Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Binafsi nilikua nampenda mh magifuli sana na ni mmoja kati ya watu walo mpa kura yangu ila kwa haya ni wajibu kuyasema mh hii nchi sio ya ki dini lakini wananchi wake wanadini lakini kwa
Hizi teuzi zinazofanya na rais wangu mpendwa naweka alama ya kiuuliza kuna nn hapa na nchii hasa waislam kuna agenda gani kali kuliko zote ni hizi teuz za wakuu wa mikoa sijui ni vigezo vp vimetumika ila nachoona ni ndugu zangu waislam 8 wametupwa nje na nikiangalia wakuu wote wa mikoa wapya na wazamani walo baki hawazidi asilimia 10 mh mimi ni raia wa kawaida kabisa lakini sina imani kwa sasa unatumia vigezo gani kiteua viongoz mlisha tuinbia sana waislam hatuna elimu lakini sio kweli mi naiman serekali yako nzima haizidi watu 5000 ambao ni watumishi wa serekal hakuna waislam wenye vigezo kweli vya elimu wakati tupo zaid ya %65 ya watanzania wote tuliishia kusoma madrasa inaniuma sana japo mi ni katika watu wanao kukubali hebu anagalia watumishi wako wa serekali ambao umetumbua majipu%95 ni hao hao unaowapa nafac na ndio wametufikisha hapa muheshimiwa chonde chonde angalia na upande wa pili waislam tunakuangalia tu usianzishe mgogoro na waislam hii nchi yetu sote tunaumia

Baba hata ukiwa dini gani km vigezo huna kalale usingizi
Hapa Kazi tu hakuna dini Baba usikurupuke kichakani
 
NEW CABINET 1990
The new cabinet has 24 members of whom four are new as is also one deputy minister. The cabinet is as follows:
President Ali Hassan Mwinyi
Prime Minister and First Vice-President: Joseph Warioba
Foreign Affairs: Benjamin Mkapa
Energy, Minerals and Water: Jakaya M. Kikwete (new);
Health: Charles Kabeho (new)
Home Affairs: Nalaila Kiula (new)
Industries and Trade: C. Msuya (formerly Minister of Finance)
Communications and Works: P. Ng’wandu (formerly Industries and Trade)
Finance: S. Kibona (formerly Communications and Works)
Local Government, Community Development, Cooperatives and Marketing: Anna Abdallah (formerly Capital Development)
Minister of State, President’s Office (Special Duties concerned with following up government directives): Paul Bomani (formerly Local Government, Community Development, Cooperatives and Marketing)
Minister of State, Presidents Office (Planning): Kighoma Malima
Minister of State Presidents Office (Civil Service) Fatma Said Ali
Minister of State, Presidents Office (Defence): Jackson Makweta
Minister of State, Prime Ministers Office: (Regional Administration): Charles Kileo
Minister of State, Prime Ministers Office: Anna Makinda (Coordination)
Minister of State, Second Vice-Presidents Office: Mohamed Seif Khatibu
Minister Without Portfolio: Rashidi Kawawa
Minister of State, Finance: Amina Salum Ali
Agriculture and Livestock Development: Stephen Wassira
Education: Amran Mayagila
Lands, Natural Resources and Tourism: Marcel Komanya
Labour, Culture and Social Welfare: Joseph Rwegasira
Information and Broadcasting: Ahmed Hassan Diria
Minister of State, Local Government, Community Development, Cooperatives and Marketing: Mateo Qaresi
The Ministry of Justice has been abolished but the Minister, Hr Damian Lubuva, retains his post of Attorney-General.
Deputy Ministers remain the same except for Mr Rajabo 0 Mbana, the MP for Kigoma Rural, who becomes Deputy Minister for Lands, Natural Resources and Tourism and Mr Evarist Mwananso who moves from the Ministry of Lands to the Ministry of Agriculture and Livestock Development.

SEVEN MINISTERS DROPPED
People had to wait another day before the rest of the new government was announced.

President Mwinyi dropped seven ministers. They were, with their old portfolios in brackets, Messrs Al-Noor Kassum (Energy and Minerals), Aaron Chidua (Health), M. Kimario (Home Affairs), D. Lubuva (Justice), C. Kissanji (Water) and A. Ntagazwa (Lands, Natural Resources and Tourism) plus Mrs G. Mongella (Minister without Portfolio).

