Kama taifa ndio tumefikia huku? Je, shida ni ule waraka au kuna kingine hatukijui nyuma ya pazia?

Kama taifa ndio tumefikia huku? Je, shida ni ule waraka au kuna kingine hatukijui nyuma ya pazia?

Hii mbegu siku ikiota na kazaa mwatunda tutaongea lugha Moja
 
Acha nikupe sample moja ya jana tu

 
Hiyo lini?

Kwani hawana haki Waislam kusema? Wenye haki TEC tu?
Katika kusema kwao hao TEC waliwataja TAMSYA? Tatizo linakuja kwanini nyie wao wawataje?! Msingeweza kujenga hoja kusimamia mnachokiamini bila kuwataja wakatoliki?
 
Mtu mweusi huwa hawazi kwanza bali hukurupuka halafu baadae ndio anaanza ile staili ya wajinga kujikuna kichwa ambapo ni nyani huwa wanafanya hivyo

Hii picha ina miaka kibao ila kuna mjinga mmoja kachomekea na watu wakaingia king na kuanza kubwabwaja hovyo

Halafu kuna wanaojiita wasomi nao wamedumbukia humo humo bila hata ku Google
 
Tutakumbuka shuka asubuhi sana.
Hao jamaa wao hawasomi, wao wanaona kusoma kiarabu ndo akili.

Hata kule Znz wengi wao ukiwapa mitihani ya huku afu usahihishe kwa akili hakuna atayepata 10/100
 
Hebu jiulize mfano mdogo wa hawa watu ndio ujue waislam wengi uelewa wao mdogo...

Kitenge
mwijaku
Zembwela
sheikh ubwabwa. Wavaa kobazi wanachojua nokujengewa misikiti na vijin'gombe na kondoo za waturuki tu. Hopeless kabisa.
 
Tqtizo ni wewe. Mama Samia kakukosea nini?

Sasa hivi Uzanzibari, nje ya Zanzibari ni Uislam na ukristo, ikitoka hapo uchaga na usukuma, baada ya hapo wewe kibosho wewe marangu.

Ukianza kula nyama ya mtu huwachi.
Nchi haijawahi kuwa na rais inept kama huyu, atabomoa misingi iliyojengwa na wasisi wetu
 
Kama kumbukumbu zangu zipo sahihi hili tukio ni la kidongo chekundu miaka ya 2000 katikati Rais alikuwa Mkapa. Huu ulikuwa muhadhara mmoja wapo wa Al Marhum Sheikh Basaleh katika harakati zake za kuhamasisha kampeni za kuruhusu Hijab mashuleni. I stand to be corrected
 
Nchi haijawahi kuwa na rais inept kama huyu, atabomoa misingi iliyojengwa na wasisi wetu
Midingi mobovu n I lazimq ibomolewe ijengwe upya.

Huwezi mtu kujenga jumba kubwa kwenye msingi wa nyumba ndogo.

Iilo ni wazi kabisa katika falsafa yake ya R 4. Siyo siri.
 
Hiyo lini?

Kwani hawana haki Waislam kusema? Wenye haki TEC tu?
Kwani Tec waliwaandikia mashekh ama Waislamu waraka ama siku hizi ukiitaja serikali ni sawa na kuutaja Uislamu[emoji2369]??
Mbona wakati wa mafufuli hao tec waliandika waraka lkn hatujaona waislam wakifanya hivi!???
Naunga mkono serikali yangu lkn hiki wanachofanya wajinga hao wanaojifanya kufia dini tutaleta shida kwa taifa letu.
Mheshimiwa rais awakemee haraka sana hao wapumnavu wanaojitoa fahamu kwa kisingizio cha dini.
 
Back
Top Bottom