Bhampupile
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 810
- 636
Kwa hiyo miaka kumi mlikuwa nyie?Magufuli ni mkatoliki mdini hatari zaidi ya nyerere
Anaongozwa na kardinali pengo na mkapa.
Wanalipiza walikuwa nje muda miaka10
Anawabamiza waislamu waziwazi.
Acha kutishia nyau wewe, km unapatamani west africa nenda hukohukoBalal sio jipu bse ni mkiristo angekuwa sio mkiristo lingetumbuliwa
This is bias. Anajiri wafanyakazi hewa hela zapotea eti anapewa muda wa kurekebisha.
Kwann rashid badie tea hakupewa muda?
Huu no chuki tu
Na baadae itakuwa kama Afrika ya kati.
Kila MTU chake.
Kweli kabisa na ndio maana Prof Muhongo alituma sms kuagiza kufungukiwa flow meter mara moja na kuvujisha ziara ya kustukiza ya PM lakini hajafanywa lolote.Wakati wenu huuEnzi za madrasat ofisi za serikali yalishapita subiri 2025.
Hizo ni kauli zenu mlisha lishwa sumu hivi ww unatakwimu ya waislam wangapi wanaelim wana madigree wangapi tuko nao mtaani mtawaona vp wakat wanabanwa na mfumo kristo inauma sana aisee watu wanapeleka cv hakuna kazi mnateuana kwa majina huu ndio mfumo kristo leo tutamkumbuka mahroom ilunga sasa naanza kumuelewa
Ndugu unataka kutuaminisha kuwa tusio na kazi wote ni kwasababu ya uislamu wetu?Hizo ni kauli zenu mlisha lishwa sumu hivi ww unatakwimu ya waislam wangapi wanaelim wana madigree wangapi tuko nao mtaani mtawaona vp wakat wanabanwa na mfumo kristo inauma sana aisee watu wanapeleka cv hakuna kazi mnateuana kwa majina huu ndio mfumo kristo leo tutamkumbuka mahroom ilunga sasa naanza kumuelewa
Kwa mtizamo wao hawapaswi kukaa mtaani kwa kukosa kazi ingawa sielewi kama miaka kumi iliyoisha wote walikuwa na ajiraKwani ni waislamu tu hawana kazi? Mbona wakristu kibao wapo mitaani huku wakiwa na elimu tena nzuri tu?
True hizi 50/50 zinabeba watu wasio na vigezoAcha udini wewe. Mh. Rais siyo mdini ila wewe ndiyo mdini kwa sababu unawaza kidini dini. Mbona hujauliza ambao hawana dini ni wangapi wameingizwa?
Mbili angalia teuzi zilizopita za Mh.Kikwete kama ratio ya waislam na wakristo ilikuwa sawa. Wakristo walikuwa ni wengi pia.
Serikali haindeshwi kwa udini ila kwa uwezo wa atakayeteuliwa. Kama hao unaowataka hawajafika kwenye standard zake awaingize tu kwa sababu za kidini?
Hoja yako inamapungufu makubwa. Haina tofauti na wale wanaosema 50/50 kati ya wanaume na wanawake katika uongozi. Kwamba hata kama mwanamke hana uwezo awekwe tu kisa 50/50. Hizi ni hoja muflisi..period!!
Binafsi nilikua nampenda mh magifuli sana na ni mmoja kati ya watu walo mpa kura yangu ila kwa haya ni wajibu kuyasema mh hii nchi sio ya ki dini lakini wananchi wake wanadini lakini kwa
Hizi teuzi zinazofanya na rais wangu mpendwa naweka alama ya kiuuliza kuna nn hapa na nchii hasa waislam kuna agenda gani kali kuliko zote ni hizi teuz za wakuu wa mikoa sijui ni vigezo vp vimetumika ila nachoona ni ndugu zangu waislam 8 wametupwa nje na nikiangalia wakuu wote wa mikoa wapya na wazamani walo baki hawazidi asilimia 10 mh mimi ni raia wa kawaida kabisa lakini sina imani kwa sasa unatumia vigezo gani kiteua viongoz mlisha tuinbia sana waislam hatuna elimu lakini sio kweli mi naiman serekali yako nzima haizidi watu 5000 ambao ni watumishi wa serekal hakuna waislam wenye vigezo kweli vya elimu wakati tupo zaid ya %65 ya watanzania wote tuliishia kusoma madrasa inaniuma sana japo mi ni katika watu wanao kukubali hebu anagalia watumishi wako wa serekali ambao umetumbua majipu%95 ni hao hao unaowapa nafac na ndio wametufikisha hapa muheshimiwa chonde chonde angalia na upande wa pili waislam tunakuangalia tu usianzishe mgogoro na waislam hii nchi yetu sote tunaumia
Haya matusi ndio anayowafundisha Gwajima? Sisi wakristo wa ukweli tunaopenda umoja wa kitaifa tunaunga mkono fursa sawa kwa wote kisiasa. Nyie wakristo wafuasi wa watu endeleeni kutoka povu na jazbaMkiristo gani wewe mbwa koko tu, tangu lini mkiristo aligawe taifa?
Mkuu mwelekeo unapotea vipi kwa kuamua kutambua uwepo wa makundi mbalimbali katika jamii na kufanya jitihada kuhakikisha hakuna anayeona anaonewa na mahitaji ya kila kundi kufanyiwa kazi kwa namna inayowezekana?! Huoni kwamba kufukia vichwa vyetu mchangani na kujifanya hatulioni hili ndiyo kujichimbia kaburi wenyewe?! Mimi nina imani tukiamua kama jamii kusema jamani eeh hapa nchini tuko makundi kadhaa na katika utawala ni vizuri tukatoa nafasi kwe uwiano mzuri kwa kila kundi ili twende mbele, malalamiko ya migawanyiko yatapungua kwa kiasi kikubwa.kamanda maelezo yako mazuri ila lakini bado najiuliza. tunahitaji kubalance udini kwa maana hii ? ili tuweke uwiano wa kutusaidiaje? katika harakati za kukuza uchumi ? bado inanitatiza.tunapoanza kuchanganya dini na siasa hapo ndipo sasa tunapoteza uelekeo. na wenzetu wanatumia weekness hizi hizi kutuchanganya ili tupoteze mwelekeo tusiweze fanya maendeleo ili tuendelee kutawaliwa kifikra. ni lazima tujitambue
Sasa kwa nini hata kikwete alishindwa kuwajaza waislamu kwenye hizo sekta za serikali?Hakuna tatizo tunacho taka mjua pia waislam wanahaki na nchi yao
Simamia ukweli huo na ukweli ni kwamba, wewe ndio una udini. Watu kama nyinyi ndio mtatupeleka pabaya kwa upotoshaji huu. Itabidi watu kama hawa wawajibishwe kwa kauli zisizo na tija.Najua kwa hili nimwewagusa wengi na sina haja ya kuungwa mkono na mtu yyt nitasimamia ukweli kwa yyte ambae ameguswa na hili atanisamee lakini huo ndio ukweli tanzania kunaudini na teuzi zinapo fanyika hivi kwa ubaguzi huo ndio udini