Pre GE2025 Kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, Tundu Lissu atashinda kwa 95%, Samia atakuwa nafasi ya nne.

Pre GE2025 Kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, Tundu Lissu atashinda kwa 95%, Samia atakuwa nafasi ya nne.

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, na Tundu lissu akawa mgombea urais, Lissu atashinda kwa 95%. Bitozo atashika nafasi ya nne. Ushindi wa Urais wa Tundu Lissu ni UHAKIKA kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, Tundu Lissu atachukua nafasi ya kwanza kwa 95%. Bitozo ataambulia 1%. Watu wengi mno wana maisha magumu sana, vijana wengi mno hawana ajira miaka inakwenda hawana maisha kabisa. Mtu mwenye maisha magumu na asiyekuwa na ajira hawezi kupanga foleni kwenda kumchagua bitozo. Mamilioni ya kura yataenda kwa Tundu Lissu.



Ila kama kawaida yao, wataiba kura watashinda. Watatumia mbinu ya: Gusa, achia, tukaibe kura.



==================

Endapo hapatakuwa na wizi wa kura na uchaguzi ukiwa huru na wa haki bila figisu figisu, bila kukata majina ya wagombea, bila kujaza kura feki, bila kutumia bunduki.

Msimamo wa matokeo ya urais yatakuwa hivi:
1. Tundu Lissu-95%
2. Act wazalendo -2%
3. Mzee wa ubwawa -1.5%
4. Bitozo-1%
Jina Lako halidanganyi, chagueni majina mazuri. Halafu achana na hizo pombe unazotumia
 
Nwabukusi kapewa gari na seikali katulia kimya.
Lile gari liko bugged.

Hapaswi kutumia lile gari.

Unapewaje gari, na dereva, na mafundi, na wewe unapanda kichwa kichwa, kitu umepewa na ma mafia ambao tumeshaona wamaweza mpaka kumua mwenyekiti wa chama wa mkoa wa chama cha upinzani ???

Every two days gari linarudi kwao kujazwa mafuta na wewe unapanda.... duuu!

Hata Makonda, mtu wao wenyewe, alisema majuzi Arusha kwamba yule dereva, mlinzi, karani unaepewa ni nyoka, anakulinda na lakini pia anaku watch at the same time! Sembuse wewe adui yao.
 
Kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, na Tundu lissu akawa mgombea urais, Lissu atashinda kwa 95%. Bitozo atashika nafasi ya nne. Ushindi wa Urais wa Tundu Lissu ni UHAKIKA kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, Tundu Lissu atachukua nafasi ya kwanza kwa 95%. Bitozo ataambulia 1%. Watu wengi mno wana maisha magumu sana, vijana wengi mno hawana ajira miaka inakwenda hawana maisha kabisa. Mtu mwenye maisha magumu na asiyekuwa na ajira hawezi kupanga foleni kwenda kumchagua bitozo. Mamilioni ya kura yataenda kwa Tundu Lissu.



Ila kama kawaida yao, wataiba kura watashinda. Watatumia mbinu ya: Gusa, achia, tukaibe kura.



==================

Endapo hapatakuwa na wizi wa kura na uchaguzi ukiwa huru na wa haki bila figisu figisu, bila kukata majina ya wagombea, bila kujaza kura feki, bila kutumia bunduki.

Msimamo wa matokeo ya urais yatakuwa hivi:
1. Tundu Lissu-95%
2. Act wazalendo -2%
3. Mzee wa ubwawa -1.5%
4. Bitozo-1%
Ukiwa na akili timamu huwezi mpa kura mtu kama Lisu ila kama wewe ni maskini huna hela huyo ndio mtu wenu Sasa mtalishwa maneno baada ya miaka 5 Mko hoi kiuchumi kama mlivyokuwa na Rais wa wanyonge.

