Kama si Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na wazalendo wengine haya yasingetokea

Kama si Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na wazalendo wengine haya yasingetokea

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
- Ukomo wa mkataba umekua miaka 30 tofauti na IGA ambayo haikua na ukomo.

-DPW imepewa magati manne tu (no.4 hadi no.7) tofauti na awali ambapo ilipewa magati yote.

- Gati no.0 hadi no.3 yataendeshwa na TPA kwa kushirikiana na DPW. Na gati no.8 hadi no.11 yatatafutiwa mwekezaji mwingine.

- DPW itaendesha bandari ya Dar tu na sio bandari zote kama IGA ilivyoeleza.

- TRA itakusanya mapato tofauti na hapo awali ambapo mapato yangekusanywa na Dubai.

- CAG atakagua hesabu tofauti na awali ambapo alikua haruhusiwi.

- Serikali itachukua 60% ya mapato ghafi na DPW 40% tofauti na awali ambapo ilikua siri.

- DPW itawekeza $250M kama amana ya kwanza kwa miaka mitano, tofauti na awali ambapo ilikua siri.

Marekebisho haya yasingefanyika kama wote tungekua makasuku wa kukubali kila kitu. Waraka wa TEC na sauti za wote waliopinga ndio zimefanya serikali ifyate mkia na kufanya marekebisho haya.
 
Bado kuna maswali ya muhimu kujiuliza, hasa kwangu ambaye sijabahatika kuuona huo mkataba mpya kati ya serikali na DPW, ambapo pia sijui nyie wengine mnaokuja na hayo makubaliano kama mmebahatika kuuona, au mmeamua kuridhika kugeuzwa watoto wadogo msiojua kusoma na kuandika, mkahadithiwa kilichomo ndani ya huo mkataba mkaamini.

Hebu jaribu kutazama mazingira yaliyokuwepo wakati wa kusainiwa ile IGA, ambapo ilithibitika wazi kabisa, rushwa ilitembea kwa kiasi kikubwa na kwa watendaji wengi, tena watendaji ambao leo wanakuja tena kutuhadithia kuingia mkataba mpya ambao umekuja kujibu yale maswali yaliyowashinda kwenye ile IGA.

Hivi hawa watu waliokuwa na nia ovu mwanzo, mpaka wakaingia mkataba wa hovyo kama ule, leo mtu unayejielewa unaweza vipi kuwaamini wakikwambia mkataba mpya walioingia una hiki na kile? ok, najitoa akili nami naamini huo mkataba walioingia ni mzuri, lakini tena, hivi unaweza kujenga nyumba nzuri juu ya msingi mbovu [IGA]?

Hapo sijitoi akili, naamini ni mpuuzi pekee atakayeshangilia hilo igizo. Hapa ninaungana na TEC kupinga hilo igizo, kwasababu huwezi kuwa na jambo lenye chimbuko la kishetani, halafu ukalitafutia namna ya kulibariki mbele ya safari, dawa ilikuwa ni kufuta ule ushetani wa mwanzo.
 
- Ukomo wa mkataba umekua miaka 30 tofauti na IGA ambayo haikua na ukomo.

-DPW imepewa magati manne tu (no.4 hadi no.7) tofauti na awali ambapo ilipewa magati yote.

- Gati no.0 hadi no.3 yataendeshwa na TPA kwa kushirikiana na DPW. Na gati no.8 hadi no.11 yatatafutiwa mwekezaji mwingine.

- DPW itaendesha bandari ya Dar tu na sio bandari zote kama IGA ilivyoeleza.

- TRA itakusanya mapato tofauti na hapo awali ambapo mapato yangekusanywa na Dubai.

- CAG atakagua hesabu tofauti na awali ambapo alikua haruhusiwi.

- Serikali itachukua 60% ya mapato ghafi na DPW 40% tofauti na awali ambapo ilikua siri.

- DPW itawekeza $250M kama amana ya kwanza kwa miaka mitano, tofauti na awali ambapo ilikua siri.

Marekebisho haya yasingefanyika kama wote tungekua makasuku wa kukubali kila kitu. Waraka wa TEC na sauti za wote waliopinga ndio zimefanya serikali ifyate mkia na kufanya marekebisho haya.
wewe wasema tu, as long as you have not seen the content of the signed contracts, reserve your conclusions!
 
- Ukomo wa mkataba umekua miaka 30 tofauti na IGA ambayo haikua na ukomo.

