Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusipokaa hapa nchini kina nani watazitumia
Heshimu ulipozaliwaUlikuja duniani kuipigania Tanzania iliyotengenezwa na Berlin Conference???
Mkuu kwanini unajihangaisha na mtu muongo. Kwa kusoma mwandiko tu unatakiwa uujue ukweli. Kuna mtu hapa anadhani jamaa amezunguka kweli hizo nchi 125...SEMA Umekosea! Usijetetee Kwa kusema 'Umeelewa'
Kwa kutembea kote huko, tulijua wewe ni Mtu Makini, lakini kukosea spelling za Hata Nchi uliyotembelea zimetufanya tufikiri vingine !
... Mimi basi nimedhani ni Nchi ya Kiafrika ya SWAZILAND....au huijui ?
Mkuu Mimi nipo na Akili Sana kichwani na najikubali sasa tunafikaje hapo katika nchi za Asali na maziwa maana hapa Tanzania tunazidi kuchakaa na kufa MapemaMoja kati ya mambo niliyojifunza kwenye maisha yangu mpaka sasa ni mengi na bado naendelea kujifunza kupitia njia mbalimbali lakini mambo makubwa niliyojifunza yametokana na kusafiri nchi tofauti tofauti kikazi na vacation hasa Africa, Ulaya na Amerika, kwasasa nina miaka 34 na nimeshafanikiwa kuzunguka nchi 125 na hapa bado nchi sabini tu nimalize kuzunguka hii dunia na safari hii ntazunguka zaidi nchi za bara la Asia kuanzia China, Japan n.k naamini kabla sijafika miaka 70 basi nitakuwa nimemaliza kutembea nchi zote duniani..
But katika zunguka zunguka zangu nimegundua kuwa nchi hizi 10 zinawafaa sana watu wenye medium na high intelligence/smart people hapa naamanisha watu wenye akili timamu kwasababu ni nchi ambazo mbali na utulivu wake kiusalama, pia hizi ni nchi zenye geografia nzuri sana na serikali zao zimejitahidi sana kuweka kila kitu katika ubora na ufanisi unaomfaa binadamu kuishi kwa kiwango cha hali ya juu kuliko nchi zingine zote duniani.
Ukiishi kwenye nchi hizi uwezo wako wa kiakili unakuwa mkubwa sana na kwa asilimia 90% kuna uwezekano wa wewe kufanya mambo makubwa sana kuliko utakavyoishi nchi zingine duniani.
Mtu anayetaka kuiona kesho yake yenye furaha, kuishi muda mrefu(long life expectance) au mtu anayetaka kuboresha maisha yake na uzao wake basi namshauri aenda akaishi kwenye hizi nchi zifuatazo..
1. Switzland 2. Norway 3. Canada 4. Sweden 5. Finland 6. Denmark 7. Netherlands 8. Denmark 9. Austria 10. New Zealand
Nchi zote hizi nimezitembelea na nimeishi kwa kipindi cha miezi sita sita ni nchi nzuri sana kwa binadamu kuishi kutokana na miundo mbinu yake, sera za serikali zao, ajira na haki zao za kujali utu.. kama uko smart na unapenda maisha yako yawe smart usibaki Tanzania, nakushauri tafuta visa nenda kaishi kwenye moja kati ya hizo nchi nilizozitaja hapo juu niamini mimi baada ya kufika na kuishi kwenye hizo nchi utamshukuru Mungu kwa uumbaji wake na utaifurahia dunia sana..
NOTE: Kwa wale wapenda mbususu hizo nchi nilizozitaja hapo hazijawahi kuniangusha, nilipewa ushirikiano wa kutosha sana mpaka nikahisi dunia inazunguka kama kiuno cha mwali wa kimakonde...
Muwe na siku njema!
