amoneyazan
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 698
- 469
acha fujio wewe...tutakutumbuaaaaaaaaKila uteuzi wa JK ulikuwa unajadiliwa kiudini,Magufuli nae si malaika tumjadili au hii tabia ikome
Hii inaitwa msumeno, lazima ikate pande zoteKila uteuzi wa JK ulikuwa unajadiliwa kiudini,Magufuli nae si malaika tumjadili au hii tabia ikome
Karne hii bado unaongelea udini?.Kuongelea udini ni kufilisika kiakili na inabidi ujitadhimini hata matendo yako.Magufuri si mdini kabisa. uteuzi wa wakuu wa mikoa 19 wakristu na 7 waislamu. wakati serikali iliyopita wakristu walikuwa 5 tu wakati wa uteuzi wa awali wa jk
Ndio na wako sahihi tu. Mlivyokuwa mnashawishi watu wawachague kwa makabila yenu mlitegemea Nini!? Yaani mtu mzima kabisa tena dota Wa PhD anashawishi watu wamchague kwa sababu yéyé msukuma!? Et msomi huyo.Watu wengine udinimakabila kila kitu kinaangaliwa kwa ukristu na uislam, kweli??
Pia inaangaliwa elimu ya mtu! Usitegemee mtu mwenye elimu ya madrassa apewe ukuu wa mkoa
Usisahau na mlivyokuwa mkiomba kura kwa kisukuma. Msijali tunavuna matunda ya ushetani wenu.Karne hii bado unaongelea udini?.Kuongelea udini ni kufilisika kiakili na inabidi ujitadhimini hata matendo yako.
Umesema kweli ndugu kwani mleta maada angekuwa na Elimu ya kujitambua asinge ongelea udini.Elimu
Elimu
Elimu
waislamu meshachoka unyanyasika lazima tuuwashe moto hii nchi ni ya kwetu sote sio ys upande mmoja tuNi kweli kabisa, na walioachwa wenngi ni waislam 8 wote ! Hii haikubaliki kabisa kwenye baraza la mawaziri tumepigwa, makatibu wakuu, wakurugenzi wa mashirika ya uma, wakurugenzi wa halmashauri , kitawaka tuu!
Ndio na wako sahihi tu. Mlivyokuwa mnashawishi watu wawachague kwa makabila yenu mlitegemea Nini!? Yaani mtu mzima kabisa tena dota Wa PhD anashawishi watu wamchague kwa sababu yéyé msukuma!? Et msomi huyo.
Kila uteuzi wa JK ulikuwa unajadiliwa kiudini,Magufuli nae si malaika tumjadili au hii tabia ikome
waislamu meshachoka unyanyasika lazima tuuwashe moto hii nchi ni ya kwetu sote sio ys upande mmoja tu
Mimi sina dini mkuu, lakini nikiangalia huwa kuna dini moja hawapendi elimu alafu wanalialia kwanini hawapewi nafasi za serikali.Kuna wahubiri wa kiislamu (MJAHIDINA) wakati wa mkapa akiwa kwenye mhadhara alitukana sana asema WAISLAMU KAMA YEYE WENYE UWEZO hawapewi nafasi wanapewa watu wasio na uwezo tu kwa kuwa ni wakristo.Akatukana sana polisi wakamdaka wakampeleka kituoni.
Kufika kituoni kumbe mtu mwenyewe hajui kusoma wala kuandika !!
Polisi wakamwambia wewe ndio ulisema wamekuacha wewe wakati una sifa wakati hujui hata kusoma na kuandika? akaanza kucheka akasema niachieni nihurumieni mwenzenu nalipwa na naishi kwa kazi hii ya kupiga kelele majukwaani.Wakamwachia kwa kumhurumia
Nchi haina dini rasmi, lakini watu wake wanadini zao tasmi, hii yakusema serekali haina dini halafu wengine tunaminywa no no no.
kama hauna wataalamu huko ulitakaje?Sio kila muislam ni mfuasi wa taasisi ya Bakwata elewa hilo,rudi katika mada.Miaka kumi yote ya teuzi za JK zilizua mijadala ya udini sasa leo iweje kwa Magufuli tukae kimya? Mwenyewe aliahidi kwamba atakuwa rais wa wote bila kujali dini,vyama au rangi ya mtu.