Kama taifa ndio tumefikia huku? Je, shida ni ule waraka au kuna kingine hatukijui nyuma ya pazia?

Kama taifa ndio tumefikia huku? Je, shida ni ule waraka au kuna kingine hatukijui nyuma ya pazia?

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Jambo hili halileti afya kwa taifa. Tujitafakari!
20230826_154556.jpg


NB: Mwandiko niwa mtu mmoja!.
 
🤣🤣 hivi kweli machawa wanashindwa ku play smart ata kidogo sasa wanataka kuleta fita ya dini, tangu lini waislamu wakanyanyaswa mashuleni na tangu lini wakatoliki walitupangia maisha , nawasihi nyie wachumia tumbo embu jaribuni ku play smart na tengenezeni propaganda za kueleweka pesa mnapenda lakini kukaa chini kuumiza vichwa vyenu chini mjue jinsi gani ya kuwapangua Tecu kisayansi badala yake mnakuja na huo upumbavu wenu naona huko lumumba na one way pale dom wamewekana vichwa box tuu 🤣🤣
 
Jambo hili halileti afya kwa taifa. Tujitafakari!View attachment 2729462

NB: Mwandiko niwa mtu mmoja!.
Hakuna mwandiko wa Mwanafunzi hapo ktk hayo mabango yote na mwandishi ni mmoja.

Km hawana ruhusa ya kukataza uzinzi wa waume zao eti ni dhambi itakuja iwe kwenye mambo ya kitaifa?

Waendelee kujifukiza na manguo yao huku wa kiume wakiepuka kutoa harufu mbaya kwa kuvaa nguo chache.
 
Kabla hamjatukana kupitiliza, nina swali dogo tu. Hiyo picha ni ya leo?!!!! Kama ya leo ni wapi huko watu wameandamana kwa ajili ya waraka wa wakatoliki?!!!!
Mnaojinasibu mna akili ningewasihi muwe makini msije mkawa wajinga kuliko hao mnaowaita wajinga walioonekana katika hiyo picha ya maktaba.

Naendelea kujifunza humu jukwaani kuwa;
1. Udini is real kumbe. Utofauti wao tu ni kuwa kuna upande unajifanya kujificha katika kivuli cha usomi.........hili sakata la bandari limenionyesha sana hayo.
2. Kama ulifikiria jf itakusaidia sana kuondokana na ujinga, my friend, you have another think coming. Si tu kwamba kuna wajinga, bali kuna wapumbavu pia lukuki.......cha kuchekesha hutwa kucha wanakesha wakijisifu kuwa waelevu
 
Back
Top Bottom