Kama siyo mlemavu sikushauri utumie choo cha kukaa nyumbani kwako

Logic [emoji1434][emoji1434]
 
Kuna mahali nilienda nikalala kumbe kuna choo cha kukaa nilishindwa kabisa nilipanda kwa juu sasa kutoka mahali tiggo ilipo hadi kwenye yale maji pakawa mbali nikiachia furushi kinaenda kudondokea kwenye maji pwaaaaa maji yanaruka naloa hadi miguuni nachafuka ile siku nililaani sana.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kuchuchumaa kunaleta ganzi kwenye miguu damu haizunguki vizuri Kipande hicho ikizingatiwa haja za siku hizi zinachukua mda mrefu.


Ukiona hivyo ujue uzito wa mwili wako ni mkubwa kuliko miguu yako inayoubeba.


β€œhaja za siku hizi zinachukua muda mrefu.” Ningependa kujua zaidi hapa utofauti wa β€œhaja za siku hizi na hizo za zamani.
 
Ukiugua miguu au ukiwa na mgonjwa asiyeweza kuchuchumaa utaenda kuomba ajisaidie kwa jirani? tumia akili japo kidogo na usitafute kupotosha watu humu...
 
Ukiugua miguu au ukiwa na mgonjwa asiyeweza kuchuchumaa utaenda kuomba ajisaidie kwa jirani? tumia akili japo kidogo na usitafute kupotosha watu humu...
Kwani unakoment pasipo kusoma Mada ndugu!?
Mbona nimeeleza wazi kabisa vyoo vya kukaa lengo lake kuu ilikuwa wazee, walemavu na wagonjwa.

Ambacho hujaelewa nini
 
Kwani unakoment pasipo kusoma Mada ndugu!?
Mbona nimeeleza wazi kabisa vyoo vya kukaa lengo lake kuu ilikuwa wazee, walemavu na wagonjwa.

Ambacho hujaelewa nini
Nilienda nchi moja ya ulaya, vyoo vya kuchuchumaa havitumiki tena......kwa hiyo wao hawana akili, mwenye akili ni wewe unaekuja na hoja zisizo na mashiko za kutaka watu wachuchumae chooni eti kwa sababu siyo wagonjwa, wazee wala walemavu, kwamba ndo njia pekee ya kufanya mazoezi ya mwili!!!​
 
Kwani wanaofanya ushoga wote hawana akili? ..
 
Kwani wanaofanya ushoga wote hawana akili? ..
Tatizo hutaki kukubali kwamba umekurupuka, kwamba uweke choo cha kuchuchumaa ndani......siku ukiugua miguu uking'oe uweke cha kukaa, kwa nini usiweke cha kukaa moja kwa moja......punguza ujuaji usio na maana.
 
Tatizo hutaki kukubali kwamba umekurupuka, kwamba uweke choo cha kuchuchumaa ndani......siku ukiugua miguu uking'oe uweke cha kukaa, kwa nini usiweke cha kukaa moja kwa moja......punguza ujuaji usio na maana.
Tatizo huelew hata unachouliza, mimi nimeshauri kutokana na uhalisia siyo mihemko!
Soma mada inajieleza wazi kabisa kwamba unaweza kuwa na choo cha kukaa ukaweka side bench za kupanda,
Pia kiufundi ukiwa na choo cha kuchuchumaa unaweza funga cha kukaa pasipo kutindua cha kuchuchumaa!!
 
Kwa nini uingie gharama hizo zote wakati kuna short cut ya kutengeneza choo cha kukaa moja kwa moja!

Kwamba haiwezekani kufanya mazoezi ya kuchuchumaa hadi uende chooni?......sababu ulizotoa zote ni dhaifu sana na umeziokota okota tu kwenye vijiwe vya kahawa.​
 
Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa.

Mkuu hili ni kwa binadamu wote
Wazungu wanalazimisha tu ingawa nao wanashauriwa hivyo hivyo kuwa vya chini ndio mahali pake
 
Unafaham gharama kurekebisha haja ya mtu iliyoharibiwa?
Unafaham madhara ya bawasili kisaikolojia? Unafahama madhara ya mwanaume ambaye seal imeachia anapungukiwa na urijali?

Mungu kaumba ile sehemu ibane mtu anapokuwa wima au kukaa! Sasa ukilazimisha kuachia inapolegea lazima madhara yatakukuta tu,

Choo cha kukaa kilibuniwa kwa ajili ya wagonjwa,wazee na walemavu hapo awali kabla ya kuanza kutumiwa na watu wazima
 
Ushauri mzuri sijui watu wasio na mahitaji maalum wanapendea nini hivyo vyoo
 
Hapa unachoongea ni dhana tu, huna backing yoyote ya kisayansi wala tafiti........ndo maana nikakwambia hoja yako ni dhaifu.
 
Unafaham gharama kurekebisha haja ya mtu iliyoharibiwa?
Kuna tatizo la watu kuharibika haja sababu ya vyoo vya kukaa. Hilo Tatizo ni kubwa kiasi gani jamii isilione wenyewe? Maana hata matukio tu kwenye jamii yangejieleza kuwa kuna hii shida.
Unafaham madhara ya bawasili kisaikolojia? Unafahama madhara ya mwanaume ambaye seal imeachia anapungukiwa na urijali?
Choo cha kukaa kilibuniwa kwa ajili ya wagonjwa,wazee na walemavu hapo awali kabla ya kuanza kutumiwa na watu wazima
Kila ubunifu una chanzo. Na chanzo huwa ni kutafuta kutatua tatizo.
 
Punguzeni uchafu majumbani mwenu tumieni vyoo vya kupumzika vya kukaa uchafu wenu unawafanya muone hivyo vyoo sio vizuri ila nimegundua hivyo vyoo vinataka watu wasafi kweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…