Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,659
Mnalipa kodi? Mnataka ku modernize hela zitatoka wapi?Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.
Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.