Kama sio janja ya kutengeneza upigaji kwa manufaa ya tumbo lake hii ni nini? Waziri wa Nishati kuanzisha mradi wa Tril 1.7 kabla JNHP kukamilika

Kama sio janja ya kutengeneza upigaji kwa manufaa ya tumbo lake hii ni nini? Waziri wa Nishati kuanzisha mradi wa Tril 1.7 kabla JNHP kukamilika

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Inaingia akilini kweli wadau? Tunahitaji huu mradi ukamilike ndani ya wakati na taifa liweze kupata nafuu ya bei ya umeme na kisha gharama za maisha kushuka chini na wananchi kufurahia keki ya taifa.

Huku akijua kabisa mradi wa JNHP upo 40% lakini badala akomae mradi uishe kwa wakati na gharama za umeme zipungue. Yeye ananzisha mradi wa kutengeneza njia za kusambaza umeme wa tri 1.7.Hii ni janja ya upigaji wa January Makamba.

Hivi unaweza kuanza kuweka mabomba ya kusambaza maji kabla hujachimba kisima au kuwa na uhakika wa chanzo cha maji?

Mkuu wa nchi anashiriki kupiga raia wa kawaida na vyuma vizito akishiriki kulamba asali.
 
Inaingia akilini kweli wadau? Tunahitaji huu mradi ukamilike ndani ya wakati na taifa kiweze kupata nafuu ya bei ya umeme na kisha gharama za maisha kushuka chini na wananchi kufurahia keki ya taifa.

Huku akijua kabisa mradi wa JNHP upo 40% lakini badala akomae mradi uishe kwa wakati na gharama za umeme zipungue. Yeye ananzisha mradi wa kutengeneza njia za kusambaza umeme wa tri 1.7.Hii ni janja ya upigaji wa January Makamba.

Hivi unaweza kuanza kuweka mabomba ya kusambaza maji kabla hujachimba kisima au kuwa na uhakika wa chanzo cha maji?

Mkuu wa nchi anashiriki kupiga raia wa kawaida na vyuma vizito akishiriki kulamba asali.
we umesikia wapi?
 
Inaingia akilini kweli wadau? Tunahitaji huu mradi ukamilike ndani ya wakati na taifa kiweze kupata nafuu ya bei ya umeme na kisha gharama za maisha kushuka chini na wananchi kufurahia keki ya taifa.

Huku akijua kabisa mradi wa JNHP upo 40% lakini badala akomae mradi uishe kwa wakati na gharama za umeme zipungue. Yeye ananzisha mradi wa kutengeneza njia za kusambaza umeme wa tri 1.7.Hii ni janja ya upigaji wa January Makamba.

Hivi unaweza kuanza kuweka mabomba ya kusambaza maji kabla hujachimba kisima au kuwa na uhakika wa chanzo cha maji?

Mkuu wa nchi anashiriki kupiga raia wa kawaida na vyuma vizito akishiriki kulamba asali.
We Polepole unalalamika sana
 
Alfa na omega ya matatizo ya umeme Tanzania
Demand ya nchi ni kiasi gani?
Installed capacity ni kiasi gani?
Bwawa linaenda kuongeza kiasi gani?
Unajua tatizo kubwa la umeme uliopo sasa kushindwa kukidhi mahitaji ya viwanda vingi na pengine hata majumbani sio Outage? Ndo mambo ya kukwamisha kama lile la kule Congo?

nani kakwambia pesa ndio inasababisha Bwawa lisikamilike?
Nini kingine? Usimamizi mbovu?

Wanasema mpango wa kujenga Transmission line ulikuwepo, ukichochewa na yule aliyeiacha mi-turbine yake inaoza bandari mojawapo huko pwani.

Inanong'onwa kuwa plan ilikuwa, serikali iwajengee transmission line ili wao wajenge plant itakayoweza kuzaliza 2,100MW na kuuza ndani na nje, line ifikishwe mpakani pale.

Inasemwa kuwa mpango uliuliwa na mwamba kwakuwa lengo lilikuwa ni chafu, kuua Power Generation ya Tanesco ili wao ndo washike hatamu, mzigo wa transmission na madeni ya distribution yabaki kwa serikali. Unadhani nini kingefuata baada ya muda mfupi, WAULIZE SA.

Kwani mradi wa umeme wa upepo pale Singida ni wa nani eti? Wanaanz a na 100MW?

Kwanini hatutaki kwenda na Geothermal ambayo imeshasemwa kuwa na uwezo wa kutupa 600MW? Kenya wanakimbiza kweli kweli kwenye hiyo!
 
