Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umebarikiwa na Allah SWT kwani hata makafir hujuzuia na ukafir wao !
, ni kweli kabisa Ally. soko la mdudu huwa linashuka sana nyakati hizo na kutufanya sisi wengine kufaidi sana uwingi na unafuu wa hili hitaji letu muhimu sana maishani la kitimoto linalotupa akili ya kufikiri vizuri kila tunapomla mdudu. tatizo ni pale huo mwez unapoisha na watu kufungulia.....
 
, ni kweli kabisa Ally. soko la mdudu huwa linashuka sana nyakati hizo na kutufanya sisi wengine kufaidi sana uwingi na unafuu wa hili hitaji letu muhimu sana maishani la kitimoto linalotupa akili ya kufikiri vizuri kila tunapomla mdudu. tatizo ni pale huo mwez unapoisha na watu kufungulia.....

Akili ya kuabudu picha !?
 
Mengi alipishana kauli na Ze comedy ya Masanja et al. Enzi zile ikiwa at the peak Embu tuambieni wako wapi hawa jamaa naona Joti anakula shavu la mtangazo ya tiGO.
 
Pasco mimi na wewe tunajuana vyema mkuu maana hapa JF tumeanza wote . Hebu come out clean hapa au hata sirini sema ugomvi wako na Chadema ni upi ?

Ugomvi wa Pasco
Ni hofu inayowapata waishio kwa ujanja ujanja nchini,kuwa kama chadema watatawala,usalama wa siri zetu zitafumuka!

Kilichobaki si yeye tu,hata wale wafanyabiashara,wafanyakazi na wspiga madili yote hapa Tanzania,hawana amani na chadema si raia wakawaida wanaosubiri uhuru,haki na usawa mbele ya sheria
 
kipindi cha kiti moto kimeibuka Chanel Ten,na yule mwandishi wa kipindi maarufu amejiajiri,kipindi chake kinaibuka kipindi cha sabasaba
 
Alikuwa mbunge na anawakilisha watu na si kenge. Alikuwa naibu katibu mkuu Chadema akiwaongoza Kenge wa Chadema
mtu kuwa sane haina maana hawezi kugeuka na kuwa insane. sasa kama ulikuwa sane na ghafla unageuka kuwa insane hatuwezi kuendelea kukuamini tu na kujisogeza karibu yako eti maadam tu ulikuwa sane zamani. ukitukata mapanga tutalipwa fidia na nani? si wajua ikitokea hivyo kinachotakiwa ni daktari tu athibitishe kuwa ulikuwa insane wakati unatucharanga mapanga, dakta akishathibitisha hivyo bas na ishu nzima kwishney....

nachosema ni kuwa zito was sane by then but totally insane presently.
 
ZZK ni msaliti wa muda mrefu na hili ameshapatikana nalo muda mrefu jambo jema watanzania wengi tunamuelewa vema
 
Ha! Ha! Haaaa!! imebidi nicheke sana ! hivi badokuna watu hawaamini madhara ya usaliti ? ni hivi , LAANA YA USALITI INATAFUNA HADI KIZAZI CHA 4 ( hii ni kwa mujibu wa maandiko matakatifu ), hii ni mwanzo sana kuna makubwa zaidi yanakuja .
 
Lema zaidi ya Arusha hamna anayemsikiliza labda wachaga wenzake.

Hauwezi kumfananisha Zitto na Lema Zitto yupo kitaifa Lema yupo na maandamano ya Arusha.

The most interesting part of this new political game ni kwamba wapiga debe maarufu wote wa CCM hapa JF (na pengine hii inaakisi jamii nje ya JF) ndio hao hao wapiga debe maarufu wa Zitto (which does not necessarily mean ni wapiga debe wa ACT-wazalendo/Tanzania)!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nikipata mtu wa kututegulia kitendawili hiki nitashukuru sana.
 
Mimi sitegemei mungu wa kununua dukani wala mungu wangu hakuwahi kufa kwa fedheha msalabani ! Ni kufar pekee ndiyo ana uhakika na neema !


#Ally Kombo....

I do wonder, huna akili kabisa, kama una mke basi kapata kibuyu, ww unazidiwa akili na wanawake wa vibarazani, wanaosoma na kulalia udaku, to make you understand, unajifanya unajua sana, UNAHARIBU MADA mtiririko KARIBU ZOTE HAPA JF....umabakia udiniiiiiiii.....udiniiiiiiiiiii.....kichwa yai, boga kabisa ww...u hv been writing, and writing....ALL M.AVI TUPU...nothing intellectual/sensible u hv written, obstinating & negating every thing, mbaya zaidi unajiona unajuaaaa, kumbe ma.vi tupu ww...

