Kama shule za Private zikifanikiwa kumfanya kila mtoto wa primari kupata A nini kitatokea?

Kama shule za Private zikifanikiwa kumfanya kila mtoto wa primari kupata A nini kitatokea?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Elimu biashara imeharibu maana ya elimu ya msingi.

Kunamashindo makubwa ya kupata A, madogo wanaboostiwa kwa kufosi ili wapate kula somo A. Nimewahi kukutana na kabinti kanalia eti kamepata 46/50 hesabu wakati kalitarajia kupata 48/50 mock, ila nilipomfanyia udukuzi nikajua hata hesabu za sehemu mchanganyiko hajui kusovu.

Unadhani nini madhara ya kulazimisha watoto wapate A katika maendeleo ya elumu yetu?
 
Jiulize pia kwenye interview juz Kati hapa waliitwa watu zaidi ya 700 TRA wanahitaji watu 15. Watachaguliwa wale waliopata marks za juu za interview.

Madogo kuanzia Chini wazoee Msoto.
Noma sana.
 
Elimu biashara imeharibu maana ya elimu ya msingi.

Kunamashindo makubwa ya kupata A, madogo wanaboostiwa kwa kufosi ili wapate kula somo A. Nimewahi kukutana na kabinti kanalia eti kamepata 46/50 hesabu wakati kalitarajia kupata 48/50 mock, ila nilipomfanyia udukuzi nikajua hata hesabu za sehemu mchanganyiko hajui kusovu.

Unadhani nini madhara ya kulazimisha watoto wapate A katika maendeleo ya elumu yetu?
Tulia Akson alisema kama wanafunzi wote watafaulu ni nani atafanya kazi za hovyohovyo? Huwa sielewi kauli yake hiyo ililenga nini!!!
 
Tunatengeneza kizazi Cha majobless and incompetent working class kwa kufanya elimu kuwa biashara. Nchi za wenzetu elimu Bora ni basic need huku kwetu hata elimu wamekabidhiwa wafanya biashara.
Mbaya sana mkuu elimu inapaswa kuwa huduma
 
Elimu biashara imeharibu maana ya elimu ya msingi.

Kunamashindo makubwa ya kupata A, madogo wanaboostiwa kwa kufosi ili wapate kula somo A. Nimewahi kukutana na kabinti kanalia eti kamepata 46/50 hesabu wakati kalitarajia kupata 48/50 mock, ila nilipomfanyia udukuzi nikajua hata hesabu za sehemu mchanganyiko hajui kusovu.

Unadhani nini madhara ya kulazimisha watoto wapate A katika maendeleo ya elumu yetu?
Mnawalaumu Private kuandaa watoto kushindana kupata ufaulu mkubwa, wakati nyienyie mkishafika vyuo mnashindania GPA, hata viongozi ili kuwakosoa mnashinda mnatafutanmatokeo yao ya madarasani ili mpate hoja.


Kama siyo nanilii, unadhani kinachopelekea hali hii kitakua ni kipi?
 
Tulia Akson alisema kama wanafunzi wote watafaulu ni nani atafanya kazi za hovyohovyo? Huwa sielewi kauli yake hiyo ililenga nini!!!
Walioanzisha mfumo wa elimu duniani waliuweka uwe wa pyramid structure na sio kama sio cube.
Yaani wanaanza shule 1000000 wanaograduate level ya mwisho ni 1000.
Sio waanze 100000 na wamalize 1000000.
Na hiyo ndo nature
 
Balaa zito. Kuna katoto kanasoma la saba. Kana A za kutosha.

Nilikauliza PI ni nini kwenye hesabu.
Naomba anifundishe nielewe kuhusu PI.
Alishindwa kunieleza. Sababu amekaririshwa
Ni hatari.
Nilifanikiwa kukutana na dogo msichana ambaye anaongoza darasa zima. Nikamuomba anionyeshe njia yakusolve swali flani la kurahisisha.

Hajui njia ila anajua jibu. Nikagundua karibu wote hawajui na wala hwataki kujua njia ya kufukia kwenye majibu, wamekaririshwa ujanjaujanja. Ukiona hivi ujue ni vile. Walivyopewa mtihani wa kufanya kwa kuonyesha wamefikaje kwenye jibu hatua kwa hatua wote chali. Na mkuu wao na bosi akanuna anaona kama wanacheleweshwa.

Hadi nikamiss enzi zile za Swali, Kazi, Jibu.
 
Mnawalaumu Private kuandaa watoto kushindana kupata ufaulu mkubwa, wakati nyienyie mkishafika vyuo mnashindania GPA, hata viongozi ili kuwakosoa mnashinda mnatafutanmatokeo yao ya madarasani ili mpate hoja.


Kama siyo nanilii, unadhani kinachopelekea hali hii kitakua ni kipi?
View attachment 2771431
Hahahaha
Umeandika ukweli mkuu.
 
Walioanzisha mfumo wa elimu duniani waliuweka uwe wa pyramid structure na sio kama sio cube.
Yaani wanaanza shule 1000000 wanaograduate level ya mwisho ni 1000.
Sio waanze 100000 na wamalize 1000000.
Na hiyo ndo nature
Nasikia hii elimu ya mifumo hii ilibuniwa na matajiri ili wapate watu cream wa kuwafanyia kazi zao. Watu wa maana duniani hawafuati hii mifumo.
 
Elimu biashara imeharibu maana ya elimu ya msingi.

Kunamashindo makubwa ya kupata A, madogo wanaboostiwa kwa kufosi ili wapate kula somo A. Nimewahi kukutana na kabinti kanalia eti kamepata 46/50 hesabu wakati kalitarajia kupata 48/50 mock, ila nilipomfanyia udukuzi nikajua hata hesabu za sehemu mchanganyiko hajui kusovu.

Unadhani nini madhara ya kulazimisha watoto wapate A katika maendeleo ya elumu yetu?

kitakachotokea ni kwamba A zitakua nyingi zaidi kuliko B, C, D, na F, na kwahivyo wenye sifa za kuajiriwa mathalalani serikalini na kwenye mashirika watakua wengi zaidi kuliko ajira zenyewe.

Kilimo kitapata nguvu zaidi.
 
Nimetoka kusoma kitabu cha rich dad poor dad asubuhi ya leo na katika kurasa za mwanzo muandishi anasema.
Elimu ya kujikomboa kiuchumi haitolewi shuleni bali nyumbani.
Nyumbani ndipo mtoto anaweza kupata misingi itakayomkuza kiuchumi na sio shule.
Shule mtoto anaenda kugain skills na knowledge mbalimbali
Screenshot_20231004-113852.png
 
Balaa zito. Kuna katoto kanasoma la saba. Kana A za kutosha.

Nilikauliza PI ni nini kwenye hesabu.
Naomba anifundishe nielewe kuhusu PI.
Alishindwa kunieleza. Sababu amekaririshwa
Kwani ni nini?
 
Back
Top Bottom