Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha nikupe sample moja ya jana tuJaji Mtanzania aliyeapishwa kuwa Jaji mpya wa Mahakama ya Afrika Mashariki
Mtanzania aliyeapishwa kuwa Jaji mpya wa Mahakama ya Afrika Mashariki Alhamisi, Agosti 24, 2023 Jaji Omar Othman Makungu wa Mahakama ya Afrika Mashariki akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye ambaye ni Mwenyekiti wa Wakuu wa EAC baada ya hafla ya kuapishwa...www.jamiiforums.com
Katika kusema kwao hao TEC waliwataja TAMSYA? Tatizo linakuja kwanini nyie wao wawataje?! Msingeweza kujenga hoja kusimamia mnachokiamini bila kuwataja wakatoliki?Hiyo lini?
Kwani hawana haki Waislam kusema? Wenye haki TEC tu?
Jengeni shule zenu.Hiyo lini?
Kwani hawana haki Waislam kusema? Wenye haki TEC tu?
Nchi haijawahi kuwa na rais inept kama huyu, atabomoa misingi iliyojengwa na wasisi wetuTqtizo ni wewe. Mama Samia kakukosea nini?
Sasa hivi Uzanzibari, nje ya Zanzibari ni Uislam na ukristo, ikitoka hapo uchaga na usukuma, baada ya hapo wewe kibosho wewe marangu.
Ukianza kula nyama ya mtu huwachi.
Midingi mobovu n I lazimq ibomolewe ijengwe upya.Nchi haijawahi kuwa na rais inept kama huyu, atabomoa misingi iliyojengwa na wasisi wetu
Kwani Tec waliwaandikia mashekh ama Waislamu waraka ama siku hizi ukiitaja serikali ni sawa na kuutaja Uislamu[emoji2369]??Hiyo lini?
Kwani hawana haki Waislam kusema? Wenye haki TEC tu?
Hii ndio maana halisi ya upeo mdogo.Hiyo lini?
Kwani hawana haki Waislam kusema? Wenye haki TEC tu?
Hata hivyo, Waende wakasome shule zao za kiislam kwani hazipo.. 😏😏Sasa wewe, shule ina wanafunzi 500, kati yao waislamu ni 50. Masomo yasime kwa ajili ya hao 50 tu?
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Masikni watoto hawa wanabebeshwa mabango wasiyojua yana faida gani kwao. Nchi ngumu sana hii aisee1Jambo hili halileti afya kwa taifa. Tujitafakari!View attachment 2729462
NB: Mwandiko niwa mtu mmoja!.
Ahahaha watuambie tuliamshe au sio??Watu waache upumbavu. Kama wamechoka Amani watuambie
Ndiyo. Kuliko kuleta hoja za kitoto hapaAhahaha watuambie tuliamshe au sio??
Tamsya ndio nini kwanza?, halafu Rais si ni Mwislamu? Kawa mkatoliki lini tena?Jambo hili halileti afya kwa taifa. Tujitafakari!View attachment 2729462
NB: Mwandiko niwa mtu mmoja!.
Kwani Tec waliwasema waislam?Hiyo lini?
Kwani hawana haki Waislam kusema? Wenye haki TEC tu?