Uchaguzi 2020 Kama tungekuwa na uchaguzi wa Rais wa Dunia, Magufuli angeshinda asubuhi!

Mie nilidhan kusitishwa zle mbio za tambiko la kila mwaka lingekufanya walau uwe na akili japo kidogo
 
BBC, DW ni Africa?
 
Hahaha ... video gani hiyo? Na wananchi wa nchi gani wenye muda huo?
And pls usinitajie nchi za afrika. Nataka nje ya afrika.
Angalia video ya rais Magufuli akiwa south Africa watu walivyolipuka kwa shangwe
 
Mbwa ww kojoa kalale....labda dunia kwako ni sawa na jamhuri ya watu wa chato
 
Ndio, angeshinda kwa asilimia 99 endapo uchaguzi ungesimamiwa time yetuya uchaguzi
 
You are useless hu!
 
Nonsense
 
Virusi vya ukimwi vina tabia ya kufubaisha ufahamu wa mtu sawia na kinga mwili, inaonekana wewe na yule radio (Dwarf) wa Dodoma virusi vya ukimwi vimeshawafubaisha uwezo wa kufikiri na kutafakari!
HIV-associated Neurocognitive disorder! 😛 😛
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…