Kama tajiri namba moja duniani anapenda siasa, we kapuku unasema siasa huitaki eti ni uhuni. Una akili kweli?

Kama tajiri namba moja duniani anapenda siasa, we kapuku unasema siasa huitaki eti ni uhuni. Una akili kweli?

Elon Musk tajiri namba moja dunia hakuna alichokosa dunia hii lakini amempambania Trump kwa nguvu moja na Trump amemteua kwenye position fulani baada ya kushinda.

Sasa tajiri namba moja dunia anakubali teuzi na anapambana siasa na hakatai teuzi.

Wewe hujui hata kesho utakula nini ila unasema eti siasa haikuhusu. Au tatizo ni elimu tu ya watanzania ya kuhudhuria vyuo tu bila maarifa yoyote. Vyuo kama SAUT hakuna mwenye GPA chini ya 4 lakini kichwani empty.
Huyo Elon Musk, hataki siasa ila anataka kujilinda na mali yake. Siasa seriously ilikuwa wakati wa Nyerere, unaingia kwenye siasa hata baiskeli huna, ila kuwatumikia wananchi. Sasa hivi huna some millions usijaribu kugusa siasa. Wingi wa pesa ndiyo wingi wa kura.
 
Elon Musk tajiri namba moja dunia hakuna alichokosa dunia hii lakini amempambania Trump kwa nguvu moja na Trump amemteua kwenye position fulani baada ya kushinda.

Sasa tajiri namba moja dunia anakubali teuzi na anapambana siasa na hakatai teuzi.

Wewe hujui hata kesho utakula nini ila unasema eti siasa haikuhusu. Au tatizo ni elimu tu ya watanzania ya kuhudhuria vyuo tu bila maarifa yoyote. Vyuo kama SAUT hakuna mwenye GPA chini ya 4 lakini kichwani empty.
Kwahiyo ata Elon Musk akisema dunia yote ukubali ushoga nawe utakubali kisa ni mtu tajiri
 
Huyo Elon Musk, hataki siasa ila anataka kujilinda na mali yake. Siasa seriously ilikuwa wakati wa Nyerere, unaingia kwenye siasa hata baiskeli huna, ila kuwatumikia wananchi. Sasa hivi huna some millions usijaribu kugusa siasa. Wingi wa pesa ndiyo wingi wa kura.
Mbona wakatinwa wa nyerere ndo umaskini uliongezeka sasa. Aubzilikuwa siasa za kuwafukarisha watu. Au siasa za kuwasisitizia mzidi kuwa wanyonge zaidi ndo mnapenda. Kumbe ndo mana jpm mlimpenda sana kwa kuwa lengo lake lilikuwa kuwafanya watanzania wawe maskini sana na wanyonge zaidi.
 
Elon Musk tajiri namba moja dunia hakuna alichokosa dunia hii lakini amempambania Trump kwa nguvu moja na Trump amemteua kwenye position fulani baada ya kushinda.

Sasa tajiri namba moja dunia anakubali teuzi na anapambana siasa na hakatai teuzi.

Wewe hujui hata kesho utakula nini ila unasema eti siasa haikuhusu. Au tatizo ni elimu tu ya watanzania ya kuhudhuria vyuo tu bila maarifa yoyote. Vyuo kama SAUT hakuna mwenye GPA chini ya 4 lakini kichwani empty.
sio kila anachopenda tajiri basi kila mtu apende, akipenda kuwa shoga na wewe utapenda?
 
sio kila anachopenda tajiri basi kila mtu apende, akipenda kuwa shoga na wewe utapenda?
Tajiri ndo role model ya kila mtu. Maskini hana lolote katika dunia hii. Kwanza umaskini ni laana na huwezi kwenda mbinguni kama we ni maskini mana Mungu anaona alikupa aki lakini ukaamua kutozitumia
 
Tajiri ndo role model ya kila mtu. Maskini hana lolote katika dunia hii. Kwanza umaskini ni laana na huwezi kwenda mbinguni kama we ni maskini mana Mungu anaona alikupa aki lakini ukaamua kutozitumia
haya ndio mawazo yako, lakini kwa ulichoandika ni uhakika umemtusi mpaka baba yako mzazi
 
Tajiri ndo role model ya kila mtu. Maskini hana lolote katika dunia hii. Kwanza umaskini ni laana na huwezi kwenda mbinguni kama we ni maskini mana Mungu anaona alikupa aki lakini ukaamua kutozitumia
Hiyo ni akili na mahubiri ya utajirisho kinyume kabisa na Biblia na ndiyo upotoshaji mkubwa. Eti maskini haendi mbinguni,, lete fungu la Biblia.
 
