Uchaguzi 2020 Kama TPSF ni wakweli, then, JPM, CCM itashinda ushindi wa kishindo cha ajabu! But for National Unity, TL ateuliwe Ubunge kuwafariji his sympathizers?

Wewe ndio mnafiki! Mayalla ameshiriki kikao cha jana lakini pia mkutano ulikuwa live waliwasha luninga zao wameona. Sasa unafiki uko wapi hapo. Acha kumjengea chuki JPM na sekta binafsi. Kwa taarifa yako wale ni viongozi ni wawakilishi wetu tumewatuma wakamshukuru JPM. Mitano 5 kazi inaendelea.
 
Jinsi sekta binafsi ilivyoyumba ....mhh unafiki tuu unaendelea.
Nadhani wewe unaongea kwa mihemko. Jana tumesikia takwim zikitajwa za mafanikio ya sekta binafsi katika kipindi Cha miaka mitano ya JPM. Ama kweli CHADEMA kazi yenu kupinga tu, maana unambiwa tulikuwa na moja sasa tumeongeza zimekuwa tano bado pia unaita unafiki! Ama hakika fikra zenu huwaga zinaongozwa na mahabaniue.
 
Kwenye JPM weka TL. Halafu soma tena uzi wako.

40 ni namba ya kiimani pia. 40 years ilikuwa imeisha 2017, kwa sababu ya utaratibu wa katiba yetu juu ya mambo ya uchaguzi, tukacarry forward kwa 2020.

Kama ambavyo Sauli haikuwa rahisi kuachia kijiti kwa Daudi, ndivyo itavyokuwa. This time si KURA tu zitaamua, lakini NYAKATI zitaamua pia.
 
Unazungumzia sekta binafsi gani? Hii hii hali mbaya kwa wafanyabiashara wakubwa mpaka wadogo?
 
Unaota asubuhi wewe! JPM mitano tena. 28/10/20202 kura zote kwa JPM
 
Naamini hakuna sehemu ambayo imeathiriwa vibaya kama Sector binafsi, hivyo TPSF waongo.

This time imekula kwenu asee.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Naamini hakuna sehemu ambayo imeathiriwa vibaya kama Sector binafsi, hivyo TPSF waongo.

This time imekula kwenu asee.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kama huna data huna haki ya kujibu hoja ambayo imewasilishwa na data. Gala wewe ninani wakati waliowasilisha data na kutoa pongezi viongozi wa mashirika binafsi. Mfano ulianza kule Mbeya wakati CEO wa WCB alipotoa ushuhuda wa mafanikio aliyopata ikiwa yeye pia ni sekta binafsi. Sasa wewe lete takwimu zako ili tusikuone mpayukaji, mnafiki, uliojawa na mahabaniue kwa Mbeligiji wenu.
 
Nadhani sasa umeanza kurudi rudi,bila shaka unaweza kuwa na bifu na hao TPSF,yule mwenyekiti wao aliyekamatwa kwa uhujumu uchumi lazime awe kibra na hiki chama chake.
 
Wewe upo sekta binafsi? Naongelea uhalisia sio maneno ya wanasi - hasa!
 
Wewe upo sekta binafsi? Naongelea uhalisia sio maneno ya wanasi - hasa!
Ndiyo nipo sekta binafsi nimeajili vijana kadhaa tunalima matikiti na viazi vitam hapa. Nashukuru mzigo wangu ambao hauzidi tano moja naufikisha sokoni bila ushuru wowote njiani, pia nimelipia elfu ishirini ya kitambulisho cha ujasuliamali hapa sokoni kwetu sipati usumbufu wowote. JPM mitano tena kazi iendelee
 
Nani amemuongelea Lissu hapa?

Mimi nimeongelea pongezi za TPSF wanaosema miaka 5 imekuwa ya neema kwa sekta binafsi; miaka ambayo Magufuli amekuwa rais. Aliyetoa ahadi na akapewa nafasi ya kutekeleza ni yeye, jama hajaweza Lissu asilaumiwe.
 
wanafanya hayo kinafiki magu hapendwi Lisu ni chaguo la watanzania kwa sasa,watanzania wamechoka kunyanyaswa,kuonewa kila kona na huu utawala wa jiwe
 
Nchi inajengwa katikati ya mauaji, utesaji na utekaji? Kumbuka haki ya msingi kabisa ni ile ya kuishi.
Huwezi kuua ndugu zetu halafu ujenge barabara tukusifu. Hiyo midege sio mbadala wa uhai wa ndugu zetu. R.IP Kamanda Mawazo na watz wengine.
 
wanafanya hayo kinafiki magu hapendwi Lisu ni chaguo la watanzania kwa sasa,watanzania wamechoka kunyanyaswa,kuonewa kila kona na huu utawala wa jiwe
Ndugu yangu wewe unaishi nchi gani? Tanzania kweli au nje ya nchi? Maana unazungumzia JPM ambaye siyo Tanzania bali mpaka nchi jirani wanatamani wapate huduma yake japo kwa siku moja tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…