu utakuwa unamaanishi nini? Yeye ni Mungu aangalie mwislamu kweli ni yupi na feki ni yupi?

serikali ya Tanzania si msikiti au kanisa unaotafuta maimamu au mapadri wa kusalisha serikalini maofisini.Hivyo anayetafutwa na kuteuliwa haangaliwi ni swala tano au huwa hasali anatafutwa mchapa kazi.

Wale mliozoea kupewa vyeo kwa sababu ya sigida iliyoko usoni ya kuswali Sana swala tano au kuvaa Rozali au tasbihi ndefu shingoni au mkononi ,au misalaba mingi uliyovaa shingoni hakukufanyi iwe sifa ya kuteuliwa na serikali kwenye awamu ya HAPA KAZI TU.Nenda kawaombe wakupe vyeo misikitini au makanisani.

HAPA KAZI TU sio nani dini gani.Unapotafuta mtu wa kuzoa takataka au kutapisha choo hutafuti dini gani
sasa kama haina dini kwa nini wabunge wanaapa kwa dini zao na spika wa bunge anaomba na kusali kabla ya kuanza bunge,dini maana yake ni kuamini Mungu kama yupo na anasaidia ukimuomba, acha ujinga hapo nisawa na kusema wewe ndie muajiri wa rais wakati upangii kazi
 
Magufuri si mdini kabisa. uteuzi wa wakuu wa mikoa 19 wakristu na 7 waislamu. wakati serikali iliyopita wakristu walikuwa 5 tu wakati wa uteuzi wa awali wa jk
Tusio na dini hatupaswi kuwa tz mana mnajiangalia nyie
 
Back
Top Bottom