Biblia sisi wenyewe ndo tumeiandika. Sasa kitabu tulichokiandika sisi wenyewe tusikijue ukijue wewe ambaye umepasiwa tu. Unachekesha kweli.Rafiki, hujui Biblia nyamaza. Acha kutuharibia siku. Unajua Imani, itikadi au dini na dhehebu la kila mtu humu. Wewe ndiye laana kubwa unayewalaani watu ambao hujui Mungu aliwaumbaje.
Ocky kama wewe ndiye umeandika Biblia hapo sawa. Kumbe najadiliana na mmiliki na mwandishi Biblia. Hongera. Kwa heri.Biblia sisi wenyewe ndo tumeiandika. Sasa kitabu tulichokiandika sisi wenyewe tusikijue ukijue wewe ambaye umepasiwa tu. Unachekesha kweli.
Mimi naona wewe ndio kichwani empty.Elon Musk tajiri namba moja dunia hakuna alichokosa dunia hii lakini amempambania Trump kwa nguvu moja na Trump amemteua kwenye position fulani baada ya kushinda.
Sasa tajiri namba moja dunia anakubali teuzi na anapambana siasa na hakatai teuzi.
Wewe hujui hata kesho utakula nini ila unasema eti siasa haikuhusu. Au tatizo ni elimu tu ya watanzania ya kuhudhuria vyuo tu bila maarifa yoyote. Vyuo kama SAUT hakuna mwenye GPA chini ya 4 lakini kichwani empty.
Ukiwa kapuku ndo unapaswa upende siasa kwani siasa ndo maisha yenyewe. Ukiwa tajiri siyo lazima kupend asiasa kwani huna njaa tenaMimi naona wewe ndio kichwani empty.
Umesema kabisa yule ni tajiri anapenda siasa, halafu tena unataka makapuku ndiyo wapende siasa, hivi una akili kweli wewe?
Yule anapenda siasa kwa kuwa ni tajiri, alipokuwa kapuku alikuwa hapendi siasa.
Ukiwa tajiri unajinasibisha na wanasiasa ili ulinde hayo mabilioni yako usibugudhiwe.
Umeelewa ndugu?
Hapana.Ukiwa kapuku ndo unapaswa upende siasa kwani siasa ndo maisha yenyewe. Ukiwa tajiri siyo lazima kupend asiasa kwani huna njaa tena
We unafikiri mwigulu nchemba yeye alitokea wapi. Au alizaliwa na utajiri tayari. Ni struggles tuHapana.
Kama wewe ni mtoto wa Mwigulu Nchemba au January Makamba penda siasa, lakini wewe kapuku ukipenda hiyo siasa utafanya nini?
Huna hela za kuhonga wajumbe atakupitisha nani?
Tafuta hela kwanza ndio ukagombee.
Ndugu wewe ni mgumu kuelewa.We unafikiri mwigulu nchemba yeye alitokea wapi. Au alizaliwa na utajiri tayari. Ni struggles tu
Nashukuru mimi siyo masikini, ila biashara ya siasa ina wenyewe, karibuni itaanzishwa mitaala ya B.Com with Political Science.Ingoa kwenye biashara hiyo. Au we unataka ubaki maskini daima
Kwa kweli inasikitisha sana kwa kizazi hiki cha leo kuwa na uelewa duni kuhusu siasa.Elon Musk tajiri namba moja dunia hakuna alichokosa dunia hii lakini amempambania Trump kwa nguvu moja na Trump amemteua kwenye position fulani baada ya kushinda.
Sasa tajiri namba moja dunia anakubali teuzi na anapambana siasa na hakatai teuzi.
Wewe hujui hata kesho utakula nini ila unasema eti siasa haikuhusu. Au tatizo ni elimu tu ya watanzania ya kuhudhuria vyuo tu bila maarifa yoyote. Vyuo kama SAUT hakuna mwenye GPA chini ya 4 lakini kichwani empty.
Ni haki yao ya kikatiba kukataa siasa.Elon Musk tajiri namba moja dunia hakuna alichokosa dunia hii lakini amempambania Trump kwa nguvu moja na Trump amemteua kwenye position fulani baada ya kushinda.
Sasa tajiri namba moja dunia anakubali teuzi na anapambana siasa na hakatai teuzi.
Wewe hujui hata kesho utakula nini ila unasema eti siasa haikuhusu. Au tatizo ni elimu tu ya watanzania ya kuhudhuria vyuo tu bila maarifa yoyote. Vyuo kama SAUT hakuna mwenye GPA chini ya 4 lakini kichwani empty.
🤣Elon Musk tajiri namba moja dunia hakuna alichokosa dunia hii lakini amempambania Trump kwa nguvu moja na Trump amemteua kwenye position fulani baada ya kushinda.
Sasa tajiri namba moja dunia anakubali teuzi na anapambana siasa na hakatai teuzi.
Wewe hujui hata kesho utakula nini ila unasema eti siasa haikuhusu. Au tatizo ni elimu tu ya watanzania ya kuhudhuria vyuo tu bila maarifa yoyote. Vyuo kama SAUT hakuna mwenye GPA chini ya 4 lakini kichwani empty.
How to think V's What to thinkElon Musk tajiri namba moja dunia hakuna alichokosa dunia hii lakini amempambania Trump kwa nguvu moja na Trump amemteua kwenye position fulani baada ya kushinda.
Sasa tajiri namba moja dunia anakubali teuzi na anapambana siasa na hakatai teuzi.
Wewe hujui hata kesho utakula nini ila unasema eti siasa haikuhusu. Au tatizo ni elimu tu ya watanzania ya kuhudhuria vyuo tu bila maarifa yoyote. Vyuo kama SAUT hakuna mwenye GPA chini ya 4 lakini kichwani empty.