-DPW imepewa magati manne tu (no.4 hadi no.7) tofauti na awali ambapo ilipewa magati yote.

- Gati no.0 hadi no.3 yataendeshwa na TPA kwa kushirikiana na DPW. Na gati no.8 hadi no.11 yatatafutiwa mwekezaji mwingine.

- DPW itaendesha bandari ya Dar tu na sio bandari zote kama IGA ilivyoeleza.

- TRA itakusanya mapato tofauti na hapo awali ambapo mapato yangekusanywa na Dubai.

- CAG atakagua hesabu tofauti na awali ambapo alikua haruhusiwi.

- Serikali itachukua 60% ya mapato ghafi na DPW 40% tofauti na awali ambapo ilikua siri.

- DPW itawekeza $250M kama amana ya kwanza kwa miaka mitano, tofauti na awali ambapo ilikua siri.

Marekebisho haya yasingefanyika kama wote tungekua makasuku wa kukubali kila kitu. Waraka wa TEC na sauti za wote waliopinga ndio zimefanya serikali ifyate mkia na kufanya marekebisho haya.
[emoji355]100 ni mafiii

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
- Ukomo wa mkataba umekua miaka 30 tofauti na IGA ambayo haikua na ukomo.

-DPW imepewa magati manne tu (no.4 hadi no.7) tofauti na awali ambapo ilipewa magati yote.

- Gati no.0 hadi no.3 yataendeshwa na TPA kwa kushirikiana na DPW. Na gati no.8 hadi no.11 yatatafutiwa mwekezaji mwingine.

- DPW itaendesha bandari ya Dar tu na sio bandari zote kama IGA ilivyoeleza.

- TRA itakusanya mapato tofauti na hapo awali ambapo mapato yangekusanywa na Dubai.

- CAG atakagua hesabu tofauti na awali ambapo alikua haruhusiwi.

- Serikali itachukua 60% ya mapato ghafi na DPW 40% tofauti na awali ambapo ilikua siri.

- DPW itawekeza $250M kama amana ya kwanza kwa miaka mitano, tofauti na awali ambapo ilikua siri.

Marekebisho haya yasingefanyika kama wote tungekua makasuku wa kukubali kila kitu. Waraka wa TEC na sauti za wote waliopinga ndio zimefanya serikali ifyate mkia na kufanya marekebisho haya.
Kwa hiyo Sisi wenyewe kukopa na kuwekeza hizo $250m imekuwa kizungumkuti au tungezichukulia Kwa mkandarasi .

Jambo jingine litakalowezesha Bandari iweze kufanya kazi Kwa ufanisi ni kufanikisha au kumaliza Ujenzi wa reli ili hiyo mizigo ifike inakokwenda Kwa wakati. Lakini viongozi wetu hawaoni Hilo mpaka DPW aseme , Au wafanya biashara wa uchukuzi ambao hawaishi kusafiri na viongozi wetu.
 
IGA ndo inayolinda hiyo mikataba ya uwekezaji, kwa sababu imekaa kikanjanja mwarabu atafanya anavyojisikia na hamna mtakalomfanya maana IGA inamlinda, mkijichanganya kutaka kuvunja mkataba ndo mtajua hamjui....kumbuka juzi hapa mmetoka kulipa bil. 75 ya kuvunja mkataba.​
 
Bunge ndilo lililopitisha yale madudu ya IGA na kama kuna ukweli ya hayo yanayosemwa kubadilika tuone yakirudi bungeni.
Yasiporudi kule ni kwamba tumepigwa na kitu chenye ncha kali mfano wa Samsoni kwa Delila.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
- Ukomo wa mkataba umekua miaka 30 tofauti na IGA ambayo haikua na ukomo.

-DPW imepewa magati manne tu (no.4 hadi no.7) tofauti na awali ambapo ilipewa magati yote.

- Gati no.0 hadi no.3 yataendeshwa na TPA kwa kushirikiana na DPW. Na gati no.8 hadi no.11 yatatafutiwa mwekezaji mwingine.

- DPW itaendesha bandari ya Dar tu na sio bandari zote kama IGA ilivyoeleza.

- TRA itakusanya mapato tofauti na hapo awali ambapo mapato yangekusanywa na Dubai.

- CAG atakagua hesabu tofauti na awali ambapo alikua haruhusiwi.

- Serikali itachukua 60% ya mapato ghafi na DPW 40% tofauti na awali ambapo ilikua siri.

