Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

mkuu huyu niachie ni saiz yangu, bahati mbaya kazi na ufuatiliaji wa shule za watoto wangu huwa zinanibana nashindwa kuingia jf mara kwa mara. huyu dawa yake ni ndogo tu. kwa kuwa anachojua yeye ni uharo wa udini basi dawa yake ni kumfuata huko huko kwenye kona yake ya udini, unamzibulia ngumu za tumboni mumo humo kwenye kona yake, huko huko, tena kiuharo uharo na kwa style yake mwenyewe. hakuna kugeuza shavu la pili...unampa tu....daaaadake!!!!
 
Alikuwa mbunge na anawakilisha watu na si kenge. Alikuwa naibu katibu mkuu Chadema akiwaongoza Kenge wa Chadema

Hata kama, Kwani yeye ndo mbunge peke yake, au yeye ndo mbunge wa kwanza kigoma, au yeye ndo nani haswa hapa tanzania mpaka taifa lote limsikie yeye? mmy foot.

Kwani kuna wabunge wangapi kule bungeni ni makenge tu, akiwapo yeye mmoja wapo?

Mbona hata shetani kuna watu wanaomwamini na kuwaongoza, na wanamtegemea na kumwamini?
 

Ungenijua vizuri usingethubutu kuingea upuuzi huo....

Ha ha unachekesha Sana yaani mpuuzi kama Huyo aliyekulia kwenye jamii zisizojua hata umuhimu Wa choo mpaka Leo nitamani kufanana naye??

Usitake niseme mengi yakudhalilishana kijana kwa caliber yangu Zitto si MTU Wa Mimi kutamani kufanana naye!!!
 
mkuu si unajua tena chongo katikati ya vipofu huonekana kengeza. bahati nzuri wewe si kipofu mkuu.
 
Mazuzu wapo wengi wanasubiri mwisho wa Zitto,mazuzu! Hii ishu kama ni ya kweli inam-expose JK na madudu ya serikali yake na wala si Zitto,kimsingi anachokisema Dr Mengi ni kwamba kwanini serikali haikukanusha habari hiyo na kulichukulia hatua gazeti hilo karibu mwezi mzima sasa, wakati serikali hiyo hiyo inahangaika kukanusha habari kuwa mtoto wa rais hafanyi biashara ya unga!
 
Mkumbushe pia alipishana na Ze Comedy ya kina Joti imekufaaaa, wamebakiza wote kufanya dili kivyao vyao
 
Kanuni uliziona wew! Unajua ZZK hata pale CDM alitaka kuwagombanisha watu, lakini kwa kuwa walikuwa wanamjua wakampuuza. Migogoro yote ya CDM aliipinda ZZK, hata wa madiwani wa Arusha aliupanda Zitto, mimi namshanga kitu kimoja, ukiona haushindi hata cku moja? Kaa kwenye upande unaoshinda; Amini nawambia MUNGU ninaemuamini mimi sio mnafki na hana upendeleo, amesema atapatiliza kizazi hadi kizazi kwa haki. Tusubili tuone, lkn kwa Mh Rais, hawezi kusikiliza wala kuufanyia maamuzi umbea au uzushi wowote wa Zitto.
 
msamehe mkuu, its a result of a prolonged brainwashing he has been going through. zaman yeye na wenziye wakifundishwa chuki dhidi ya wakristu, hasa wakatoliki, misikitini tu na katika masjid tu. bahati mbaya lichama la siasa baya kabisa nalo limechukua hiyo na kuifanya ndo sera yake na karata ya kushindia uchaguzi kwa kuwafitinisha watanzania kupitia dini zao, kabila na kanda zao. sasa mtu unajazwa uharo wa chuki za kidini misikitini, ukitoka nje ya msikiti huku nje nako unakutana na lichichiem nalo linakushindilia chuki hizo hizo za kidini...utapona kweli? no way hasa kwa wenye vichwa vya panzi, wasioweza kufikiri nje ya boksi kama huyu ally na mwenzake ritz and the like.

bahati nzuri kwa wapinzani, na mbaya, tena mbaya sana kwa machichiem, this is a very weak strategies they are employing considering the socio-religious, economic, cultural and historical background the beloved Nation is emerging from. And this is irrespective of they win or not win the contested election. Either way dhambi hii itawatafuna tu machichiem.

hii straregy inaiangamiza chichiem yenyewe...ni kama kula nyama ya mtu.
 
Kuna watu hawatumii hata akili ya kawaida kuwaza,unashangaa mtu anakazania kuongea pumba

Hao ndio chanzo cha viongozi wabovu mkuu wangu...

Maana hata kilaza anaweza kuwanunua kwa ubwabwa au pilao wakamchagua...

Hawajui lolote ktk maisha ndio maana wanaishi Kama watumwa miaka nenda rudi....
 

Lusungo, hata uandishi wako ni matokeo ya malezi na umasikini wa hali na Mali ulionao. Usitake niseme mengi, upo shalow sana huwezi fikia upeo alionao Zitto, wewe upo kiwango cha BAK, Yeriko, Molemo, Emma na waganga njaa wenzako.
 