Siasa za bongo ni za hovyo Bora nikae hivihivi
Hakuna siasa bora atakazokuletea mungu. Fight ili siasa ziwe bora. Hakuna haki utakayoletewa mezania. Hata marekani hawakuanza hivyo kuna watu walikuwa wengi wakifight kuwa marekai iwe kama ilivyo leo
 
Hiyo ni akili na mahubiri ya utajirisho kinyume kabisa na Biblia na ndiyo upotoshaji mkubwa. Eti maskini haendi mbinguni,, lete fungu la Biblia.
Yesu alihubili kwa mifano. Kama unakumbuka yule aliyempa dinali akaenda kuizila akasema alijua yesu ni mgumu sana anavuna pasipo kutawanya. Baadaye yesu akamlaa j. Yesu alifuraho sana kumuona yule wa dinali tano aliyeziongeza zingine.

Mfano huu ni kuashiria kwamba maskini wamelaaniwa
 
Hakuna siasa bora atakazokuletea mungu. Fight ili siasa ziwe bora. Hakuna haki utakayoletewa mezania. Hata marekani hawakuanza hivyo kuna watu walikuwa wengi wakifight kuwa marekai iwe kama

Hakuna siasa bora atakazokuletea mungu. Fight ili siasa ziwe bora. Hakuna haki utakayoletewa mezania. Hata marekani hawakuanza hivyo kuna watu walikuwa wengi wakifight kuwa marekai iwe kama ilivyo leo
Marekani wasiojulikana hawapo
 
Elon Musk tajiri namba moja dunia hakuna alichokosa dunia hii lakini amempambania Trump kwa nguvu moja na Trump amemteua kwenye position fulani baada ya kushinda.

Sasa tajiri namba moja dunia anakubali teuzi na anapambana siasa na hakatai teuzi.

Wewe hujui hata kesho utakula nini ila unasema eti siasa haikuhusu. Au tatizo ni elimu tu ya watanzania ya kuhudhuria vyuo tu bila maarifa yoyote. Vyuo kama SAUT hakuna mwenye GPA chini ya 4 lakini kichwani empty.
Siku hizi siasa ni biashara.
 
Yesu alihubili kwa mifano. Kama unakumbuka yule aliyempa dinali akaenda kuizila akasema alijua yesu ni mgumu sana anavuna pasipo kutawanya. Baadaye yesu akamlaa j. Yesu alifuraho sana kumuona yule wa dinali tano aliyeziongeza zingine.

Mfano huu ni kuashiria kwamba maskini wamelaaniwa
Nikisema nianzie hapa kukufundisha Biblia utajiona wewe ndiye mwenye laana, na kwa kuwa hujui Biblia usiilazimishe Biblia ifuate matakwa yako. Umaskini au utajiri haujawahi kuwa kigezo cha urithi wa ufalme wa mbinguni. Acha upotoshaji. Ninajua ninaongea na mtu wa imani na itikadi gani lakini acha kuwatukana maskini. Hujui kitu.
 
Nikisema nianzie hapa kukufundisha Biblia utajiona wewe ndiye mwenye laana, na kwa kuwa hujui Biblia usiilazimishe Biblia ifuate matakwa yako. Umaskini au utajiri haujawahi kuwa kigezo cha urithi wa ufalme wa mbinguni. Acha upotoshaji. Ninajua ninaongea na mtu wa imani na itikadi gani lakini acha kuwatukana maskini. Hujui kitu.
Umakini laana na kama we ni maskini umelaaniwa mana hata sadaka kanisani hutoi
 
Umakini laana na kama we ni maskini umelaaniwa mana hata sadaka kanisani hutoi
Rafiki, hujui Biblia nyamaza. Acha kutuharibia siku. Unajua Imani, itikadi au dini na dhehebu la kila mtu humu. Wewe ndiye laana kubwa unayewalaani watu ambao hujui Mungu aliwaumbaje.
 
Back
Top Bottom