Bila uwepo wa USAMoja kati ya mambo niliyojifunza kwenye maisha yangu mpaka sasa ni mengi na bado naendelea kujifunza kupitia njia mbalimbali lakini mambo makubwa niliyojifunza yametokana na kusafiri nchi tofauti tofauti kikazi na vacations hasa Africa, Ulaya na Amerika, kwasasa nina miaka 34 na nimeshafanikiwa kuzunguka nchi 125 na hapa bado nchi sabini tu nimalize kuzunguka hii dunia na safari hii ntazunguka zaidi nchi za bara la Asia kuanzia China, Japan n.k naamini kabla sijafika miaka 70 basi nitakuwa nimemaliza kutembea nchi zote duniani..
But katika zunguka zunguka zangu nimegundua kuwa nchi hizi 10 zinawafaa sana watu wenye medium na high intelligence/smart people hapa naamanisha watu wenye akili timamu kwasababu ni nchi ambazo mbali na utulivu wake kiusalama, pia hizi ni nchi zenye geografia nzuri sana na serikali zao zimejitahidi sana kuweka kila kitu katika ubora na ufanisi unaomfaa binadamu kuishi kwa kiwango cha hali ya juu kuliko nchi zingine zote duniani.
Ukiishi kwenye nchi hizi uwezo wako wa kiakili unakuwa mkubwa sana na kwa asilimia 90% kuna uwezekano wa wewe kufanya mambo makubwa sana kuliko utakavyoishi nchi zingine duniani.
Mtu anayetaka kuiona kesho yake yenye furaha, kuishi muda mrefu(long life expectance) au mtu anayetaka kuboresha maisha yake na uzao wake basi namshauri aenda akaishi kwenye hizi nchi zifuatazo..
1. Switzerland 2. Norway 3. Canada 4. Sweden 5. Finland 6. Denmark 7. Netherlands 8. Denmark 9. Austria 10. New Zealand
Nchi zote hizi nimezitembelea na nimeishi kwa kipindi cha miezi sita sita ni nchi nzuri sana kwa binadamu kuishi kutokana na miundo mbinu yake, sera za serikali zao, ajira na haki zao za kujali utu.. kama uko smart na unapenda maisha yako yawe smart usibaki Tanzania, nakushauri tafuta visa nenda kaishi kwenye moja kati ya hizo nchi nilizozitaja hapo juu niamini mimi baada ya kufika na kuishi kwenye hizo nchi utamshukuru Mungu kwa uumbaji wake na utaifurahia dunia sana..
NOTE: Kwa wale wapenda mbususu hizo nchi nilizozitaja hapo hazijawahi kuniangusha, nilipewa ushirikiano wa kutosha sana mpaka nikahisi dunia inazunguka kama kiuno cha mwali wa kimakonde...
Muwe na siku njema!
USA its shit country! si nchi nzuri kama wengi tunavyohadithiwa ni majirani zangu hao ila dah kimaisha hapana, ukiishi hiyo nchi roho inakuwa juu tu, wasiwasi, mashaka mashaka na depression mbaya zaidi crime rates iko juu sana marekani, wanaosema pesa ipo ni kweli pesa ipo, ila pesa nyingi watu wanazipata kwa kufanya shughuli haramu(We call "Dirty Money") Jambo ambalo linaloweza kufanya life expectance yako kushuka chini kila kukicha.. kwa jicho la kitalaamu simshauri mtu kuingia humo labda kama una ndoto za kupata hela tu na kuondoka..Bila uwepo wa USA
Huu Uzi wako ni Batili.
Ama kaona hata mkoka hakumfaiKwa hiyo hapa Kkjiji cha Songambele hapatufai Mkuu?
