Kama ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere uko chini ya viwango, Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi

Kama ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere uko chini ya viwango, Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi

Ningekuwa na enough time, ningeweka Ripoti ya CAG (for Development Projects) ya 2019/2020. Katika ripoti ile, kwa kuangalia muktadha huu, CAG ali-highlight mambo yafuatayo:-

1. Wakati tenda inatolewa, moja ya sharti lilikuwa ni kwa Contractor kuto-subcontract kazi yote, na kazi atakazo-subcontract zisizidi 50% of Contract Price!

Kwenye uchunguzi wake ule CAG akagundua, by the time kulikuwa na 21 Subcontractors na 9 Subconsultants. Kilichomtia hofu CAG ni kwa hao Subcontractors kupewa kile alichoita ALL MAJOR PROJECT COMPONENTS.

Kutokana na hilo, CAG akaeleza wazi kwamba HII INAWEZA KU-IMPAIR THE QUALITY OF WORK hata kama the quality risks inaangukia kwa Contractor.

2. Wakati sharti la mkataba lilikuwa linamtaka Contractor kuto-subcontract more 50% of the Contract Price, kwa bahati sharti hilo lilizingatiwa na kuona ni around 37% of the Contract Price ndiyo ilikuwa subcontracted!

Hata hivyo, disclosure ya hyo subcontracted price haikuwa kazi ndogo kwa sababu Contractor aligoma kutoa na ikabidi ifanyike jitihada ya ziada kuhakikisha anatoa!!

Sasa ndipo unajiuliza kama Subcontracting yake imefuata masharti ya mkataba, ni kwanini basi alikuwa hataki kutoa!

3. Contract and Project Design Requirements ilikuwa inataka Contractor ajenge 2 Diversion Tunnels. Kwa mshangao wa CAG, Contractor akajenga ONLY ONE Diversion Tunnel!

Matokeo yake, iliponyesha mvua na mto kujaa, maji yakafanya mambo yake!!

What happened next day? Wakati mnaambiwa mambo ni FIRE kumbe uhalisia project ilikuwa DELAYED FOR 5 MONTHS!!

Na wakati akina Msukuma wanashangaa kuona Mradi hutaki kwisha na hivyo kuona ni ubabaishaji wa Makamba, Ripoti ya CAG ya Masharika ya Umma ambayo ilitolewa March 2021

Sharti lingine la mkataba lilikuwa linamtaka Contractor ku kwa hili alitekeleza kwa sababu alitoa ONLY 34% kwa subcontractors. Hata hivyo, CAG alishtuka kidogo kuona, kwanza kulikuwa na Subcontractors wengi sana! Kama kumbukumbu zangu zipo sawa basi

Ndugu yangu residentura...

Nimeona post yako lakini amini usiamini, tatizo kuu la nchi hii sio CCM wala mawaziri wao bali ni WANANCHI...

Be the worst leader EVER... bado itatokea millions of MISUKULE hai itakayokuwa inakushangilia na kukutea na uovu wako!

Na tatizo letu kubwa ni kwamba, HUWA HATUFUATILII mambo kwa undani na matokeo yake tunakuwa Victim wa Uongo wa Viongozi wa CCM!!

Amini usiamini, anayosema Makamba mengi kama sio yote aliyokuta pale TANESCO ni ukweli mtupu!!

Sio kwamba Makamba ana tofauti na viongozi wenzakewa CCM, la hasha! Kwa sababu zilizo wazi kabisa inaonesha bado ana kinyongo na JPM Administration.

Kwahiyo kwa kutumia kinyongo hicho alichonacho, ndipo nae anaamua kutumia nafasi yake kuonesha ni namna gani JPM Administration ili-handle power sector kwa uovyo kabisa!!

Yaani ni kama anamwaga mboga vile! I doubt kama angekuwa anayasema haya kwa uwazi endapo angeendelea kuwa kwenye JPM's Circle.

