Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Haaaa,, eti Rais magifuli,, alafu wanataka wao ndo wawe wengi kuandika tu shida,, kwanza wao huko si uchaguzi wa Rais wao ulifutwa huyu ,,magifuli,, wanahusu nini huko,, wao wana wimbo wao wa taifa lao, wanakatiba ya taifa lao,, magifuli wa nn tena,,
String ruler kweli sis hatuna rais ,,magifuli,, labda huko kwao zanzibar.
 
Balal sio jipu bse ni mkiristo angekuwa sio mkiristo lingetumbuliwa

This is bias. Anajiri wafanyakazi hewa hela zapotea eti anapewa muda wa kurekebisha.
Kwann rashid badie tea hakupewa muda?
Huu no chuki tu
Na baadae itakuwa kama Afrika ya kati.
Kila MTU chake.
Acha kutishia nyau wewe, km unapatamani west africa nenda hukohuko
 
Enzi za madrasat ofisi za serikali yalishapita subiri 2025.
Kweli kabisa na ndio maana Prof Muhongo alituma sms kuagiza kufungukiwa flow meter mara moja na kuvujisha ziara ya kustukiza ya PM lakini hajafanywa lolote.Wakati wenu huu
 
Hizo ni kauli zenu mlisha lishwa sumu hivi ww unatakwimu ya waislam wangapi wanaelim wana madigree wangapi tuko nao mtaani mtawaona vp wakat wanabanwa na mfumo kristo inauma sana aisee watu wanapeleka cv hakuna kazi mnateuana kwa majina huu ndio mfumo kristo leo tutamkumbuka mahroom ilunga sasa naanza kumuelewa

Kwani ni waislamu tu hawana kazi? Mbona wakristu kibao wapo mitaani huku wakiwa na elimu tena nzuri tu?
 
Hizo ni kauli zenu mlisha lishwa sumu hivi ww unatakwimu ya waislam wangapi wanaelim wana madigree wangapi tuko nao mtaani mtawaona vp wakat wanabanwa na mfumo kristo inauma sana aisee watu wanapeleka cv hakuna kazi mnateuana kwa majina huu ndio mfumo kristo leo tutamkumbuka mahroom ilunga sasa naanza kumuelewa
Ndugu unataka kutuaminisha kuwa tusio na kazi wote ni kwasababu ya uislamu wetu?
Aaaghh
Ngoja nifanye uchunguzi sasa.
Lakini shida ipo ikiwa mtu anajiaminisha kuwa kakosa kazi kwasababu ya dini yake. Basi tuendeni misikinitini na makanisani.
 
Kwani ni waislamu tu hawana kazi? Mbona wakristu kibao wapo mitaani huku wakiwa na elimu tena nzuri tu?
Kwa mtizamo wao hawapaswi kukaa mtaani kwa kukosa kazi ingawa sielewi kama miaka kumi iliyoisha wote walikuwa na ajira
 
Kuna mtu kamuuliza mtoa mada swali hapo juu sijui kama limejibiwa.. Huu mjadala unahusu Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ama Tanganyika pekee?
 
Acha udini wewe. Mh. Rais siyo mdini ila wewe ndiyo mdini kwa sababu unawaza kidini dini. Mbona hujauliza ambao hawana dini ni wangapi wameingizwa?

Mbili angalia teuzi zilizopita za Mh.Kikwete kama ratio ya waislam na wakristo ilikuwa sawa. Wakristo walikuwa ni wengi pia.

Serikali haindeshwi kwa udini ila kwa uwezo wa atakayeteuliwa. Kama hao unaowataka hawajafika kwenye standard zake awaingize tu kwa sababu za kidini?

Hoja yako inamapungufu makubwa. Haina tofauti na wale wanaosema 50/50 kati ya wanaume na wanawake katika uongozi. Kwamba hata kama mwanamke hana uwezo awekwe tu kisa 50/50. Hizi ni hoja muflisi..period!!
True hizi 50/50 zinabeba watu wasio na vigezo
 
Mleta Mada Ni Mpuuzi, Umejiuliza Zanzibar Kuna Waziri Mkristo Hata Mmoja? Kuna Sheha Mkristo Hata Mmoja? Wewe Ni Mjinga Sana.
 
