Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Najua kwa hili nimwewagusa wengi na sina haja ya kuungwa mkono na mtu yyt nitasimamia ukweli kwa yyte ambae ameguswa na hili atanisamee lakini huo ndio ukweli tanzania kunaudini na teuzi zinapo fanyika hivi kwa ubaguzi huo ndio udini
 
Wewe mtoa mada ndo unaonekana ni mdini nambari moja. Na unataka kutuletea mada zako za udini ambazo hazina tija.

Ungekuwa na tija ya kulalamika kama tu hao waliochaguliwa hawana vigezo vya kupata nafasi hizo, lakini kama wana vigezo kwanini wasichaguliwe?Kilichozingatiwa ni utendaji kazi na sio swala la udini.

Labda utusaidie kutuainishia mkristo aliyechaguliwa ambaye kabebwa na dini lakini hana vigezo?!

Watanzania tuheshimuni sana hii amani yetu tuliyonayo. Tusiruhusu watu kama huyu mtoa mada kuchafua amani yetu.
 
sasa udini umeingiaje kwenye uteuzi, katengue uteuzi bhas uteue majina yako ya kiislamu? how do you know hayo majina ya kiislamu, hizi fikra zingine finyu jamani, watanzania kweli ni mabingwa wa kulalamika
 
Mtoa hoja mwenyewe hata kufuatilia "spelling" kwenye hoja yake hawezi, kazi kurukia mambo ya udini. Pale ni utaalamu tu. Kwanza rekebisha sarufi yako kisha ukajipange na hoja nyingine.
 
Mtoa mada nina mshangaa sana ni taifa lile lile la kulalamika,nakuona udini unakusumbua sana na shida ipo hivi udini ukizidi upo tayari kujitoa mhanga kisa tu ni dini angalia IS,HEEZBULAH,BOKO HARAM,AL SHABAB AL QUIDA ETC hivi hayo yanayofanywa ni uasi au udini,Raisi aliyepita aliweka muslim wengi sana ni mkristo gani alilalamika? Uliwai kutoa malalamiko pindi wakristo hasa yule padre aliyepigwa risasi zanzibar kwamba ni udini? Mbona mnataka mtu afanye kitu ambacho wewe na wenzako ni sawa wakati si sawa? Laiti wewe ungekuwa raisi ungeweka viongozi wote waislamu kutokana na mtazamo wako mdogo wa kufikiri au ni wapi katika katiba inasema raisi aweke wakristo kadhaa na waislamu kadhaa? Ndugu nakusihi tafuta kazi ya kufanya kama huna maana wewe ni mhafidhina mwenye siasa kali.Hapa Tanzania ss hatutaki hizo hbr yako za udini
 
Nilijua mtakuja kwa wingi hizo sera zenu na uongo wenu ulisha pitwa na wakati waislam wapo wengi na wanaelimu ya kutosha ila hawapewi nafac kama teuzi vigezo ni majina sawa john pita ndani saidi nje sawa
Mburula wewe.
 
Binafsi nilikua nampenda mh magifuli sana na ni mmoja kati ya watu walo mpa kura yangu ila kwa haya ni wajibu kuyasema mh hii nchi sio ya ki dini lakini wananchi wake wanadini lakini kwa
Hizi teuzi zinazofanya na rais wangu mpendwa naweka alama ya kiuuliza kuna nn hapa na nchii hasa waislam kuna agenda gani kali kuliko zote ni hizi teuz za wakuu wa mikoa sijui ni vigezo vp vimetumika ila nachoona ni ndugu zangu waislam 8 wametupwa nje na nikiangalia wakuu wote wa mikoa wapya na wazamani walo baki hawazidi asilimia 10 mh mimi ni raia wa kawaida kabisa lakini sina imani kwa sasa unatumia vigezo gani kiteua viongoz mlisha tuinbia sana waislam hatuna elimu lakini sio kweli mi naiman serekali yako nzima haizidi watu 5000 ambao ni watumishi wa serekal hakuna waislam wenye vigezo kweli vya elimu wakati tupo zaid ya %65 ya watanzania wote tuliishia kusoma madrasa inaniuma sana japo mi ni katika watu wanao kukubali hebu anagalia watumishi wako wa serekali ambao umetumbua majipu%95 ni hao hao unaowapa nafac na ndio wametufikisha hapa muheshimiwa chonde chonde angalia na upande wa pili waislam tunakuangalia tu usianzishe mgogoro na waislam hii nchi yetu sote tunaumia


mkipewa nafasi macho yanakuwa mekundu tunaanza kuwaogopa msije mkaaaa......... booooooooooom

natania
 
Kama waislamu wenyewe wa kuteua ndio aina ya akina Kigwangala basi kuna tatizo...
 
