Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Unaweza kunieleza kwanini silaha zilizooneshwa leo pale zinafaa!?
kwa sababu ndio zinazoendana na majirani na mazingira yetu pia. Stealth fighter za kaz gani bongo hii? Intercontinental ballistic missiles za Nini Africa hii? Kifaru Cha kisasa kabisa unatumia wapi kupigana na Nani?
Pia naomba utuwekee picha tuone na silaha za Uganda/Kenya Mana ndio unaotumia kulinganisha
 
Jeshi badala ya kulinda wananchi, lenyewe linakandamiza wananchi kisa wana posho ya chakula laki mbili na viposho vya ajabu ajabu.

Hospital yao ya Lugalo hata kuiendesha ili kupanua huduma hawawezi.

Mara wakabangue korosho, mara sijui wafanya niniiii, aibu tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hii hoja nimegundua wewe Ni mwanasiasa tu huna lolote
 
Tunawaambia hawa vijana kuwa tupo weak ktk hili eneo ila wanatupinga.

Si unaona miaka ya nyuma kuhusu ziwa Nyasa? Hayat Nyerere eneo la ulinzi hakutaka mchezo kabisa.

Kenya ipo hatua mbele zaidi ktk kila nyanja ya teknolojia dhidhi ya jeshi letu. Jamaa wapo mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
weka hapa tuone huo umbali Kenya ipo
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Unajua Silaha wewe, ama mnaongea ongea tu hapa. ,,nenda ka google uone Infantry wanatumia silaha gani,
 
kagame pale alikuwa anatuchora tu,.sisemi kwamba Rwanda itatushinda, ila kwa siku hizi, zana hizo wameonyesha ni za mwisho kabisa kutumiwa kwenye battle, kama Rwanda wanazo zana za kisasa za drones toka Israel, hizo wanakupiga vizuri tu ukienda kichwakichwa, ndio walitaka wazitumie kipindi kile watuaibishe, na wangetupa surprise kwelikweli.

sisi pia, tunatakiwa kuwa na akili, Uturuki ambao kwa sasa ni marafiki zetu sana, wametengeneza drones bora sana za kivita ambazo unazituma tu kule zinateketeza askari, Armenia imeshindwa vita na Azerbaijan, Azerbaijan ilikuwa nchi iliyoonewa sana na armenia iliporwa hata maeneo, armenia ilikuwa mbali sana kivita kuwazidi, wakaingia na mavifaru, azerbaijan wakapewa msaana na uturuki wakatumia drones tu ambazo waturuki wanatengeneza, waliwatandika waamenia hadi wakanyosha mikono na wakarudisha maeneo yao yote yaliyokuwa yameporwa. ni juzi tu hivi.

kwa hiyo na sisi utachane na masilaha ya aina hii, tunaweza kua nayo machache tu ila mengine tutumie technolojia ya kisasa zaidi, sio kwamba tuacha haya ila tuangalie nchi za wenzetu wanatumia nini.

though, kwa sasa Tanzania haiihitaji hata kupoteza pesa kununua silaha kwasababu sidhani kama kuna adui mkubwa ambaye ni nchi ni threat kwetu, hata Rwanda kipindi cha JK walikuwa wanaoogopa mno kwasababu tungewapiga au wangetupiga (jambo ambalo ni gumu kwao), they could not stand to live with a monster besides their country for therest of their lives, wasingeweza kustahimili kuishi na adui pembeni yao miaka ya mbeleni, hasa kagame ambaye anajua tungeweza kuweka hata rais mwingine akitokea Tanzania kama tukitaka kama tulivyofanya kwa m7.waasi wake wangekuja tu hapa na kuanzia safari hapa.
Drones zenyewe zilizofanya maajabu huko Azerbaijan ndio hizo zinaitwa TB2.Tunisia,Morroco wanazo tayari.Rwanda inasemekana wamezinunua 12 wakisema Ni kwa ajili ya kupambana na waasi Kule Msumbiji.

Nchi nyingi tu za kiafrica zinaweza kuzinunua hizo drones,Ila nadhani kinacho matter Ni kipaumbele Cha nchi na nchi.