Demand ya nchi ni kiasi gani?
Installed capacity ni kiasi gani?
Bwawa linaenda kuongeza kiasi gani?
Unajua tatizo kubwa la umeme uliopo sasa kushindwa kukidhi mahitaji ya viwanda vingi na pengine hata majumbani sio Outage? Ndo mambo ya kukwamisha kama lile la kule Congo?


Nini kingine? Usimamizi mbovu?

Wanasema mpango wa kujenga Transmission line ulikuwepo, ukichochewa na yule aliyeiacha mi-turbine yake inaoza bandari mojawapo huko pwani.

Inanong'onwa kuwa plan ilikuwa, serikali iwajengee transmission line ili wao wajenge plant itakayoweza kuzaliza 2,100MW na kuuza ndani na nje, line ifikishwe mpakani pale.

Inasemwa kuwa mpango uliuliwa na mwamba kwakuwa lengo lilikuwa ni chafu, kuua Power Generation ya Tanesco ili wao ndo washike hatamu, mzigo wa transmission na madeni ya distribution yabaki kwa serikali. Unadhani nini kingefuata baada ya muda mfupi, WAULIZE SA.

Kwani mradi wa umeme wa upepo pale Singida ni wa nani eti? Wanaanz a na 100MW?

Kwanini hatutaki kwenda na Geothermal ambayo imeshasemwa kuwa na uwezo wa kutupa 600MW? Kenya wanakimbiza kweli kweli kwenye hiyo!
Huyu mpuuzi hawezi kukuelewa hata kidogo ni mpuuzi aliyejaa ugolo kichwani.
 
Inaingia akilini kweli wadau? Tunahitaji huu mradi ukamilike ndani ya wakati na taifa kiweze kupata nafuu ya bei ya umeme na kisha gharama za maisha kushuka chini na wananchi kufurahia keki ya taifa.

Huku akijua kabisa mradi wa JNHP upo 40% lakini badala akomae mradi uishe kwa wakati na gharama za umeme zipungue. Yeye ananzisha mradi wa kutengeneza njia za kusambaza umeme wa tri 1.7.Hii ni janja ya upigaji wa January Makamba.

Hivi unaweza kuanza kuweka mabomba ya kusambaza maji kabla hujachimba kisima au kuwa na uhakika wa chanzo cha maji?

Mkuu wa nchi anashiriki kupiga raia wa kawaida na vyuma vizito akishiriki kulamba asali.
sasa unashangaa nn huyo katumwa na maccm maana yote ni majizi
 
Demand ya nchi ni kiasi gani?
Installed capacity ni kiasi gani?
Bwawa linaenda kuongeza kiasi gani?
Unajua tatizo kubwa la umeme uliopo sasa kushindwa kukidhi mahitaji ya viwanda vingi na pengine hata majumbani sio Outage? Ndo mambo ya kukwamisha kama lile la kule Congo?


Nini kingine? Usimamizi mbovu?

Wanasema mpango wa kujenga Transmission line ulikuwepo, ukichochewa na yule aliyeiacha mi-turbine yake inaoza bandari mojawapo huko pwani.

Inanong'onwa kuwa plan ilikuwa, serikali iwajengee transmission line ili wao wajenge plant itakayoweza kuzaliza 2,100MW na kuuza ndani na nje, line ifikishwe mpakani pale.

Inasemwa kuwa mpango uliuliwa na mwamba kwakuwa lengo lilikuwa ni chafu, kuua Power Generation ya Tanesco ili wao ndo washike hatamu, mzigo wa transmission na madeni ya distribution yabaki kwa serikali. Unadhani nini kingefuata baada ya muda mfupi, WAULIZE SA.

Kwani mradi wa umeme wa upepo pale Singida ni wa nani eti? Wanaanz a na 100MW?

Kwanini hatutaki kwenda na Geothermal ambayo imeshasemwa kuwa na uwezo wa kutupa 600MW? Kenya wanakimbiza kweli kweli kwenye hiyo!
Inasemekana 😆😆😆😆😆😆

Endelea kupiga ramli...

Nakuuliza tena Bwawa la Nyerere ndio muarobaini wa matatizo ya umeme pekee hapa Tzn?

Unavyokngea kifara as if Tanesco haifanyi energy mix, yaani wewe na huyo taahira mtoa mada hamuelewi mnataka nini hasa..

Narudia tena kukwambia ujenzi wa Bwawa sio sawa na kujenga Banda lako la mbwa unaloita nyumba..

Pili Bwawa la Nyerere sio Alfa na omega ya matatizo ya umeme Tanzania lazima investment ifanyike kwingineko...
 
Back
Top Bottom