CHUKI ZA KIDINI ZIMESHATAMALAKI KATIKA NCHI YA DANGANYIKA, HAKI NA UPENDO HAMNA TENA KATI YA MA JIDINI MAKUBWA MAWILI HAPA NCHINI, TULIPO SASA NI HATUA ZA MWISHO MWISHO KABLA HATUJAANZA KUNYUKANA, NA KUUWANA SANA. MAUAJI AMBAYO YATACHUKUA MIAKA MINGI SANA NA KUITAFUNA KARIBU ROBO TATU YA NCHI HII PENDWA,
RAI YANGU KWA WALE WASAGA SUMU ZA CHUKI ZA KIDINI ANDAENI NA MAZINGIRA YA KUWAPUNGUZIA MAKALI YA VITA VYA KIDINI WAUMINI WENU SABABU NAJUA NYINYI NA FAMILIA ZENU MTATOREKEA UGHAIBUNI MKITUACHA SISI MAKWABWELA WA USWAHILINI TULIOKUWA KAMA NDUGU HAPO KABLA TUKITAFUNANA KAMA WANYAMA MWITUNI.
SASA SIO KAMA KITANUKA TENA BALI NI WAKATI GANI TU KITAANZA.
FARAJA PEKEE YA KUWA MUHANGA WA VITA HIYO NI KUWA SOMO KWA VIZAZI VITAKAVYOKUJA BAADAE KUWA UBINAFSI,UBAGUZI WA KIDINI SI JAMBO JEMA, HIVYO KUPELEKEA WADANGANYIKA KUHESHIMIANA, KUPENDANA NA KUWA WAADILIFU ZAIDI
 
Tangu Dau aondoke NSSF serve ya JF inajaa post za udini. Watu walikuwa na hisa kwa Dau/NSSF?
 
Tatizo mkuu ni kuwa, Tanganyika tiyari ishaingiliwa na Zenj. Kule kwao hawataki kujipatia nafasi wamekuja huku nako. Ndo maana weye hukukumbukwa. Shein angelikuwa kaachia kile kiti, Maalim alikuwa awasaidie saana nyie. Kule kwao, nafasi zote zimeshikwa na ninyi tuu. Hakuna Mkristo hata mmoja.
Sasa nakushauri, mwambie Shein aachie ili Maalim aongoze, atawatafutieni kazi mpaka Oman.
 
Wewe mtoa mada ndo unaonekana ni mdini nambari moja. Na unataka kutuletea mada zako za udini ambazo hazina tija.

Ungekuwa na tija ya kulalamika kama tu hao waliochaguliwa hawana vigezo vya kupata nafasi hizo, lakini kama wana vigezo kwanini wasichaguliwe?Kilichozingatiwa ni utendaji kazi na sio swala la udini.

Labda utusaidie kutuainishia mkristo aliyechaguliwa ambaye kabebwa na dini lakini hana vigezo?!

Watanzania tuheshimuni sana hii amani yetu tuliyonayo. Tusiruhusu watu kama huyu mtoa mada kuchafua amani yetu.
Waislam hawana vigezo ni vigezo gani mnavyo tumia ambavyo waislm hawana mtanaki tu kutumbuana majipu
 
Walikuwa wanamlalamikia dau. kuwa ni mdini kwakuwa tu NSSF kuna 40% ya waislamu na 60% wakiristo Hilo kwao tatizo,lakini kwa magufuli kuteua zaidi ya 80% wagalatia kwao ni fair ndugu zangu waiislamu tuachane na malumbano na hao watu tufanye yetu na tuzingatie Sana kitabu cha Allah yote yameandikwa.
 
Back
Top Bottom