Kama ulihisi UVCCM Simiyu ni kiboko, hebu angalia hawa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana rushwa hadharani

Kama ulihisi UVCCM Simiyu ni kiboko, hebu angalia hawa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana rushwa hadharani

Hii video nimeiona sehemu ikabidi nipate uhakika kisha niipost.

Hawa ni wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana Rushwa hadharani bila woga wala soni. Kama vijana wadogo wanalelewa hivi, je hiki chama kina nia kweli ya kutokomeza rushwa?


View attachment 2423201

Waache waendelee hivi hivi. Hawajui huku ndiyo kujikaanga na kujitafuna wenyewe.

Rushwa sasa haina aibu. Na hamna wa kumnyoshea kidole mwenzie.
 
Hata ya Simiyu mlisema ni umbea tu ila Katibu Mkuu wenu jana akaufutilia mbali uchaguzi. Haishangazi kuona CCM mkipingana na ukweli. Ndio kawaida yenu
Sina chama,
Hivi kweli hiyo clip inaweza kukubalika pasi na shaka kama ushahidi mahakamani?
 
rushwa ndani ya ccm haiwezi kwisha kwani kwa sasa ndo inazidi kushamiri kabisaaa.hawa vijana wetu waliishajengewa hayo mawazo na hiki chama ndo maana hata wakipata ajira cha kwanza wanafikiria kupata rushwa ili wajikwamue na maisha yao.
 
rushwa ndani ya ccm haiwezi kwisha kwani kwa sasa ndo inazidi kushamiri kabisaaa.hawa vijana wetu waliishajengewa hayo mawazo na hiki chama ndo maana hata wakipata ajira cha kwanza wanafikiria kupata rushwa ili wajikwamue na maish
 
Hii video nimeiona sehemu ikabidi nipate uhakika kisha niipost.

Hawa ni wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana Rushwa hadharani bila woga wala soni. Kama vijana wadogo wanalelewa hivi, je hiki chama kina nia kweli ya kutokomeza rushwa?


View attachment 2423201
Duh!!!!! Hatari sana halafu mtu anajitokeza na kuanza kumshambulia mtu mwingine anayetoa maoni ya kujenga kurekebisha mapungufu haya?

CCM has lost moral ethics and legitimacy authority to reign in Tanzania and they must be flushed away to safeguard the nation's interests
 
Duh!!!!! Hatari sana halafu mtu anajitokeza na kuanza kumshambulia mtu mwingine anayetoa maoni ya kujenga kurekebisha mapungufu haya?

CCM has lost moral ethics and legitimacy authority to reign in Tanzania and they must be flushed away to safeguard the nation's interests
CCM inaenda kufa kifo cha mende
 
rushwa ndani ya ccm haiwezi kwisha kwani kwa sasa ndo inazidi kushamiri kabisaaa.hawa vijana wetu waliishajengewa hayo mawazo na hiki chama ndo maana hata wakipata ajira cha kwanza wanafikiria kupata rushwa ili wajikwamue na maish
Ndani ya CCM watu wanatafuta Uongozi ili wajikwamue kimaisha. Ukipata Uongozi umetoboa, sababu ya rushwa
 
What is happening in the ongoing ccm party elections can only be clearly examined through the "Psychology of Fraudsters" by the well-seasoned experts in 'Forensic Accounting and Financial Fraud Investigation'
 
Mwenzako Mczigga, pamoja na kuiona video anataka ushahidi eti usio na shaka kwamba kinachotolewa hapo ni rushwa. Sijui kama anataka amsikie mtoa/mpokea fedha akitamka kwamba anatoa/anapokea rushwa! Hizo ndizo akili za wana CCM wenzako! Eti labda hao wanalipana tu posho...kwenye uchaguzi?

Kwa kweli nachoka. Unaweza kuta kuwa huyo Mczigga ni kiongozi wa chama au msimamizi wa uchaguzi! Kama rushwa ingekuwa inanuka kama choo, bado angedai alambishwe asikie kama ni choo kweli ndipo aamini! Watu wa aina hii ndio wamesaidia sana katika kutufikisha hapa tulipo kama taifa! Shame, shame, shame!
Huo ndio ushahidi au maneno matupu video imepewa maelezo na alierekodi shida imeanza pale no sawa na historia yako iandikwe na adui,,, inawezekn kweli wanapokea rushwa lakini kwa video ile sio ushahidi tosha ukifanyika uchunguzi wanaweza kuja na majibu sahihi kama kweli ni rushwa basi watawajibishwa.
 
Uchaguzi ndani ya vyama Kwa Tz ni Rushwa tupu,hao sisiemu nikwasababu wameonekana tu
 
Uchaguzi ndani ya vyama Kwa Tz ni Rushwa tupu,hao sisiemu nikwasababu wameonekana tu
 
Back
Top Bottom