secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Anatumia jamii forum?🤷.🤣 tena alisema anatumia JF akiona huu uzi lazima vidonge vya presha avimeze 🤣
🤣🤣yeye ashukuru mfumo wa wizi wa kura ndio unamsaidia hasa.
Ila bila wizi wa kura atakuwa nafasi ya nne 🤣🤣🤣🤣
Jina Lako halidanganyi, chagueni majina mazuri. Halafu achana na hizo pombe unazotumiaKama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, na Tundu lissu akawa mgombea urais, Lissu atashinda kwa 95%. Bitozo atashika nafasi ya nne. Ushindi wa Urais wa Tundu Lissu ni UHAKIKA kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, Tundu Lissu atachukua nafasi ya kwanza kwa 95%. Bitozo ataambulia 1%. Watu wengi mno wana maisha magumu sana, vijana wengi mno hawana ajira miaka inakwenda hawana maisha kabisa. Mtu mwenye maisha magumu na asiyekuwa na ajira hawezi kupanga foleni kwenda kumchagua bitozo. Mamilioni ya kura yataenda kwa Tundu Lissu.
Ila kama kawaida yao, wataiba kura watashinda. Watatumia mbinu ya: Gusa, achia, tukaibe kura.
==================
Endapo hapatakuwa na wizi wa kura na uchaguzi ukiwa huru na wa haki bila figisu figisu, bila kukata majina ya wagombea, bila kujaza kura feki, bila kutumia bunduki.
Msimamo wa matokeo ya urais yatakuwa hivi:
1. Tundu Lissu-95%
2. Act wazalendo -2%
3. Mzee wa ubwawa -1.5%
4. Bitozo-1%
We ni kwl ni zuzu, huoni ht haya? Vijana km ww ni hasara kubwa kwa Taifa letu🤣 yaani inabidi waandae mbinu mbalimbali za kuiba kura. Ila bila wizi wa kura bitozo ataishia nafasi ya nne.
Lile gari liko bugged.Nwabukusi kapewa gari na seikali katulia kimya.
Na sisi tunapewa malipo mazuri kwenye mazao yetu ya kilimo ktk uta wala huu wa mama mnatuambia tumnyime kura kwa sababu gani hadi mseme atapata asilimia 2?Bitozo anapumulia kwenye kopo.
Mwaka huu watumishi tutajaziwa mihela mpaka tuchoke na kura tunampa Lissu
Huyo sio mimi ni mshenzi tu 🤣🤣🤣BRAZA CHOGO kwa nini uliitupa hii Identity yako kwa kapu kiasi cha kuto-qualify kuitwa expert member.
Nipe majibu yangu haraka.
🤣🤣🤣🤣Nikisoma thread ya hv najskia aman mpaka najhsi k\/jamba kbsa. daaah
Mbona ana majamboz kama yako?Huyo sio mimi ni mshenzi tu 🤣🤣🤣
Nahisi amekula maharage leo.Mbona ana majamboz kama yako?
Ukiwa na akili timamu huwezi mpa kura mtu kama Lisu ila kama wewe ni maskini huna hela huyo ndio mtu wenu Sasa mtalishwa maneno baada ya miaka 5 Mko hoi kiuchumi kama mlivyokuwa na Rais wa wanyonge.Kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, na Tundu lissu akawa mgombea urais, Lissu atashinda kwa 95%. Bitozo atashika nafasi ya nne. Ushindi wa Urais wa Tundu Lissu ni UHAKIKA kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, Tundu Lissu atachukua nafasi ya kwanza kwa 95%. Bitozo ataambulia 1%. Watu wengi mno wana maisha magumu sana, vijana wengi mno hawana ajira miaka inakwenda hawana maisha kabisa. Mtu mwenye maisha magumu na asiyekuwa na ajira hawezi kupanga foleni kwenda kumchagua bitozo. Mamilioni ya kura yataenda kwa Tundu Lissu.
Ila kama kawaida yao, wataiba kura watashinda. Watatumia mbinu ya: Gusa, achia, tukaibe kura.
