The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Unakuta na wewe ni graduate kabisa 🤣🤣Wewe huu u'SKUNK' utakutoka lini, maana akili yako ina harufu ya kutisha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuta na wewe ni graduate kabisa 🤣🤣Wewe huu u'SKUNK' utakutoka lini, maana akili yako ina harufu ya kutisha!
Na wewe kaibe kwani hutaki Pesa?Huyu jamaa ni Mwizi.
Usisingizie kurogwa,huna akili na usitujumuishe woteWatanzania Tumerogwa na nani ??
Si bora ugolo sasa wewe uliyejaa mausaa kichwani unanuka tuuHuyu mpuuzi hawezi kukuelewa hata kidogo ni mpuuzi aliyejaa ugolo kichwani.
Acha kuuliza ujinga we mpuuzi usiyekuwa na akili. Hujui juwa bei ya nishati ya umeme ikipungua na gharama za maisha zinapungua. Foolish kabisa.Inasemekana 😆😆😆😆😆😆
Endelea kupiga ramli...
Nakuuliza tena Bwawa la Nyerere ndio muarobaini wa matatizo ya umeme pekee hapa Tzn?
We mpuuzi acha kudandia mada zenye akili za wanaume. Mpuuzi mkubwa.Si bora ugolo sasa wewe uliyejaa mausaa kichwani unanuka tuu
Yaani na wewe una akili hapo hapo? 😆😆..We mpuuzi acha kudandia mada zenye akili za wanaume. Mpuuzi mkubwa.
Ndio maana nakwambia wewe ni taahira..Acha kuuliza ujinga we mpuuzi usiyekuwa na akili. Hujui juwa bei ya nishati ya umeme ikipungua na gharama za maisha zinapungua. Foolish kabisa.
JNHP kakuta wenzake walishajuchukua kitambo hivyo kila mtu ale kwa urefu wa kamba akeInaingia akilini kweli wadau? Tunahitaji huu mradi ukamilike ndani ya wakati na taifa liweze kupata nafuu ya bei ya umeme na kisha gharama za maisha kushuka chini na wananchi kufurahia keki ya taifa.
Huku akijua kabisa mradi wa JNHP upo 40% lakini badala akomae mradi uishe kwa wakati na gharama za umeme zipungue. Yeye ananzisha mradi wa kutengeneza njia za kusambaza umeme wa tri 1.7.Hii ni janja ya upigaji wa January Makamba.
Hivi unaweza kuanza kuweka mabomba ya kusambaza maji kabla hujachimba kisima au kuwa na uhakika wa chanzo cha maji?
Mkuu wa nchi anashiriki kupiga raia wa kawaida na vyuma vizito akishiriki kulamba asali.
Jibu Hoja wewe mbumbumbu.Kwa hiyo .Bwana halikamiliki kwa Sababu ya pesa?Mwanzo nilikuwa nadhani ukitoa comment huku unajielewa, lakini siku zinavyozidi kwenda ndio nagundua kumbe wewe ni chawa mtupu usiye na kitu kichwani.
Sasa huo mradi wa Steigler gorge kama haujaenda samba-mba na njia mpya za usambazaji wa umeme utaujaribu vipi, utautumia vipi?Inaingia akilini kweli wadau? Tunahitaji huu mradi ukamilike ndani ya wakati na taifa liweze kupata nafuu ya bei ya umeme na kisha gharama za maisha kushuka chini na wananchi kufurahia keki ya taifa.
Huku akijua kabisa mradi wa JNHP upo 40% lakini badala akomae mradi uishe kwa wakati na gharama za umeme zipungue. Yeye ananzisha mradi wa kutengeneza njia za kusambaza umeme wa tri 1.7.Hii ni janja ya upigaji wa January Makamba.
Hivi unaweza kuanza kuweka mabomba ya kusambaza maji kabla hujachimba kisima au kuwa na uhakika wa chanzo cha maji?
Mkuu wa nchi anashiriki kupiga raia wa kawaida na vyuma vizito akishiriki kulamba asali.
Zaidi ya 30B za uchaguzi 2030Hapo. makamba jr ana ana 3b's zake kaweka pembeni anatulia akisikilizia upepo
Kwanini asisubiri ufiki hata 80% ndiyo aanze kutengeneza hizo njia? sema kwa vile ni muislam mwenzako ndiyo maana unatetea upigajiSasa huo mradi wa Steigler gorge kma haujaenda samba samba na njia mpya za usambazaji wa umeme utaujaribu vipi utautumia vipi?
Au unataka ukiisha ukae tena miaka 5 ungoje njia za uememe ndipo uanze kuutumia?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwanini asubiri?Kwanini asisubiri ufiki hata 80% ndiyo aanze kutengeneza hizo njia? sema kwa vile ni muislam mwenzako ndiyo maana unatetea upigaji
Acha kutundanganya, JNHP mradi umesimama toka ameondoka Kalemani wanasingizia hakuna Crane mpk leo hakuna kinachoendelea, huyu anataka kuanza vya kwake sababu huko kawahiwa watu wameshapiga yeye naye anataka atafune kivyake, tenda hizo utasikia kesho Rostam ni mkandarasi au KinanaKwanini asubiri?
Tatizo ni nini la kufanya asubiri? Huo umeme wa bei nafuu utatufikia lini akisubiri? Unafikiri mradi mkubwa kama huo utachipua kama uyoga, leo na kesho?
Nani aseme zitto kalamba asali, lissu asali, mbowe asaliBwashee zinapotokea issue nyeti kama hizi mi nilitegemea wewe ndiye useme kwa kusimamia maslahi mapana ya chadema badala ya kuchekelea tu! Au hujui nafasi yako ya kuiwakilisha chadema hapa jukwaani? Hapo umeniangusha mkuu!