Binafsi nilikua nampenda mh magifuli sana na ni mmoja kati ya watu walo mpa kura yangu ila kwa haya ni wajibu kuyasema mh hii nchi sio ya ki dini lakini wananchi wake wanadini lakini kwa
Hizi teuzi zinazofanya na rais wangu mpendwa naweka alama ya kiuuliza kuna nn hapa na nchii hasa waislam kuna agenda gani kali kuliko zote ni hizi teuz za wakuu wa mikoa sijui ni vigezo vp vimetumika ila nachoona ni ndugu zangu waislam 8 wametupwa nje na nikiangalia wakuu wote wa mikoa wapya na wazamani walo baki hawazidi asilimia 10 mh mimi ni raia wa kawaida kabisa lakini sina imani kwa sasa unatumia vigezo gani kiteua viongoz mlisha tuinbia sana waislam hatuna elimu lakini sio kweli mi naiman serekali yako nzima haizidi watu 5000 ambao ni watumishi wa serekal hakuna waislam wenye vigezo kweli vya elimu wakati tupo zaid ya %65 ya watanzania wote tuliishia kusoma madrasa inaniuma sana japo mi ni katika watu wanao kukubali hebu anagalia watumishi wako wa serekali ambao umetumbua majipu%95 ni hao hao unaowapa nafac na ndio wametufikisha hapa muheshimiwa chonde chonde angalia na upande wa pili waislam tunakuangalia tu usianzishe mgogoro na waislam hii nchi yetu sote tunaumia


kaaa ukijua unacho ongea ni kujipaka matope mwenyewe.
kachagua waislam wangapi au umeona ya wakuu wa mikoa tuu
na katika ile list ya wakwepa ushuru pale bandarini majini asilimia 98% ni nyie waislam
sema huko kote hauoni upo bize na ishu ya wakuu wa mikoa.
kaa ukijua hapa ni kupiga kazi dini unazicha nyumbani kwako.

ukiwa na akili kubwa utaelewa hizi sio zama za kubebana ni zama za kazi
 
Mkiristo gani wewe mbwa koko tu, tangu lini mkiristo aligawe taifa?
Haya matusi ndio anayowafundisha Gwajima? Sisi wakristo wa ukweli tunaopenda umoja wa kitaifa tunaunga mkono fursa sawa kwa wote kisiasa. Nyie wakristo wafuasi wa watu endeleeni kutoka povu na jazba
 
kamanda maelezo yako mazuri ila lakini bado najiuliza. tunahitaji kubalance udini kwa maana hii ? ili tuweke uwiano wa kutusaidiaje? katika harakati za kukuza uchumi ? bado inanitatiza.tunapoanza kuchanganya dini na siasa hapo ndipo sasa tunapoteza uelekeo. na wenzetu wanatumia weekness hizi hizi kutuchanganya ili tupoteze mwelekeo tusiweze fanya maendeleo ili tuendelee kutawaliwa kifikra. ni lazima tujitambue
Mkuu mwelekeo unapotea vipi kwa kuamua kutambua uwepo wa makundi mbalimbali katika jamii na kufanya jitihada kuhakikisha hakuna anayeona anaonewa na mahitaji ya kila kundi kufanyiwa kazi kwa namna inayowezekana?! Huoni kwamba kufukia vichwa vyetu mchangani na kujifanya hatulioni hili ndiyo kujichimbia kaburi wenyewe?! Mimi nina imani tukiamua kama jamii kusema jamani eeh hapa nchini tuko makundi kadhaa na katika utawala ni vizuri tukatoa nafasi kwe uwiano mzuri kwa kila kundi ili twende mbele, malalamiko ya migawanyiko yatapungua kwa kiasi kikubwa.

Ila inapotokea mtu analalamika kama hivi anaambiwa we mbulura nenda kule hatuangalii dini unafikiri ndiyo tatizo litaisha?
 
Tatizo hapa ni elimu sio udini..kiongozi anapokua dini yangu msaada wake ni upi?
 
Hakuna tatizo tunacho taka mjua pia waislam wanahaki na nchi yao
Sasa kwa nini hata kikwete alishindwa kuwajaza waislamu kwenye hizo sekta za serikali?
Nataka mulalamike kuwa kwa nini waktisto wengi ndio wanasoma injinia na md?
Unajua md ni nini?
 
Najua kwa hili nimwewagusa wengi na sina haja ya kuungwa mkono na mtu yyt nitasimamia ukweli kwa yyte ambae ameguswa na hili atanisamee lakini huo ndio ukweli tanzania kunaudini na teuzi zinapo fanyika hivi kwa ubaguzi huo ndio udini
Simamia ukweli huo na ukweli ni kwamba, wewe ndio una udini. Watu kama nyinyi ndio mtatupeleka pabaya kwa upotoshaji huu. Itabidi watu kama hawa wawajibishwe kwa kauli zisizo na tija.
 
Hii nchi licha ya katiba kukaa hayo ya udini uchama kwenye madaraka ya seeikar nk ila huwezi kuwa kiongozi ngeti kama mkuu wa taasisi ya umma mashirika ya umma hata ukuu wa idara bila kuwa na element za uchama na dini pia ipo ingawa inakua ngum kuprove maana michakato huwa inachakatwa na wao
 
Serikali haina dini bali inatambua kuwa MUNGU YUPO na watu wake wana dini. ndio mana ya mwimbo wa Taifa.
 
Back
Top Bottom