Wale wale walikuwa wakimshutumu JK mdini leo Ndio wanabana pua kukemea udini!! ,
Teuzi za Jk hazikuwa na udini hata kidogo, Lakini huyu udini uko wazi kabisa Lakini wale wale nyumbu wa udini eti leo wanakemea watu kusema udini,
Baraza la mawaziri, naibu waziri, katibu wakuu, naibu katibu wakuu, wakurugenzi wa mashirika ya umma, viongozi wa majeshi ya ulinzi, nina hakika 90% ni kristo, halafu eti tunyamaze hapa hatutanyamaza ikifikia kupigania haki yetu wala hatuogopi, kama nchi yetu sote lazima ionyeshe sura ya umoja, Pale Tanesco Ndio Dayosisi nzima iko pale,