- Thread starter
- #21
Mbona kwingine kama marekani hawako hivyo? Shida hatujajitambua tu ni kwa sababu ya elimu yetu mbovu ya kugombania boom tuTatizo la siasa.
Ukiwa mpinzani utakiona cha moto
Ukiwa chawa mwisho unageukwa unakiona cha moto. Ktk siasa ni kugombania vyeo, alienaacho yupo tayari kukupoteza.