Kama taifa ndio tumefikia huku? Je, shida ni ule waraka au kuna kingine hatukijui nyuma ya pazia?

Kama taifa ndio tumefikia huku? Je, shida ni ule waraka au kuna kingine hatukijui nyuma ya pazia?

Kabla hamjatukana kupitiliza, nina swali dogo tu. Hiyo picha ni ya leo?!!!! Kama ya leo ni wapi huko watu wameandamana kwa ajili ya waraka wa wakatoliki?!!!!
Mnaojinasibu mna akili ningewasihi muwe makini msije mkawa wajinga kuliko hao mnaowaita wajinga walioonekana katika hiyo picha ya maktaba.

Naendelea kujifunza humu jukwaani kuwa;
1. Udini is real kumbe. Utofauti wao tu ni kuwa kuna upande unajifanya kujificha katika kivuli cha usomi.........hili sakata la bandari limenionyesha sana hayo.
2. Kama ulifikiria jf itakusaidia sana kuondokana na ujinga, my friend, you have another think coming. Si tu kwamba kuna wajinga, bali kuna wapumbavu pia lukuki.......cha kuchekesha hutwa kucha wanakesha wakijisifu kuwa waelevu
Kivuli Cha usomi wenye hoja kwa maslai ya wote wenye dini na wasio na dini
 
wametukosa kwenye ukabila,
sasa naona kuna wapumbavu wachumia tumbo wanataka kutupeleka kwenye udini!
 
Hiyo lini?

Kwani hawana haki Waislam kusema? Wenye haki TEC tu?

Hivi tec ni wapi waliwasema vibaya waislam ? Mpaka waislam waiandame tec kiasi hiki ! Sijawahi ona katoliki ikiliandama dhehebu lolote mahali popote
 
Hivi tec ni wapi waliwasema vibaya waislam ? Mpaka waislam waiandame tec kiasi hiki ! Sijawahi ona katoliki ikiliandama dhehebu lolote mahali popote
Owani Waislam wqpi wamesema vibaya?

Unaleta picha ya maandamano yaliyomtowa ndalichako wakati wa Kikwete? Au siyo?

Jamaa akajimwambafainakamrudisha, Mungu nae mkubwa, akaja mama akamtema elimu.
 
Owani Waislam wqpi wamesema vibaya?

Unaleta picha ya maandamano yaliyomtowa ndalichako wakati wa Kikwete? Au siyo?

Jamaa akajimwambafainakamrudisha, Mungu nae mkubwa, akaja mama akamtema elimu.

Ehe, na Tec/kanisa katoliki apo inaingiaje ?

Andika vizuri tuelewane, afu hujajibu swali langu vizuri
 
Ndugu zetu katika imani!! Hawa jamaa upeo wao ni finyu sana yani sana..... sasa hiki ni nini?
Nadhani hizi kashfa ndio mleta mada alizotaka mzilete mnaojibu kwa mihemko kila mada mnayoiona mitandaoni.Unadhani kuwapo na utofauti wa hizo imani za kurithi iwe mkristo,mhindu,muislam au mpagani kunakuondoleaa sifa ya kuwa human being?..Imani za kurithi na michuki ya kurithishwa ...upuuzi mtupu.
 
Hii ishu ya Bandari itaibua mambo mengi sana!
 
Tatizo ni Samia mwenye agenda ya dini na Uzanzibari moyoni mwake. Watanganyika wenye akili tumkatae na tuwaache wapumbavu wazidi kumshadadia
Tqtizo ni wewe. Mama Samia kakukosea nini?

Sasa hivi Uzanzibari, nje ya Zanzibari ni Uislam na ukristo, ikitoka hapo uchaga na usukuma, baada ya hapo wewe kibosho wewe marangu.

Ukianza kula nyama ya mtu huwachi.
 
Hiyo lini?

Kwani hawana haki Waislam kusema? Wenye haki TEC tu?
TEC dhidi ya mkataba, waisilamu dhidi ya TEC ! Hao wanafunzi wanasomeshwa ujinga na walimu wajinga, kwa ufupi wanasomea ujinga 😁
 
TEC dhidi ya mkataba, waisilamu dhidi ya TEC ! Hao wanafunzi wanasomeshwa ujinga na walimu wajinga, kwa ufupi wanasomea ujinga 😁
Na ndiyo unawaona hapo, wanaupinga ujinga kwa vitendo.
 
Na ndiyo unawaona hapo, wanaupinga ujinga kwa vitendo.
Hapo hutapata wataalamu. Sana sana watapatikana wanasiasa wa kuteuliwa, wafanyabiashara, wachezaji wa mpira na wasanii wa nyimbo za bongo flava
 
Hapo hutapata wataalamu. Sana sana watapatikana wanasiasa wa kuteuliwa, wafanyabiashara, wachezaji wa mpira na wasanii wa nyimbo za bongo flava.

 
Back
Top Bottom