Mwisho hata uchaguzi asimamie Trump,Kibaraka Lisu hawezi shida
 
Kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, na Tundu lissu akawa mgombea urais, Lissu atashinda kwa 95%. Bitozo atashika nafasi ya nne. Ushindi wa Urais wa Tundu Lissu ni UHAKIKA kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, Tundu Lissu atachukua nafasi ya kwanza kwa 95%. Bitozo ataambulia 1%. Watu wengi mno wana maisha magumu sana, vijana wengi mno hawana ajira miaka inakwenda hawana maisha kabisa. Mtu mwenye maisha magumu na asiyekuwa na ajira hawezi kupanga foleni kwenda kumchagua bitozo. Mamilioni ya kura yataenda kwa Tundu Lissu.



Ila kama kawaida yao, wataiba kura watashinda. Watatumia mbinu ya: Gusa, achia, tukaibe kura.



==================

Endapo hapatakuwa na wizi wa kura na uchaguzi ukiwa huru na wa haki bila figisu figisu, bila kukata majina ya wagombea, bila kujaza kura feki, bila kutumia bunduki.

Msimamo wa matokeo ya urais yatakuwa hivi:
1. Tundu Lissu-95%
2. Act wazalendo -2%
3. Mzee wa ubwawa -1.5%
4. Bitozo-1%
Acha kujichekesha! Ina maana hata CCM hawatamchagia mwenyekiti wao? Thubutu!
 
Uzuri Mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, huwa Hana kawaida ya kuhangaika na mburura au nyumbu wasiojielewa....ambao pekee wanachojua ni kupayukapayuka tu basi. Ye ana mambo mengi ya kufanya na sio kwa ajili ya wananchi. Hawa nyumbu hawana kitu kingine zaidi ya kuwakatikia viuno mbowe na lissu basi......utapoteza muda kuwajibu nini' vijitu kama hivyo, acha vipayuke vikalale
Mtu asiyejitambua ndio anaweza pigia kura kibaraka Lisu.

Mtu mwenye mipango ya Maendeleo na future automatically atachagua Samia.

Ila loosers na wengine wasiojielewa mpigieni Lisu.
 
Kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, na Tundu lissu akawa mgombea urais, Lissu atashinda kwa 95%. Bitozo atashika nafasi ya nne. Ushindi wa Urais wa Tundu Lissu ni UHAKIKA kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, Tundu Lissu atachukua nafasi ya kwanza kwa 95%. Bitozo ataambulia 1%. Watu wengi mno wana maisha magumu sana, vijana wengi mno hawana ajira miaka inakwenda hawana maisha kabisa. Mtu mwenye maisha magumu na asiyekuwa na ajira hawezi kupanga foleni kwenda kumchagua bitozo. Mamilioni ya kura yataenda kwa Tundu Lissu.



Ila kama kawaida yao, wataiba kura watashinda. Watatumia mbinu ya: Gusa, achia, tukaibe kura.



==================

Endapo hapatakuwa na wizi wa kura na uchaguzi ukiwa huru na wa haki bila figisu figisu, bila kukata majina ya wagombea, bila kujaza kura feki, bila kutumia bunduki.

Msimamo wa matokeo ya urais yatakuwa hivi:
1. Tundu Lissu-95%
2. Act wazalendo -2%
3. Mzee wa ubwawa -1.5%
4. Bitozo-1%
Umetumia uhuru wako km uonavyo
 
Lissu akiwa mgombea uraisi, kila mpiga kura aende na wazo la mtu aliyepigwa risasi 26 na akapona. Alipona ili aikomboe Tz, kazi kwetu. Lissu hoyeeeee!
 
Kama unaitakia mema nchi, huwezi kumpa Urais Lissu.

Wewe unaangalia kibinadamu lakini Mwenyezi Mungu akiamua lake huwa.
Alitakalo Mungu huwa bila kujali chochote.
Daudi alipoenda kupakwa mafuta kuwa Mfalme hakuna mwanadamu ambae aliweza kuzani ingewezekana.
Mungu haamgalii kama angaaliavyo binadamu , maana binadamu Huang akia kwa nje bali Mungu huangalia moyo na akili.
 
Back
Top Bottom