But trust me, mengi anayosema ni ya ukweli na yapo kwenye Ripoti za CAG za tangu wakati JPM yupo madarakani! Sema kwavile huwa hatufuatilii, ndo maana leo yakisemwa tunaona uongo tu!!

Kwa mfano, suala la watu kutoruhusiwakufanya maintenance, LIPO KWENYE RIPOTI YA CAG.

Wakati huku mtaani tunaambiwa MAMBO NI FIRE kiasi kwamba hata ndugu yangu MALCOM LUMUMBA akashawishika kwamba inawezekana kuna hujuma kweli pale JNHP, lakini Ripoti ya CAG inasema, as at December 31, 2020 Mradi ulikuwa umeendelea kwa ONLY 28.61% wakati kwa tarehe hiyo walitakiwa wawe wamekamilisha 47%!

Yote hayo wananchi hatukujua, na wengine tulipojaribu kuweka uhalisia, tena with facts from Govt Sources, tukaambiwa tuna chuki na JPM!!

Leo hii wanaona mradi upo bado, wanalia hujuma dhidi ya JPM bila kufahamu kwamba ingawaje tulikuwa tunaimbiwa nyimbo tamu za maendeleo ya mradi lakini hadi JPM anatangulia mbele za haki, sehemu kubwa ya mradi ilikuwa haijafanyika!

And guess what... moja ya sehemu ya ripoti inasema, 2 years baada ya kutangazwa kuanza kwa mradi, TANESCO walishindwa kutoa PROOF ya kuwepo kwa pesa za kuendeshea mradi kwa sababu walishindwa kuonesha bajeti ya mradi!

Lakini pamoja na yote hayo, huku mtaani tulikuwa tunashangilia uongo tunaoambiwa ambao unaweza kuifanya CCM iendelee kubaki madarakani kwa miaka kadhaa kwa sababu they're good in telling lies, na wananchi wanafurahia kudanganywa kwa sababu hatufuatilii na matokeo yake tumekuwa ndo agents of Lies Protectors!!

Leo hii Makamba anatembelea madhaifu ya past administration as defensive mechanism but nobody believe him coz' we already believed in lies.

Hata hivyo, nae (Makamba) itafika wakati ambapo hatimae defensive mechanism ya kutumia JPM Administartion itakuwa No More Applicable kwa sababu atalazimika kuonesha Results and no more Updates! Na kwavile possibly nae HATAWEZA kuonesha results, nae ataanza kutoa NEW LIES, and we'll believe him from his new lies, na atapata New Lies Defenders... it's vicious circle!
Ndugu Chige ,Mungu akubariki sana.
Umeandika madini mpaka nimepata hasira ya kuona tunadanganywa kama watoto.
Nitaomba nichukue facts zako nimwelezee shemeji langu moja ambalo ni mwenyekiti wa CCM mkoa fulani ili ajue serikali yake ilivyokuwa ikiishi kwa uongo na uhalisia ulivyo wa JNHPP.
Tuendelee kuisaidia nnchi kwa kuweka facts tulizonazo hadharani kwani hii itasaidia pia hata kupunguza "misukule" ya chama/serikali/mtu.
NB:Mungu kakupa kipaji cha kujua mambo na kuelezea mambohayo kwa lugha rahisi na ukaeleweka kiurahisi, tafadhali ndugu kitumie vyema uendelee kutuelimisha na upanue wigo ili uwafikie watu wengi zaidi.
 
Hoja zenye akili haziwezi kuletwa na Musukuma
 
Mkuu wa sera wizarani na msemaji mkuu wa Wizara na taasisi zake,yeye alituambia mambo shwari sasa kwa nini asiwajibike kwa kauli zake?

Makamba JR amekuwa akiongea ukweli mnamshamgulia,kwanza ametuambia pia Bwawa limechelewa zaidi ya mwaka lakini watu kwa miezi aliyoingia mnataka kumuangushia zigo.
Hakuna anachofanya zaidi ya siasa
 

1644838175268.png
😆😆😆😆😆😆
 
Ningekuwa na enough time, ningeweka Ripoti ya CAG (for Development Projects) ya 2019/2020. Katika ripoti ile, kwa kuangalia muktadha huu, CAG ali-highlight mambo yafuatayo:-

1. Wakati tenda inatolewa, moja ya sharti lilikuwa ni kwa Contractor kuto-subcontract kazi yote, na kazi atakazo-subcontract zisizidi 50% of Contract Price!