- DPW itawekeza $250M kama amana ya kwanza kwa miaka mitano, tofauti na awali ambapo ilikua siri.

Marekebisho haya yasingefanyika kama wote tungekua makasuku wa kukubali kila kitu. Waraka wa TEC na sauti za wote waliopinga ndio zimefanya serikali ifyate mkia na kufanya marekebisho haya.
Kimsingi HGA haijabadili IGA. Ni suala la muda tu wakisubiri wananchi tusahau kisha inakuja HGA kutimiliza takwa la IGA

Mark my words
 
- Ukomo wa mkataba umekua miaka 30 tofauti na IGA ambayo haikua na ukomo.

-DPW imepewa magati manne tu (no.4 hadi no.7) tofauti na awali ambapo ilipewa magati yote.

- Gati no.0 hadi no.3 yataendeshwa na TPA kwa kushirikiana na DPW. Na gati no.8 hadi no.11 yatatafutiwa mwekezaji mwingine.

- DPW itaendesha bandari ya Dar tu na sio bandari zote kama IGA ilivyoeleza.

- TRA itakusanya mapato tofauti na hapo awali ambapo mapato yangekusanywa na Dubai.

- CAG atakagua hesabu tofauti na awali ambapo alikua haruhusiwi.

- Serikali itachukua 60% ya mapato ghafi na DPW 40% tofauti na awali ambapo ilikua siri.

- DPW itawekeza $250M kama amana ya kwanza kwa miaka mitano, tofauti na awali ambapo ilikua siri.

Marekebisho haya yasingefanyika kama wote tungekua makasuku wa kukubali kila kitu. Waraka wa TEC na sauti za wote waliopinga ndio zimefanya serikali ifyate mkia na kufanya marekebisho haya.
Uwepo wa mitandao ya jamii umezusha tabia moja ya kishamba sana inayoonekana ni hali ya kawaida tu.

Ukomo wa mikataba usingeweza kuwekwa kwenye mkataba wa IGA uliokwenda kwanza bungeni. Umewekwa kwenye mikataba ya kibiashara mahali ambapo kiuhalisia ni sahihi kuwekwa ukomo kwani ni baada ya majadiliano ya muda mrefu kati ya DPW na serikali yetu, isingewezekana IGA ikawa na ukomo.

DPW tangu mwanzo alihitaji magati manne yaani namba nne mpaka saba pekee kwa ajili ya kuyaendesha, Sio kweli kwamba ameyataka magati hayo eti baada ya presha ya maaskofu na wanasheria wetu wa kibongo. Sio kweli kwamba aliyataka magati yote tatizo ni ubishi na ujuaji wa kitanzania unaosambazwa kwa kutumia simu zetu za mikononi.

Sio kweli kwamba IGA inaeleza kuwa DPW ataendesha magati yote, ni uelewa wetu wenye matatizo ndio uliotudanganya na tukaendelea kudanganya umma wa watanzania.

Hamza Johari alisema tangu mwanzo kwamba DPW atafuata sheria na kanuni zote za nchi, kwa maana ya kulipa kodi kwa TRA.

Kama watakusanya kodi TRA kwanini CAG asiwe na mamlaka ya kukagua kinachofanyika ndani ya biashara ya uendeshaji wa Bandari yetu?.

Serikali kuchukua asilimia 60 ya mapato ni baada ya majadiliano ya kina ya pande mbili kufanyika na makubaliano yaliyofikiwa ndio hayo, hiyo ni matunda ya mkataba wa kibiashara kuandikwa na kusainiwa.

Tatizo letu watanzania ni kutaka kuwa na sauti kwenye hii biashara tangu mwanzo tukidhani eti tunaibiwa!. Hata hizi pointi tunazojaribu kuwadanganya watu kwamba ni matunda ya presha ya taasisi za umma, ni uongo mwingine wa wasomi wetu ili waonekane wamefanya suala la muhimu.

Tupunguze huu ujuaji mwingi, IGA hatukuifahamu kwa kina na hata namna mikataba mingine ya kibiashara namna ilivyozaliwa pia hatukuwa na uelewa wa nini kitakachokwenda kutokea.

Tupunguze ujuaji sio kila mtu kwa sababu anayo simu ya mkononi na anaweza kuandika chochote na kikazifikia mamlaka basi ndio ameshakuwa mtaalam wa fani husika.
 
Uwepo wa mitandao ya jamii umezusha tabia moja ya kishamba sana inayoonekana ni hali ya kawaida tu.

