Kama ulihisi UVCCM Simiyu ni kiboko, hebu angalia hawa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana rushwa hadharani

Kama ulihisi UVCCM Simiyu ni kiboko, hebu angalia hawa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana rushwa hadharani

escrow one

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2014
Posts
1,473
Reaction score
2,868
Hii video nimeiona sehemu ikabidi nipate uhakika kisha niipost.

Hawa ni wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana Rushwa hadharani bila woga wala soni. Kama vijana wadogo wanalelewa hivi, je hiki chama kina nia kweli ya kutokomeza rushwa?


 
Baada ya Nyerere Kufariki ccm ilijipambanua Kama Chama Cha ufisadi na rushwa

Unahonga Ili upate cheo tena ndani ya Chama je nje ya Chama?

Suluhisho watu siku tuamue tuingie barabarani but shida ya watanzania wakishashiba Mihogo na ugali wanasahau kwamba rushwa inakwamisha Sana maendeleo yao.

Leo hii nchi ipo kwenye giza la umeme sababu ya Rushwa ya mikataba mibovu Kama Richmond, Dowans, IPTL na juzi symbion kalipwa mabilioni bila kodi.

Hiki Chama kinafundisha watoto jinsi ya kuiba pesa za watanzania bahati mbaya mtu akisema ukweli anpewa majina ya kila namna.

Suluhisho la haya ni kuingia barabarani tu hakuna option nyingine!!! Other wise tuendelee kupigwa.
 
Hii video nimeiona sehemu ikabidi nipate uhakika kisha niipost.
Hawa ni wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana Rushwa hadharani bila woga wala soni. Kama vijana wadogo wanalelewa hivi, je hiki chama kina nia kweli ya kutokomeza rushwa?


View attachment 2423201
Mkuu unajuaje kama hiyo ni rushwa na wala si posho za mkutano?
 
Hii video nimeiona sehemu ikabidi nipate uhakika kisha niipost.
Hawa ni wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana Rushwa hadharani bila woga wala soni. Kama vijana wadogo wanalelewa hivi, je hiki chama kina nia kweli ya kutokomeza rushwa?


View attachment 2423201
Ni maandalizi tu ya kuja kua mafisadi komavu!!
 
Back
Top Bottom