Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Wotee mnaojadilii udinii pumbaaavuu

Wote mnaokimbiliaa kuangaliaa status za watu walioteuliwa kwa kuzingatia dini pumbaaavuu

Wote mliokuaa mnakimbilia kujadilii mijadala hiyo hiyo kipindi cha jk pumbaaaavu

Karnee hii ya 21 unajadili dinii ya mtu badala ya performance ???
Pumbaaaavu
Ifike mahalii tuwajadilii watu kulingana na uwezo waoo wa utendaji na sio imani yao ambayo ni issue binafsi ya mtu
 
Hii nchi sio ya majaribio, maana makosa yaliyotokea kwenye tawala zilizopita kamwe zisibebwe kwenda mbele. Nchi yetu sio ya kidini na hatuchagui viongozi kulingana na dini au jinsia zao. Viongozi wa nchi yetu wanachaguliwa kutokana na uwezo wao na mchango wao. Sasa kama unataka uchaguliwe kuwa kiongozi kutokana na dini basi nenda saudi arabia. Fanya kazi , muandae mwanao aje kuwa kiongozi usitegemee favor.
 
Ni kweli kabisa, na walioachwa wenngi ni waislam 8 wote ! Hii haikubaliki kabisa kwenye baraza la mawaziri tumepigwa, makatibu wakuu, wakurugenzi wa mashirika ya uma, wakurugenzi wa halmashauri , kitawaka tuu!
 
Magufuri si mdini kabisa. uteuzi wa wakuu wa mikoa 19 wakristu na 7 waislamu. wakati serikali iliyopita wakristu walikuwa 5 tu wakati wa uteuzi wa awali wa jk
Karne hii bado unaongelea udini?.Kuongelea udini ni kufilisika kiakili na inabidi ujitadhimini hata matendo yako.
 
Watu wengine udinimakabila kila kitu kinaangaliwa kwa ukristu na uislam, kweli??
Ndio na wako sahihi tu. Mlivyokuwa mnashawishi watu wawachague kwa makabila yenu mlitegemea Nini!? Yaani mtu mzima kabisa tena dota Wa PhD anashawishi watu wamchague kwa sababu yéyé msukuma!? Et msomi huyo.
 
Nchi haina dini rasmi, lakini watu wake wanadini zao tasmi, hii yakusema serekali haina dini halafu wengine tunaminywa no no no.
 
Pia inaangaliwa elimu ya mtu! Usitegemee mtu mwenye elimu ya madrassa apewe ukuu wa mkoa

Kuna mhubiri wa kiislamu (MJAHIDINA) wakati wa mkapa akiwa kwenye mhadhara alitukana sana asema WAISLAMU KAMA YEYE WENYE UWEZO hawapewi nafasi wanapewa watu wasio na uwezo tu kwa kuwa ni wakristo.Akatukana sana polisi wakamdaka wakampeleka kituoni.

Kufika kituoni kumbe mtu mwenyewe hajui kusoma wala kuandika !!

Polisi wakamwambia wewe ndio ulisema wamekuacha wewe wakati una sifa wakati hujui hata kusoma na kuandika? akaanza kucheka akasema niachieni nihurumieni mwenzenu nalipwa na naishi kwa kazi hii ya kupiga kelele majukwaani.Wakamwachia kwa kumhurumia
 
Karne hii bado unaongelea udini?.Kuongelea udini ni kufilisika kiakili na inabidi ujitadhimini hata matendo yako.
Usisahau na mlivyokuwa mkiomba kura kwa kisukuma. Msijali tunavuna matunda ya ushetani wenu.
 
Ni kweli kabisa, na walioachwa wenngi ni waislam 8 wote ! Hii haikubaliki kabisa kwenye baraza la mawaziri tumepigwa, makatibu wakuu, wakurugenzi wa mashirika ya uma, wakurugenzi wa halmashauri , kitawaka tuu!
waislamu meshachoka unyanyasika lazima tuuwashe moto hii nchi ni ya kwetu sote sio ys upande mmoja tu
 
Ndio na wako sahihi tu. Mlivyokuwa mnashawishi watu wawachague kwa makabila yenu mlitegemea Nini!? Yaani mtu mzima kabisa tena dota Wa PhD anashawishi watu wamchague kwa sababu yéyé msukuma!? Et msomi huyo.

Mkuu, kulikuwa na mtu alikuwa anafanya kampeni za namna hiyo kweli? au unatia na chumvi!
 
Kila uteuzi wa JK ulikuwa unajadiliwa kiudini,Magufuli nae si malaika tumjadili au hii tabia ikome

Kweli kabisa, lakini nnaomba haya madaraka ya raisi kuteua huwa anawateua kwa kufuata Katiba au kwa atakavyoona inafaaa!!?

Hili ombwe la uongozi ndio mzigo mkubwa kwa mlipa kodi huku maendeleo ni kiduuchu na ya kupigania kuanzia mitaani mpaka Bungeni...... Ci mmeona FFU wanavyotubeba mzobe mzobe?
 
Kuna wahubiri wa kiislamu (MJAHIDINA) wakati wa mkapa akiwa kwenye mhadhara alitukana sana asema WAISLAMU KAMA YEYE WENYE UWEZO hawapewi nafasi wanapewa watu wasio na uwezo tu kwa kuwa ni wakristo.Akatukana sana polisi wakamdaka wakampeleka kituoni.

Kufika kituoni kumbe mtu mwenyewe hajui kusoma wala kuandika !!

Polisi wakamwambia wewe ndio ulisema wamekuacha wewe wakati una sifa wakati hujui hata kusoma na kuandika? akaanza kucheka akasema niachieni nihurumieni mwenzenu nalipwa na naishi kwa kazi hii ya kupiga kelele majukwaani.Wakamwachia kwa kumhurumia
Mimi sina dini mkuu, lakini nikiangalia huwa kuna dini moja hawapendi elimu alafu wanalialia kwanini hawapewi nafasi za serikali.
Watu kama hao wakiitawala nchi tutegemee nini?

Elimu
Elimu
Elimu
 
Nchi haina dini rasmi, lakini watu wake wanadini zao tasmi, hii yakusema serekali haina dini halafu wengine tunaminywa no no no.

Wengine akina nani? Kama unapenda udini unaweza kwenda kugombea vyeo Makanisani au Misikitini!
 
Sio kila muislam ni mfuasi wa taasisi ya Bakwata elewa hilo,rudi katika mada.Miaka kumi yote ya teuzi za JK zilizua mijadala ya udini sasa leo iweje kwa Magufuli tukae kimya? Mwenyewe aliahidi kwamba atakuwa rais wa wote bila kujali dini,vyama au rangi ya mtu.
kama hauna wataalamu huko ulitakaje?
 
Back
Top Bottom