Kama siyo mlemavu sikushauri utumie choo cha kukaa nyumbani kwako

Kwa mara ya kwanza leo naona wazungu wamefeli kwenye ubunifu wao.

Ila ni mazoea tu vyoo vyote ni sawa.
Wazungu noma sana na wa kuwa nao makini sana!
Hiyo haja ikiwa sealed vizuri kwa wanaume hata uwezo wa kurusha mkojo au....... Unaongezeka!

Huko nyuma pakiwa wazi ni changamoto hata ufanisi wa ......unapungua
 
Sasa kwa umri wako kaka angu si utavunjika nyonga
 
Wazungu noma sana na wa kuwa nao makini sana!
Hiyo haja ikiwa sealed vizuri kwa wanaume hata uwezo wa kurusha mkojo au....... Unaongezeka!

Huko nyuma pakiwa wazi ni changamoto hata ufanisi wa ......unapungua
Ni mazoea tu hakuna ukweli wowote.
Ukishazoea cha kuchuchumaa lazima cha kukaa uone hakifai.

Binafsi napendelea cha kukaa, haja inatoka vzr huku unaperuzi jf hata ukiamua kwenda na maandazi yako unakula vzr bila tatizo
 
Hukufika kwa Matajiri/Mabilionea.
Kuna vyoo vya Dhahabu vya Kuchuchumaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…