Unajaza vipost kibao humu, ALL M.AVI TUPU...this means ur brain is FULL OF MA.VI TUPU....i never attacked u, coz U BEING MA.VI LIKE THT, MAKE ME AND OTHERS GO AHEAD QUICKLY AND DEVELOPING FASTER....

But, u cross the lines and most stupidly UNAHARIBU MADA kabisa, atleast ungeandika M.AVI yako mara moja uondoke, but unarudia rudia kuandika MA.VI UNAZIDI KUHARIBU MADA kabisa, this is POOOO...!!!

Ww ni mjinga kuliko anybody....so STOP posting disgusting many MA.VI kuharibu threads nyingi huku....BATAAA wee...!!!
 
The most interesting part of this new political game ni kwamba wapiga debe maarufu wote wa CCM hapa JF (na pengine hii inaakisi jamii nje ya JF) ndio hao hao wapiga debe maarufu wa Zitto (which does not necessarily mean ni wapiga debe wa ACT-wazalendo/Tanzania)!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nikipata mtu wa kututegulia kitendawili hiki nitashukuru sana.

Ni kama Simba kushangilia Etoile du Sahel ! Hiyo haimaanishi wanachama wa Simba wana kadi za Etoile du Sahel
 
Sakata la Ruge na Mengi! nani zaidi?

On this one naungana na team Ruge.

hakuna sakata pale, uzee unakusumbua wewe. kulikua na drama ya ruge na watoto wa mengi

Mengi is too big kuhangaika na vinyangarika
 
Lusungo narudia tena, najua wivu wa kimasikini unakusumbua sababu unatamani Kuwa Kamna Zitto wakati huna hata 1/100 ya sifa ya kumfikia Zitto. Uwezo wa Zitto kielimu,kimaisha na kisiasa ni zaidi yako wewe na familia yako yote. Wewe uwezo wako ni fitina na majungu tu. Nakufahamu!
Mkuu unanipasumbua mbavu.

Kwi kwi kwi kwi!
 
The most interesting part of this new political game ni kwamba wapiga debe maarufu wote wa CCM hapa JF (na pengine hii inaakisi jamii nje ya JF) ndio hao hao wapiga debe maarufu wa Zitto (which does not necessarily mean ni wapiga debe wa ACT-wazalendo/Tanzania)!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nikipata mtu wa kututegulia kitendawili hiki nitashukuru sana.

mkulu hakuna cha kitendawili hapo, lipo wazi tu...

ccm was threatened by the rapid outgrowing of cdm and other political parties, ukuaji ambao kwa kiasi kikubwa upo facilitated na weaknesses za ccm yenyewe hasa ishu ya ufisadi, wizi wa mali ya umma, kutorosha mali za umma nje ya nchi, kujiweka mbali na wana wa nchi na kutowatumikia wana wa nchi.

kuona hivyo, strategists wa ccm, ambao wengi wao wamezoea vya kunyonga coz vya kuchinja vyataka utaalam, plans na subra, wakashauri harakaharaka kuwa cha kufanya ni kumhonga zitto afanye fujo cdm na atakapoguswa tu aanze kulalamika kuwa anaonewa eti kwa kuwa si mchaga na si mkristu(kumbuka huyu alikuwa ni mbunge wa cdm, naibu katibu mkuu wa cdm na kupitia cdm akajikusanyia uongozi katika kamati mbalimbali za bunge). cha ajabu huyo huyo ndo anayelalamika kuwa anaonewa na hapewi nafasi za kuongoza ndani ya cdm. na by the way hata miaka 40 hajafikisha.

kwa upeo wao mdogo mafisadi wa ccm walistrategize kuwa akilalamika zitto kuwa kaonewa, na kuwa kaonewa coz si mkristu na si mchaga basi maana yake hapo wanaonewa waislamu, ndo hasa walikuwa wanalengwa hao. waislam wakishajengewa huo uongo basi na makabila mengine ambao si wachagga naturally watakimbia cdm. ni ishu kama ile ya nyakati zile ya cuf kuitwa magaidi na chama cha waislamu, nyakati hizo cuf ikiwa juu. eti ikishakuwa fujo cdm itamfukuza na akishafukuzwa eti na waislam nao wataondoka cdm.........mtu asiye na sera hutumia udini au ukabila au hata jeshi kutawala nchi.

unfortunately, the strategists were wrong and could nt interprete well the writings on the wall....wananchi wa dini zote na makabila yote sku hizi ni waelewa, wanaelewa adui yao ni mafisadi ya ccm na si wachaga wala wakristu wa nchi hii ya Tanzania. baada ya snitch kuondoka cdm ndo kwaaaaaaaanza yazidi kupaaa, siri za chama hazivuji tena na kuaminiana ndani ya chama kati ya viongozi wakuu kumerudi tena...

wakati wa mabadiliko ukishafika ni ngumu kuyazuia..wananchi wanataka mabadiliko.
 
Back
Top Bottom