Mimi ni mgalatia konki. Lakini mleta mada analeta picha ya mabango enzi za utawala wa Kikwete awamu ya nne huko. Nakumbuka ilikuwa wakati ule wa ishu ya mfumo Kristo .
Ngoja niamie tu huko kwenye jukwaaa la sport forums nisome comments na kuchangia kwenye uzi wa Manchester united.
adriz Accumen Mo