Kwenye uchunguzi wake ule CAG akagundua, by the time kulikuwa na 21 Subcontractors na 9 Subconsultants. Kilichomtia hofu CAG ni kwa hao Subcontractors kupewa kile alichoita ALL MAJOR PROJECT COMPONENTS.

Kutokana na hilo, CAG akaeleza wazi kwamba HII INAWEZA KU-IMPAIR THE QUALITY OF WORK hata kama the quality risks inaangukia kwa Contractor.

2. Wakati sharti la mkataba lilikuwa linamtaka Contractor kuto-subcontract more 50% of the Contract Price, kwa bahati sharti hilo lilizingatiwa na kuona ni around 37% of the Contract Price ndiyo ilikuwa subcontracted!

Hata hivyo, disclosure ya hyo subcontracted price haikuwa kazi ndogo kwa sababu Contractor aligoma kutoa na ikabidi ifanyike jitihada ya ziada kuhakikisha anatoa!!

Sasa ndipo unajiuliza kama Subcontracting yake imefuata masharti ya mkataba, ni kwanini basi alikuwa hataki kutoa!

3. Contract and Project Design Requirements ilikuwa inataka Contractor ajenge 2 Diversion Tunnels. Kwa mshangao wa CAG, Contractor akajenga ONLY ONE Diversion Tunnel!

Matokeo yake, iliponyesha mvua na mto kujaa, maji yakafanya mambo yake!!

What happened next day? Wakati mnaambiwa mambo ni FIRE kumbe uhalisia project ilikuwa DELAYED FOR 5 MONTHS!!

Na wakati akina Msukuma wanashangaa kuona Mradi hutaki kwisha na hivyo kuona ni ubabaishaji wa Makamba, Ripoti ya CAG ya Masharika ya Umma ambayo ilitolewa March 2021

Ndugu yangu residentura...

Nimeona post yako lakini amini usiamini, tatizo kuu la nchi hii sio CCM wala mawaziri wao bali ni WANANCHI...

Be the worst leader EVER... bado itatokea millions of MISUKULE hai itakayokuwa inakushangilia na kukutea na uovu wako!

Na tatizo letu kubwa ni kwamba, HUWA HATUFUATILII mambo kwa undani na matokeo yake tunakuwa Victim wa Uongo wa Viongozi wa CCM!!

Amini usiamini, anayosema Makamba mengi kama sio yote aliyokuta pale TANESCO ni ukweli mtupu!!

Sio kwamba Makamba ana tofauti na viongozi wenzake wa CCM, la hasha! Kwa sababu zilizo wazi kabisa inaonesha bado ana kinyongo na JPM Administration.

Kwahiyo kwa kutumia kinyongo hicho alichonacho, ndipo nae anaamua kutumia nafasi yake kuonesha ni namna gani JPM Administration ili-handle power sector kwa uovyo kabisa!!

Yaani ni kama anamwaga mboga vile! I doubt kama angekuwa anayasema haya kwa uwazi endapo angeendelea kuwa kwenye JPM's Circle.

But trust me, mengi anayosema ni ya ukweli na yapo kwenye Ripoti za CAG za tangu wakati JPM yupo madarakani! Sema kwavile huwa hatufuatilii, ndo maana leo yakisemwa tunaona uongo tu!!

Kwa mfano, suala la watu kutoruhusiwa kufanya maintenance, LIPO KWENYE RIPOTI YA CAG. Ipo baadhi ya mitambo pale Ubungo tu ambayo ilifanya kazi kwa zaidi ya saa 10K nje ya muda ambao ilitakiwa ziwe zimefanyiwa maintanence.

