Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Leo tumeona jinsi Refa alivyojitahidi kuwabeba Simba lakini haikusaidia. Kama ilivyotokea kwa Simba, ndivyo itakuja kutokea kwa chama dola siku ikifika ambapo hata wakibebwa, mwisho wa siku waatanguka tu na kuachia madaraka.
Siku hiyo ikifika, itakuwa hivi:
Nguvu ya umma itakuwa kama wachezaji wa Mbeya City
Tume ya uchaguzi itakuwa kama Refa wa mchezo wa leo
Wasimamizi wa uchaguzi watakuwa kama wachezaji wa Timu ya Simba kwenye mechi ya leo
Watakaokuwa kwenye tallying center, watakuwa kama waliokuwa kwenye benchi la ufundi la Timu ya Simba leo
Dola itakuwa kama mabeki wa Simba kwenye mechi ya leo
Mashabiki wa chama cha kijani watakuwa kama wa Simba ya leo
Mashabiki wa upinzani watakuwa kama wale wa Mbeya city ya leo
Mabomu ya machozi na risasi za moto(kama zitatumika), zitakuwa kama ule mpira wa penati uliogonga mwamba
Maboksi ya kura yatakuwa kama nyavu za simba
Karatasi za kura zitakuwa kama ule mpira/mipira iliotumika kwenye mechi ya leo
Mwenyekiti wa Tume atakuwa kama mpiga penati wa Simba iliyocheza leo
Ukumbi wa kutangaza matokeo utakuwa kama uwanja wa Sokoine Mbeya siku ya leo.
Time will tell.
Kwasababu soka ina mashabiki wengi,naamini hata wale wasiofuatilia siasa ,watachungulia hapa japo kidogo(mashabiki wa Simba mtanisamehe kwani lengo ni ujumbe ufike bila chenga).
Mfungaji wa goli la leo(Paul John Nonga) katika ubora wake:
Siku hiyo ikifika, itakuwa hivi:
Nguvu ya umma itakuwa kama wachezaji wa Mbeya City
Tume ya uchaguzi itakuwa kama Refa wa mchezo wa leo
Wasimamizi wa uchaguzi watakuwa kama wachezaji wa Timu ya Simba kwenye mechi ya leo
Watakaokuwa kwenye tallying center, watakuwa kama waliokuwa kwenye benchi la ufundi la Timu ya Simba leo
Dola itakuwa kama mabeki wa Simba kwenye mechi ya leo
Mashabiki wa chama cha kijani watakuwa kama wa Simba ya leo
Mashabiki wa upinzani watakuwa kama wale wa Mbeya city ya leo
Mabomu ya machozi na risasi za moto(kama zitatumika), zitakuwa kama ule mpira wa penati uliogonga mwamba
Maboksi ya kura yatakuwa kama nyavu za simba
Karatasi za kura zitakuwa kama ule mpira/mipira iliotumika kwenye mechi ya leo
Mwenyekiti wa Tume atakuwa kama mpiga penati wa Simba iliyocheza leo
Ukumbi wa kutangaza matokeo utakuwa kama uwanja wa Sokoine Mbeya siku ya leo.
Time will tell.
Kwasababu soka ina mashabiki wengi,naamini hata wale wasiofuatilia siasa ,watachungulia hapa japo kidogo(mashabiki wa Simba mtanisamehe kwani lengo ni ujumbe ufike bila chenga).
Mfungaji wa goli la leo(Paul John Nonga) katika ubora wake: