Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Wanajikosha wakijaribu kupunguza aibu.Watu wanataka umaarufu w haraka haraka na WA Tanzania tulivyo rahisi kudanganywa tunaingia jumla.
Naona hata hili pia watu wamechotwa na wanashangilia wasichokijua kwamba eti kelele zimesidia wakati kika kitu kilielezwa kitakuwa ndani ya mikataba ya kibiahsara.