==================
Endapo hapatakuwa na wizi wa kura na uchaguzi ukiwa huru na wa haki bila figisu figisu, bila kukata majina ya wagombea, bila kujaza kura feki, bila kutumia bunduki.
Msimamo wa matokeo ya urais yatakuwa hivi:
1. Tundu Lissu-95%
2. Act wazalendo -2%
3. Mzee wa ubwawa -1.5%
4. Bitozo-1%
Acha kujichekesha! Ina maana hata CCM hawatamchagia mwenyekiti wao? Thubutu!Kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, na Tundu lissu akawa mgombea urais, Lissu atashinda kwa 95%. Bitozo atashika nafasi ya nne. Ushindi wa Urais wa Tundu Lissu ni UHAKIKA kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, Tundu Lissu atachukua nafasi ya kwanza kwa 95%. Bitozo ataambulia 1%. Watu wengi mno wana maisha magumu sana, vijana wengi mno hawana ajira miaka inakwenda hawana maisha kabisa. Mtu mwenye maisha magumu na asiyekuwa na ajira hawezi kupanga foleni kwenda kumchagua bitozo. Mamilioni ya kura yataenda kwa Tundu Lissu.
Ila kama kawaida yao, wataiba kura watashinda. Watatumia mbinu ya: Gusa, achia, tukaibe kura.
==================
Endapo hapatakuwa na wizi wa kura na uchaguzi ukiwa huru na wa haki bila figisu figisu, bila kukata majina ya wagombea, bila kujaza kura feki, bila kutumia bunduki.
Msimamo wa matokeo ya urais yatakuwa hivi:
1. Tundu Lissu-95%
2. Act wazalendo -2%
3. Mzee wa ubwawa -1.5%
4. Bitozo-1%
Mtu asiyejitambua ndio anaweza pigia kura kibaraka Lisu.Uzuri Mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, huwa Hana kawaida ya kuhangaika na mburura au nyumbu wasiojielewa....ambao pekee wanachojua ni kupayukapayuka tu basi. Ye ana mambo mengi ya kufanya na sio kwa ajili ya wananchi. Hawa nyumbu hawana kitu kingine zaidi ya kuwakatikia viuno mbowe na lissu basi......utapoteza muda kuwajibu nini' vijitu kama hivyo, acha vipayuke vikalale
Hii inayoitwa mitumishi ya umma hasa mialimu ndio maadui wakubwa wa taifa hili la TanzaniaBitozo anapumulia kwenye kopo.
Mwaka huu watumishi tutajaziwa mihela mpaka tuchoke na kura tunampa Lissu
Umetumia uhuru wako km uonavyoKama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, na Tundu lissu akawa mgombea urais, Lissu atashinda kwa 95%. Bitozo atashika nafasi ya nne. Ushindi wa Urais wa Tundu Lissu ni UHAKIKA kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, Tundu Lissu atachukua nafasi ya kwanza kwa 95%. Bitozo ataambulia 1%. Watu wengi mno wana maisha magumu sana, vijana wengi mno hawana ajira miaka inakwenda hawana maisha kabisa. Mtu mwenye maisha magumu na asiyekuwa na ajira hawezi kupanga foleni kwenda kumchagua bitozo. Mamilioni ya kura yataenda kwa Tundu Lissu.
Ila kama kawaida yao, wataiba kura watashinda. Watatumia mbinu ya: Gusa, achia, tukaibe kura.
==================
Endapo hapatakuwa na wizi wa kura na uchaguzi ukiwa huru na wa haki bila figisu figisu, bila kukata majina ya wagombea, bila kujaza kura feki, bila kutumia bunduki.
Msimamo wa matokeo ya urais yatakuwa hivi:
1. Tundu Lissu-95%
2. Act wazalendo -2%
3. Mzee wa ubwawa -1.5%
4. Bitozo-1%
Nomasana!Nahisi amekula maharage leo.
Kama unaitakia mema nchi, huwezi kumpa Urais Lissu.