Inamaana wewe huna akili? Umeshindwa kwenda kuishi kwenye hizo inchi?pili inaonekana ni kati ya watu ambao mnahudumiwa na selikali, inamaana huwa huendi kwa gharama zakoMoja kati ya mambo niliyojifunza kwenye maisha yangu mpaka sasa ni mengi na bado naendelea kujifunza kupitia njia mbalimbali lakini mambo makubwa niliyojifunza yametokana na kusafiri nchi tofauti tofauti kikazi na vacations hasa Africa, Ulaya na Amerika, kwasasa nina miaka 34 na nimeshafanikiwa kuzunguka nchi 125 na hapa bado nchi sabini tu nimalize kuzunguka hii dunia na safari hii ntazunguka zaidi nchi za bara la Asia kuanzia China, Japan n.k naamini kabla sijafika miaka 70 basi nitakuwa nimemaliza kutembea nchi zote duniani..
But katika zunguka zunguka zangu nimegundua kuwa nchi hizi 10 zinawafaa sana watu wenye medium na high intelligence/smart people hapa naamanisha watu wenye akili timamu kwasababu ni nchi ambazo mbali na utulivu wake kiusalama, pia hizi ni nchi zenye geografia nzuri sana na serikali zao zimejitahidi sana kuweka kila kitu katika ubora na ufanisi unaomfaa binadamu kuishi kwa kiwango cha hali ya juu kuliko nchi zingine zote duniani.
Ukiishi kwenye nchi hizi uwezo wako wa kiakili unakuwa mkubwa sana na kwa asilimia 90% kuna uwezekano wa wewe kufanya mambo makubwa sana kuliko utakavyoishi nchi zingine duniani.
Mtu anayetaka kuiona kesho yake yenye furaha, kuishi muda mrefu(long life expectance) au mtu anayetaka kuboresha maisha yake na uzao wake basi namshauri aenda akaishi kwenye hizi nchi zifuatazo..
1. Switzerland 2. Norway 3. Canada 4. Sweden 5. Finland 6. Denmark 7. Netherlands 8. Denmark 9. Austria 10. New Zealand
Nchi zote hizi nimezitembelea na nimeishi kwa kipindi cha miezi sita sita ni nchi nzuri sana kwa binadamu kuishi kutokana na miundo mbinu yake, sera za serikali zao, ajira na haki zao za kujali utu.. kama uko smart na unapenda maisha yako yawe smart usibaki Tanzania, nakushauri tafuta visa nenda kaishi kwenye moja kati ya hizo nchi nilizozitaja hapo juu niamini mimi baada ya kufika na kuishi kwenye hizo nchi utamshukuru Mungu kwa uumbaji wake na utaifurahia dunia sana..
NOTE: Kwa wale wapenda mbususu hizo nchi nilizozitaja hapo hazijawahi kuniangusha, nilipewa ushirikiano wa kutosha sana mpaka nikahisi dunia inazunguka kama kiuno cha mwali wa kimakonde...
Muwe na siku njema!
Maendeleo kafanya sangapi? hawa ndio waanazurura wanarudi na Iphone 14pro na begi halafu anakula bata wiki mbili chali anarudi kwa baba yakeKwamba miaka 5 umezunguka tu
Mauritius kuna amani kuliko nchi yeyote Africa na pia kuishiZitaje sasa hizo nchi.
Na kina Mwijaku na Baba LevoTanzania yetu itajengwa na nani
SA hapoMauritius kuna amani kuliko nchi yeyote Africa na pia kuishi
Seychelles, Botswana, Ghana, Namibia na hata Cape Verde na SA
Hizo zote kuna maisha ya uhakika na kama una mtaji unaweza kufanya mengi tu
Ardhi unapata kama una nia ya Ranch na kilimo
Kama ni biashara wanakaribisha watu na longolongo kama za kwetu na tamaa za mswahili hakuna huko
Hata kwa Kagame ni pazuri pia na ujinga ujinga hakuna
Kama unataka kibali, ndani ya masaa 24 unapewa
Naona kuna zingine ila walizijadili sana humu kwa ubaguzi wao hizo pia zina maendeleo kuliko sisi
Kuna sehemu na sehemuSA hapo