Kama Siasa tulifikia hapa, naomba kujua mhariri wa hili gazeti. Je huu ndio mfumo wa kuchora katuni?

Kama Siasa tulifikia hapa, naomba kujua mhariri wa hili gazeti. Je huu ndio mfumo wa kuchora katuni?

Mromboo

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
2,966
Reaction score
6,593
033.jpg

Ndugu wana jamvi,
Japo mimi sio mchoraji wa katuni lakini nawaombeni kujua mawili matatu kuhusu hii fani; hivi huwa inaleta picha gani au taswira gani unapomchora mtu/kibonzo cha mtu kwenye gazeti tena ukurasa kwa mbele kwa taswira ya ng'ombe?
Maadili ya kiuandishi hapa yanasemaje?
Naombeni sana nipate mawazo yenu na pia naomba kumjua mhariri wa hili gazeti angalau nikimuona niweze hata kuongea naye mawili matatu kujua alitaka kuleta ujumbe gani kwa jamii.
Nawatakia mwisho mwema wa mwaka 2021.
 
Ukishaamua kuingia kwenye ^sea-a-sir,^ lazima uwe na mtazamo wa ^niguse ninuke.^ Vinginevyo hamia HARAKA kwenye fani yetu hii huku.
 
Hivi huyo aliyechorwa unamfaham au unakisia kuwa ni nani?.

But kila zama na kitabu chake, ndivyo mtu anaweza kujibu. Now wanasifia na kuchora kwa njia nyingine.
 
Hivi huyo aliyechorwa unamfaham au unakisia kuwa ni nani?.

But kila zama na kitabu chake, ndivyo mtu anaweza kujibu. Now wanasifia na kuchora kwa njia nyingine.
Hapo mie naona ng'ombe, mnara na kama mtoto kasuka yupo chini ya mnara!! Au macho yananidanganya?
 
Hivi huyo aliyechorwa unamfaham au unakisia kuwa ni nani?.

But kila zama na kitabu chake, ndivyo mtu anaweza kujibu. Now wanasifia na kuchora kwa njia nyingine.
Kwanini asichore bila kuweka taswira ya ng'ombe?
 
Hivi huyo aliyechorwa unamfaham au unakisia kuwa ni nani?.

But kila zama na kitabu chake, ndivyo mtu anaweza kujibu. Now wanasifia na kuchora kwa njia nyingine.
Call a spade a spade
 
Cha kusikitisha ati p.m.bu zinaninginia hadharani...
 
Back
Top Bottom