Screenshot_20211210-064003.jpg
 
1.Nacho amini, uwezi unyesha kila kitu ulichonacho utawapa advantage maadui wako
2.Nchi zilizokua za kikomunist ziliwekeza sana kwny jeshi bila kujitangaza, ila ikitaka kazi ziguse ndo utajua uwezo wao.
3.Kwa jwtz hii ndo outing yao kubwa kitaifa kwahiyo wansheherekea wakiwa pamoja nasi lkn bila kuuza siri za kazi.
4.Nachowapendea zaidi jwtz ukiwa nao wanajitambulisha kama JESHI LENU sio JESHI LETU.
Mfano: jeshi lenu litaenda Kongo kulinda amani, na sio hutaenda au jeshi letu litaenda ........
ALL IN ALL JWTZ NI MOJA YA MAJESHI YENYE NIDHAMU SANA DUNIANI.
Siri kwani hizo silaha unatengeneza wewe? kila mtu alipewa old stock eti siri wewe unanunua mpaka msumari halafu unasema siri. Siri kama ina silaha unatengeneza na haziuzwi kama unaona USA kuna silaha hawauzi ila wakitengeneza mbadala wa hiyo wanauza wakijuwa wana mbabe wa hiyo waliyouza. wewe mpaka battery ya kuwasha kifaru unaagiza. Msicheze na vita mambo ya kizamamani watu wanakurushia kombora sehemu hata kufika huwezi wana station baharini wanapiga target tu. Ila hizi kutishana wenyewe kweli zinatutosha baada ya miaka 60 tunafurahia silaha za miaka ya 60
 
Mzee nimefuatilia comments zako katika thread hii, umekuja kuchamba watu kama Mange. Sijaona hoja comment yoyote uliyoweka tukuone wewe ni GT.
Wewe hoja yako Ni ipi, Uzi wenyewe haujajitosheleza Ni Kama wewe mwenyewe unategemea zaidi mawazo ya wadau kuliko Yale uliyonayo.
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Kilichofanyika ni upuuzi mtupu pesa nyingi zimeligharimu taifa kwa maonesho ya siraha zilizopitwa na wakati! Ukiambiwa pesa zilizotumika jana unaweza ukalia! Jana PK kwa macho yake yale alidharau sana ameona bado tupo nyuma sana hususani kwenye nguvu ya kijeshi
 
Siri kwani hizo silaha unatengeneza wewe? kila mtu alipewa old stock eti siri wewe unanunua mpaka msumari halafu unasema siri. Siri kama ina silaha unatengeneza na haziuzwi kama unaona USA kuna silaha hawauzi ila wakitengeneza mbadala wa hiyo wanauza wakijuwa wana mbabe wa hiyo waliyouza. wewe mpaka battery ya kuwasha kifaru unaagiza. Msicheze na vita mambo ya kizamamani watu wanakurushia kombora sehemu hata kufika huwezi wana station baharini wanapiga target tu. Ila hizi kutishana wenyewe kweli zinatutosha baada ya miaka 60 tunafurahia silaha za miaka ya 60
Duh! Kweli tumetofautiana uelewa! Nilipokua Olevel, mwl alitutaka tuchore ramani ya TZ tuonyeshe reli ya kati. Wengi walionyesha reli ikitoka Dar kuelekea ktkt mwaTZ mpaka Kigoma, ila sisi wachache majiniazi wa class tuliichora reli ikitoka Dar kuelekea baharini upande wa Zanzibar. !!!
 
Duh! Kweli tumetofautiana uelewa! Nilipokua Olevel, mwl alitutaka tuchore ramani ya TZ tuonyeshe reli ya kati. Wengi walionyesha reli ikitoka Dar kuelekea ktkt mwaTZ mpaka Kigoma, ila sisi wachache majiniazi wa class tuliichora reli ikitoka Dar kuelekea baharini upande wa Zanzibar. !!!
Duh!!
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
CCM oyeeeee
 
unafahamu kwamba USA ilikimbia Vita Somalia? Unafahamu kwamba helikopta zao za kisasa kabisa za Blackhawk ziliangushwa kwa rocket launcher tu ya mchina!? Leta hoja nyingine hufatilii mambo wew
Their aim was to capture key allies of the powerful Somali warlord, Gen Mohamed Farah Aideed. Japokuwa walimkamata aideed wakiamini ndio chanzo cha vita somalia. Baadae alifia mikononi mwao 1996.

In my own view marekan waliondoka baada ya kugundua vita ya somalia ni ethnic war. Na huwez maliza ethinic war hiyo iko level ya makabila. Kimsing walipoteza muda tu pale ns resources zao

Kwa technical records tu ni kuwa ni helicopter mbili tu ziliangushwa.
wasomali hawakutumia rocket launcher, zile ni RPG rocket propelled grenade ambazo mi rahis sana kuzipata. Origin yake imetoka kwa mrusi si mchina.
 
Back
Top Bottom