Ukomo wa mikataba usingeweza kuwekwa kwenye mkataba wa IGA uliokwenda kwanza bungeni. Umewekwa kwenye mikataba ya kibiashara mahali ambapo kiuhalisia ni sahihi kuwekwa ukomo kwani ni baada ya majadiliano ya muda mrefu kati ya DPW na serikali yetu, isingewezekana IGA ikawa na ukomo.

DPW tangu mwanzo alihitaji magati manne yaani namba nne mpaka saba pekee kwa ajili ya kuyaendesha, Sio kweli kwamba ameyataka magati hayo eti baada ya presha ya maaskofu na wanasheria wetu wa kibongo. Sio kweli kwamba aliyataka magati yote tatizo ni ubishi na ujuaji wa kitanzania unaosambazwa kwa kutumia simu zetu za mikononi.

Sio kweli kwamba IGA inaeleza kuwa DPW ataendesha magati yote, ni uelewa wetu wenye matatizo ndio uliotudanganya na tukaendelea kudanganya umma wa watanzania.

Hamza Johari alisema tangu mwanzo kwamba DPW atafuata sheria na kanuni zote za nchi, kwa maana ya kulipa kodi kwa TRA.

Kama watakusanya kodi TRA kwanini CAG asiwe na mamlaka ya kukagua kinachofanyika ndani ya biashara ya uendeshaji wa Bandari yetu?.

Serikali kuchukua asilimia 60 ya mapato ni baada ya majadiliano ya kina ya pande mbili kufanyika na makubaliano yaliyofikiwa ndio hayo, hiyo ni matunda ya mkataba wa kibiashara kuandikwa na kusainiwa.

Tatizo letu watanzania ni kutaka kuwa na sauti kwenye hii biashara tangu mwanzo tukidhani eti tunaibiwa!. Hata hizi pointi tunazojaribu kuwadanganya watu kwamba ni matunda ya presha ya taasisi za umma, ni uongo mwingine wa wasomi wetu ili waonekane wamefanya suala la muhimu.

Tupunguze huu ujuaji mwingi, IGA hatukuifahamu kwa kina na hata namna mikataba mingine ya kibiashara namna ilivyozaliwa pia hatukuwa na uelewa wa nini kitakachokwenda kutokea.

Tupunguze ujuaji sio kila mtu kwa sababu anayo simu ya mkononi na anaweza kuandika chochote na kikazifikia mamlaka basi ndio ameshakuwa mtaalam wa fani husika.
Rais Samia alisema maoni ya watu na taasisi mbalimbali yalizingatiwa baada ya kuwepo kwa malalamiko mengi sasa sijui kwanini unasema hakuna kilichobadilishwa. Na wewe mkataba ule ulivyokuwa (hata kama ulikuwa ni MoU yenye ujumla wa mambo ) ulikuwa sawa tu?!
 
Kama wewe sio mjuvi wa Sheria kaa tu utulie hii ni taalma ndugu, IGA Ndoo kila kitu usidanganywe.
 
Sasa hayo yote yangekuwa ndani ya IGA hiyo mikataba mitatu iliyosainiwa juzi ingekuwa na kazi gani?
Ujinga ni mzigo eti mtu anaandika kabisa serious na wajinga wanamuona kichwa.
 
Uwepo wa mitandao ya jamii umezusha tabia moja ya kishamba sana inayoonekana ni hali ya kawaida tu.

Ukomo wa mikataba usingeweza kuwekwa kwenye mkataba wa IGA uliokwenda kwanza bungeni. Umewekwa kwenye mikataba ya kibiashara mahali ambapo kiuhalisia ni sahihi kuwekwa ukomo kwani ni baada ya majadiliano ya muda mrefu kati ya DPW na serikali yetu, isingewezekana IGA ikawa na ukomo.

DPW tangu mwanzo alihitaji magati manne yaani namba nne mpaka saba pekee kwa ajili ya kuyaendesha, Sio kweli kwamba ameyataka magati hayo eti baada ya presha ya maaskofu na wanasheria wetu wa kibongo. Sio kweli kwamba aliyataka magati yote tatizo ni ubishi na ujuaji wa kitanzania unaosambazwa kwa kutumia simu zetu za mikononi.

Sio kweli kwamba IGA inaeleza kuwa DPW ataendesha magati yote, ni uelewa wetu wenye matatizo ndio uliotudanganya na tukaendelea kudanganya umma wa watanzania.