Source: Tanzanian Affairs » 1990 » May
 
Hivi muhimbili ratio ya madaktari waislamu kwa wasio waislamu ni 50/50? Wakati mwingine tuwe tunatumia akili. Mkristo akiwa waziri wakristo wenziye wananufaikaje? Sadaka zinapanda?

Mmh...mkuu umebamba
 
Uzi huu hauna mashiko, kwani sidhani kama jina la mtu ni utambulisho tosha wa dini.unaweza ukaitwa Shabani na ukawa mpagani au Daud na ukawa muislam.
 
Binafsi nilikua nampenda mh magifuli sana na ni mmoja kati ya watu walo mpa kura yangu ila kwa haya ni wajibu kuyasema mh hii nchi sio ya ki dini lakini wananchi wake wanadini lakini kwa
Hizi teuzi zinazofanya na rais wangu mpendwa naweka alama ya kiuuliza kuna nn hapa na nchii hasa waislam kuna agenda gani kali kuliko zote ni hizi teuz za wakuu wa mikoa sijui ni vigezo vp vimetumika ila nachoona ni ndugu zangu waislam 8 wametupwa nje na nikiangalia wakuu wote wa mikoa wapya na wazamani walo baki hawazidi asilimia 10 mh mimi ni raia wa kawaida kabisa lakini sina imani kwa sasa unatumia vigezo gani kiteua viongoz mlisha tuinbia sana waislam hatuna elimu lakini sio kweli mi naiman serekali yako nzima haizidi watu 5000 ambao ni watumishi wa serekal hakuna waislam wenye vigezo kweli vya elimu wakati tupo zaid ya %65 ya watanzania wote tuliishia kusoma madrasa inaniuma sana japo mi ni katika watu wanao kukubali hebu anagalia watumishi wako wa serekali ambao umetumbua majipu%95 ni hao hao unaowapa nafac na ndio wametufikisha hapa muheshimiwa chonde chonde angalia na upande wa pili waislam tunakuangalia tu usianzishe mgogoro na waislam hii nchi yetu sote tunaumia
Magifuli ndo nini?
 
Zamani katika nchi ya Kusadikika watu waliwabishia sana masheikh wao kuhusu uwepo wa mfumo Kristo katika nchi hiyo, lakini sasa kwa haya wanayoyaona itabidi wakawaombe msamaha!.

Ukiachilia mbali teuzi za mawaziri, Makatibu wakuu and then Wakuu wa mikoa wa nchi hiyo

Chukulia mfano mdogo tu, Katika Kisiwa cha " Minazi, marashi na karufuu", kuna Waislamu asilimia 99, leo mfalme wa Kusadikika kaenda Kuteua Naibu Gavana, katafutwa kutoka ndani ya wale asilimia 1 mpaka kapatikana. Then kweli utawaambia wasadikika kuwa hapa ni by chance au kuna dhamira fulani?
 
MUUMBA ALIVYOTOA SIFA ZA MAKAFIRI AKASEMA HIVI ".....WANAPENDA SANA YALE YANAYOKUDHURUNI,HUDHIHIRIKA CHUKI ZAO KUTOKA KATIKA MIDOMO YAO, NA YANAYOFICHWA NA VIFUA VYAO NI MAKUBWA ZAIDI..." SURA YA 3 AYA YA 119 QUR AN.
Makafiri miongoni mwa sifa zao ni hy hapo juu so, never ever expect anything good from them, tazama hata hoja zao jinsi walivyo doublestandard, pale jambo hilo hilo wanalolikemea kwa jk lilikuwa ni kosa lkn kwa jpm ni sawa tu, wht a poor and selfish arguments??!!
 
makamu wa rais waziri mkuu hivi hawa nao ni wakatoliki kumbeeee?????????acha ujinga wewe................
 
