Man Rody
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,263
- 2,987
Nishazungukua east africa nchi zote na mikoa kadha ndani apa Tz kutokana na kazi nayofanya.. ila sikupingi mkuu kuzuru mabara tofauti ni kitu natamani pia so uko on point.Utaenjoy sana mkuu nakuhakikishia.. ukirudi Tanzania utakuwa mtu wa tofauti sana.. watu wanaokaa sehem moja muda mrefu wanakuwa mbumbumbu.. zunguka mkuu.. hahaa