Lusungo, hata uandishi wako ni matokeo ya malezi na umasikini wa hali na Mali ulionao. Usitake niseme mengi, upo shalow sana huwezi fikia upeo alionao Zitto, wewe upo kiwango cha BAK, Yeriko, Molemo, Emma na waganga njaa wenzako.


Ha ha ha Mimi na huyo bwanako nani kakulia malezi ya kimasikini??

Ndio maana nakwambi hunijui ungenijua usingethubutu kuongea utumbo!!!

Mimi na huyo mpuuzi wenu nani Mjinga??

Angekua na akili na angekulia kwenye malezi na familia za kueleweka angekua na adabu ila upuuzi anaoufanya Una reflect uduni na ushenzi Wa maisha alopitia....

Hata wewe ni mpuuzi tu usiyejua lolote zaidi ya kula na kuchamba KENGE wewe
 
Mie sijui nichangie??Anyway tusubiri tuone lakini vipi kama ni kweli mambo yaliyosemwa na gazeti hilo hata kama msemaji hakuwa ZZK!Nasema hivi kwa sbb najua ZZK hawezi kuropoka kiasi hicho
 
Yeah.....he pretends to be RADICALIZED....!!!! Of which he is NOT EVEN NEAR TO EXTREMISM....!!!!

And extremists are not TALKATIVE at all...!!! They are acting.....!!!

Huyu anaongeaaaaaaaa UDINIIIIIIIIIIIIII, utafikiri ANAMJUA kweli kweli MUNGU, au ni NDUGU YAKE MUNGU...if u test him ULIKUTANA NA MUNGU WAPI...!!? hana la kujibu....hawa ndio kizazi kilicho oza na kupotea...THE WORLD AUTOMATICALLY through NATURE always sweep away and deplete generation ya hivyo...!!! Sbb hawajui at all the PURPOSE OF LIFE...!!! they live as if they never existed....!!!! Just rubbish...!!!



 
Katika gazeti la Taifa Imara la tarehe 23 Machi 2015 kulikuwa na habari yenye kichwa cha maneno ' Zitto amchongea Mengi kwa JK?' Habari hiyo ilibeba maudhui ya 'post' iliyoandikwa katika mtandao wa Mwana Halisi online.

Habari hiyo inaonyesha kuwa Mimi nilikutana na Rais kwa msaada wa watu mbalimbali na katika kikao hicho inadaiwa nilisema kuwa Mengi ndiye aliyechochea wabunge kuishughikia Serikali ya Rais Kikwete ili ianguke.

Ni vema ifahamike kuwa gazeti la Taifa Imara linamilikiwa na Bwana James Rugemalira wa kashfa ya Escrow na kuendeshwa na Bwana Prince Bagenda aliye organise press conference ya mmoja wa mawaziri waliofukuzwa kazi kwa kashfa hiyo. Vile vile chanzo cha habari hiyo ni mtandao wa Mwana Halisi online ambao unaendeshwa mmiliki wa Mawio gazeti ambalo kila wiki lina habari za kutunga dhidi yangu na chama cha ACT Wazalendo.

Habari hiyo ni ya kutunga yenye fitna zenye lengo la kuchonganisha watu. Naomba kufafanua ifuatavyo

1. Taarifa Maalumu ya Kamati ya PAC kuhusu ufisadi wa tshs 306 bilioni za Escrow hauhusiki na Bwana Reginald Mengi kwa namna yeyote ile. Mengi sio mbunge, sio mjumbe wa PAC na hakushawishi PAC kwa namna yeyote ile. Wezi wa Escrow wasitapetape kutafuta mchawi wakati mchawi ni wizi wao wenyewe. Porojo za kwamba Mengi alihonga wabunge ili kuishughulikia Serikali zinabaki porojo tu. Ila kama kuna mtu ana chembe ya ushahidi wa jambo hilo apeleke kwenye vyombo vya dola kwa hatua kuliko kurudia rudia porojo hizo kwenye vyombo vya habari.

2. Sihitaji kutumia watu ili kukutana na Rais Jakaya Kikwete kwani ninaweza kukutana naye kwa taratibu za kawaida kabisa za kiserikali. Hadithi ya kwamba nimeomba watu wanikutanishe na Rais inaonyesha namna mwandishi alivyoshindwa kutunga uongo wake. Katika kukutana kwangu na Rais kikazi sijawahi hata mara moja kuzungumzia watu. Hivyo kusema nilikwenda Ikulu kumzungumzia Bwana Mengi ni kunidharau na kuidhalilisha Taasisi ya Urais.

3. Nimemwelekeza mwanasheria wangu achukue hatua za kisheria dhidi ya Gazeti la Taifa Imara na vilevile Gazeti la Mawio kwa mfululizo wa habari za kutunga uongo dhidi yangu kila kukicha. Nimeagiza tupeleke mashtaka kwenda Baraza la Habari Tanzania ili magazeti hayo yathibitishe habari zao.

Zitto Kabwe
Kiongozi wa ACT Wazalendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…