M
Huo ni uongo hata kikwete alijitahidi tu kufanya hivyo huu ni mfumo cristo toka enzi za nyerere na wala sio 50 50

Mfumo kristo ndio ukoje huo hebu tujuze mkuu,na kwanini unam judge mhe rais uteuzi wake kwa kupitia wakuu wa mikoa peke yake?tusiwe wepesi wakuamsha hizi hisia za udini jamani hazitotusaidia.
 
Kama wanawake wanataka iwe 50 kwa 50 na imeonekana ni sawa tu,hivyo watachaguliwa watu kutokana jinsia yake basi hata sishangai na hili dini ya mtu pia nayo kuhusika kwenye kuchagua watu.
 
M


Mfumo kristo ndio ukoje huo hebu tujuze mkuu,na kwanini unam judge mhe rais uteuzi wake kwa kupitia wakuu wa mikoa peke yake?tusiwe wepesi wakuamsha hizi hisia za udini jamani hazitotusaidia.

mfumo kristo JK alijitahidi kuundoa, Magufuli anaurudisha taratibu... naona ana operation Ondoa waislam ingiza mkristo! ... alipokuwa akitumbua wala rushwa na walipa kodi tulimuamini sana na naendelea kumuunga mkono 100% ... lakini hizi teuzi zake sasa hivi amezidi... nasubiri hao wakuu wa wilaya nadhani majina hajaletwa bado toka parokia... !

I`m really sure kama angekuwa na nguvu hadi zanzibar angerundika walewale tu ..

ni mdini kiasi kwamba ametufika hapa!!
 
Walikuwa wanamlalamikia dau. kuwa ni mdini kwakuwa tu NSSF kuna 40% ya waislamu na 60% wakiristo Hilo kwao tatizo,lakini kwa magufuli kuteua zaidi ya 80% wagalatia kwao ni fair ndugu zangu waiislamu tuachane na malumbano na hao watu tufanye yetu na tuzingatie Sana kitabu cha Allah yote yameandikwa.
KWELI MKUU WAISLAMU WAKIWA WENGI KUNA UDINI..WAGALATIA WAKIWA WENGI HAKUNA UDINI HII SERIKALI YA MAGUFULI IMEJAA UDINI SANA
 
mfumo kristo JK alijitahidi kuundoa, Magufuli anaurudisha taratibu... naona ana operation Ondoa waislam ingiza mkristo! ... alipokuwa akitumbua wala rushwa na walipa kodi tulimuamini sana na naendelea kumuunga mkono 100% ... lakini hizi teuzi zake sasa hivi amezidi... nasubiri hao wakuu wa wilaya nadhani majina hajaletwa bado toka parokia... !

I`m really sure kama angekuwa na nguvu hadi zanzibar angerundika walewale tu ..

ni mdini kiasi kwamba ametufika hapa!!
serikali ya magufuli imejaa udini wa kutisha...
 
Tafakari,nchi hii haina udini ila nyie ni walalamishi sana awamu ya nne mlitikisa nchi sana kwa udini hata hivyo busara ya Wakristo imefanya tufike hapa tulipo
awamu hii ya magufuli imejaa udini
 
k
MUUMBA ALIVYOTOA SIFA ZA MAKAFIRI AKASEMA HIVI ".....WANAPENDA SANA YALE YANAYOKUDHURUNI,HUDHIHIRIKA CHUKI ZAO KUTOKA KATIKA MIDOMO YAO, NA YANAYOFICHWA NA VIFUA VYAO NI MAKUBWA ZAIDI..." SURA YA 3 AYA YA 119 QUR AN.
Makafiri miongoni mwa sifa zao ni hy hapo juu so, never ever expect anything good from them, tazama hata hoja zao jinsi walivyo doublestandard, pale jambo hilo hilo wanalolikemea kwa jk lilikuwa ni kosa lkn kwa jpm ni sawa tu, wht a poor and selfish arguments??!!
kweli mkuu sehemu waislamu wakiwa wengi kuna udini...wagalatia wakiwa wengi hakuna udini hii ajabu sana
 
Kwahiyo SAMIA SULUHU NA MAJALIWA ni wakristu.,, nyie watu sijui mnataka nini...yn shida yenu mchaguliwe ht km hamna sifa....udin wenu peleken Afghanistan huko. ..
 
Back
Top Bottom