Hamza Johari alisema tangu mwanzo kwamba DPW atafuata sheria na kanuni zote za nchi, kwa maana ya kulipa kodi kwa TRA.

Kama watakusanya kodi TRA kwanini CAG asiwe na mamlaka ya kukagua kinachofanyika ndani ya biashara ya uendeshaji wa Bandari yetu?.

Serikali kuchukua asilimia 60 ya mapato ni baada ya majadiliano ya kina ya pande mbili kufanyika na makubaliano yaliyofikiwa ndio hayo, hiyo ni matunda ya mkataba wa kibiashara kuandikwa na kusainiwa.

Tatizo letu watanzania ni kutaka kuwa na sauti kwenye hii biashara tangu mwanzo tukidhani eti tunaibiwa!. Hata hizi pointi tunazojaribu kuwadanganya watu kwamba ni matunda ya presha ya taasisi za umma, ni uongo mwingine wa wasomi wetu ili waonekane wamefanya suala la muhimu.

Tupunguze huu ujuaji mwingi, IGA hatukuifahamu kwa kina na hata namna mikataba mingine ya kibiashara namna ilivyozaliwa pia hatukuwa na uelewa wa nini kitakachokwenda kutokea.

Tupunguze ujuaji sio kila mtu kwa sababu anayo simu ya mkononi na anaweza kuandika chochote na kikazifikia mamlaka basi ndio ameshakuwa mtaalam wa fani husika.
Watu wanataka umaarufu w haraka haraka na WA Tanzania tulivyo rahisi kudanganywa tunaingia jumla.
Naona hata hili pia watu wamechotwa na wanashangilia wasichokijua kwamba eti kelele zimesidia wakati kika kitu kilielezwa kitakuwa ndani ya mikataba ya kibiahsara.
 
- Ukomo wa mkataba umekua miaka 30 tofauti na IGA ambayo haikua na ukomo.

-DPW imepewa magati manne tu (no.4 hadi no.7) tofauti na awali ambapo ilipewa magati yote.

- Gati no.0 hadi no.3 yataendeshwa na TPA kwa kushirikiana na DPW. Na gati no.8 hadi no.11 yatatafutiwa mwekezaji mwingine.

- DPW itaendesha bandari ya Dar tu na sio bandari zote kama IGA ilivyoeleza.

- TRA itakusanya mapato tofauti na hapo awali ambapo mapato yangekusanywa na Dubai.

- CAG atakagua hesabu tofauti na awali ambapo alikua haruhusiwi.

- Serikali itachukua 60% ya mapato ghafi na DPW 40% tofauti na awali ambapo ilikua siri.

- DPW itawekeza $250M kama amana ya kwanza kwa miaka mitano, tofauti na awali ambapo ilikua siri.

Marekebisho haya yasingefanyika kama wote tungekua makasuku wa kukubali kila kitu. Waraka wa TEC na sauti za wote waliopinga ndio zimefanya serikali ifyate mkia na kufanya marekebisho haya.
Tuna mshukuru sn Mbowe kwa kutusanua na huu utawala dhalimu
 
- Ukomo wa mkataba umekua miaka 30 tofauti na IGA ambayo haikua na ukomo.

-DPW imepewa magati manne tu (no.4 hadi no.7) tofauti na awali ambapo ilipewa magati yote.

- Gati no.0 hadi no.3 yataendeshwa na TPA kwa kushirikiana na DPW. Na gati no.8 hadi no.11 yatatafutiwa mwekezaji mwingine.

- DPW itaendesha bandari ya Dar tu na sio bandari zote kama IGA ilivyoeleza.

- TRA itakusanya mapato tofauti na hapo awali ambapo mapato yangekusanywa na Dubai.

- CAG atakagua hesabu tofauti na awali ambapo alikua haruhusiwi.

- Serikali itachukua 60% ya mapato ghafi na DPW 40% tofauti na awali ambapo ilikua siri.

- DPW itawekeza $250M kama amana ya kwanza kwa miaka mitano, tofauti na awali ambapo ilikua siri.

Marekebisho haya yasingefanyika kama wote tungekua makasuku wa kukubali kila kitu. Waraka wa TEC na sauti za wote waliopinga ndio zimefanya serikali ifyate mkia na kufanya marekebisho haya.
IGA ilikuwa na ko
kikomo na mikataba ya HGA na uendeshaji ikawahi kusainiwa kabla ya kikomo cha IGA kwa siku chache sana.

Automatic sasa IGA imepata uhai mpya.


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom