MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,410
- 8,184
Kusomesha mtoto english medium inaweza isiwe shida ila tatizo ni pale mtu anapong’ang’ania mwanae asome Feza au Tusiime kwa kusumbua ndugu na jamaa ili wamchangie
Nilishakataa huo upuuzi. Kila mtu abebe mkonga wake
Hao wanaosumbua watu wako wengi sana