Yaani, kama mtambo ulitakiwa kufanyiwa maintanence baada ya kuwa umepiga mzigo kwa saa 15K, basi CAG aliukuta ukiwa umepiga mzigo kwa saa 25K bila maintanence!!

Wakati huku mtaani tunaambiwa MAMBO NI FIRE kiasi kwamba hata ndugu yangu MALCOM LUMUMBA akashawishika kwamba inawezekana kuna hujuma kweli pale JNHP, lakini Ripoti ya CAG inasema, as at December 31, 2020 Mradi ulikuwa umeendelea kwa ONLY 28.61% wakati kwa tarehe hiyo walitakiwa wawe wamekamilisha 47%!

Yote hayo wananchi hatukujua, na wengine tulipojaribu kuweka uhalisia, tena with facts from Govt Sources, tukaambiwa tuna chuki na JPM!!

Leo hii wanaona mradi upo bado, wanalia hujuma dhidi ya JPM bila kufahamu kwamba, ingawaje tulikuwa tunaimbiwa nyimbo tamu za maendeleo ya mradi lakini hadi JPM anatangulia mbele za haki, sehemu kubwa ya mradi ilikuwa haijafanyika!

And guess what... moja ya sehemu ya ripoti inasema, 2 years baada ya kutangazwa kuanza kwa mradi, TANESCO walishindwa kutoa PROOF ya kuwepo kwa pesa za kuendeshea mradi kwa sababu walishindwa kuonesha bajeti ya mradi!

Lakini pamoja na yote hayo, huku mtaani tulikuwa tunashangilia uongo tunaoambiwa ambao unaweza kuifanya CCM iendelee kubaki madarakani kwa miaka kadhaa kwa sababu they're good in telling lies, na wananchi wanafurahia kudanganywa kwa sababu hatufuatilii na matokeo yake tumekuwa ndo agents of Lies Protections!!

Leo hii Makamba anatembelea madhaifu ya past administration as defensive mechanism but nobody believe him coz' we already believed in lies.

Makamba nae itafika wakati ambapo hatimae defensive mechanism ya kutumia JPM Administartion itakuwa No More Applicable kwa sababu atalazimika kuonesha Results and no more Updates!

Na kwavile possibly nae HATAWEZA kuonesha results, nae ataanza kutoa NEW LIES, and we'll believe him from his new lies, na atapata New Lies Defenders... it's vicious circle!!
Mbombo ngafu
 
Kalemani alifit sna pale nishati tuache utani
Bado najiuliza Kwanini Kalemani alitolewa, Kipi hasa Ambacho anafanya au angefanya Makamba, au ni just a family case with Madame.
 
Wewe unaamini utopolo kama huo? Ulitegemea huyo Makamba akamilishe mradi ilihali genge lake wote wana hisa kwenye gesi? Sasa si inabidi atafute kisingizio? Kaanza na crane la tani 26 la kunyanyua milango ambayo anakiri ipo site halafu anasema hakuna crane lenye uwezo huo, hajiulizi inefikaje hapo site au nani kashusha na kwa kutumia kifaa gani?! Sasa mtu kama huyo niambie, ana akili ndani ya fuvu la kichwa chake?! Just tell me..
Makamba ndio yuko site? 😀😀😀
 
Hii ni zaidi ya mwaka mmoja. Nini kinaendelea? Si kila jambo ni siasa!

 
Musukuma kapata wapi taarifa? Kwa ujuzi upi alionao wa Civil au Electrical Engineering
 
Huyo Msukuma anajua kutofautisha kati ya mradi kuwa nyuma ya muda na mradi kuwa chini ya kiwango?

Hivi, Karibu 90% ya watanzania mmelogwa?

Utawezaje kumwamini Msukuma?

Hiyo tume iliyokwenda kuchunguza hilo ni tume ipi na iliundwa na Nani?

Ujinga mtupu
Mimi ninavyowaamini wasomi ni wa kuacha kumwamini Profesa oh sorry Dokta.wa Salsafa?
 
Back
Top Bottom